< Yoube 41 >

1 Dia da Lifaiada: ne (hanome ohe fi agoai) amo dimani bese amoga gaguma: bela: ? O ea gona: su efega lala: gilisima: bela: ?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 Dia da efe amo ea migifu amodili sanasima: bela: ? O ea magadoa dimani besega badofalesima: bela: ?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 E da masusa: dima adole ba: ma: bela: ? E da dima olofosu ema ima: ne edegema: bela: ?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 E da dima gousa: su ilegesu hamoma: bela: ? E da mae yolele eso huluane dima fa: no bobogelalumu ilegele sia: ma: bela: ?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 Di da e fofoi sio agoane, dia hawa: hamosu uda hahawane ba: ma: ne, e la: la: gima: bela: ?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 Dimani adosu dunu da e bidi lama: ne, bobolema: bela: ? Bidi lasu dunu da e bidi lama: ne, dadega: ma: bela: ?
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 Di da ea gadofo amo guisu asuni amoga magufamu dawa: sala: ? O ea dialuma goge agei amoga somu dawa: sala: ?
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 Di da e afaewane digili ba: lu, eno hamedafa digili ba: mu. Bai e da dima gegei amo di da hamedafa gogolemu.
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Nowa da Lifaiada: ne ba: sea, beda: ga gasa hamedene, osoba diadaha.
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 Dunu da e ougima: ne didilisisia, e da mi hanaidafa ba: sa. Dunu afae da ea midadi gadenene aligimu hamedei ba: mu.
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Nowa da e doagala: sea, se hame nabi ba: ma: bela: ? Osobo bagade dunu afae da amane hamomu hamedei.
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 Na Lifaiada: ne ea emo ea hou dima adomu galebe. Ea gasa bagade hou amola dima olelemu.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Dunu huluane da ea dabua gadofo houga: mu da hamedei. Amola ea da: igene ga: su amo somu hamedei.
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 E da bese agesoi bagade gala. Ea lafi dagama: ne, nowa da sesema: bela: ?
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 Ea baligi da da: igene ga: su dadalesu amoga hamoi. Ilia da madelagili la: la: gi, amola igi defele ga: nasi gala.
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 Afae afae da enoma gilisili disisibiba: le, mifo da ili adobodili masunu logo hame ba: sa.
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 Ilia da noga: le gilisimusa: madelagiba: le, afafamu da hamedei.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 Lifaiada: ne da hadisia: sea, hadigi agoai nene gala: sa. Amola ea si da eso mabe ea hadigi agoai ba: sa.
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Ea lafidili, lalu gona: su agoai gadili ahoa. Amola ea lafidili, lalu geso bagohame gadili ahoa.
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Ea mi gelabodili, lalu mobi (amo da gagalobo osobo ofodo hagududili nebe defele) da maha.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 Ea mifoga lalu nema: ne fulabosa. Ea lafidili, lalu gona: su da heloagala: sa.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 Ea galogoa da gasa bagadeba: le, ema doaga: be dunu huluane da beda: gia: sa.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 Ea gadofoa dibi asaboi da hame ba: sa. Ea gadofo da ouli defele, ga: nasidafa.
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 Ea dogo da widi goudasu igi agoai, ga: nasidafa. E da beda: su hamedafa dawa:
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 E da wa: legadosea, baligili gasa bagade dunu amolawane da beda: gia: sa. Ilia da bagadewane beda: iba: le, hahanidafa ba: sa.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 E fofa: gimusa: , gegesu gobihei da hamedafa gala. Goge agei, amola dadi da ema se ima: ne hamedafa gala.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 E da ouli, amo gisi defele, gasa hamedei ba: sa. Amola e da balase amo ifa dasai defele ba: sa.
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 E da dadi gala: be amoga hobeamusa: ; hame dawa: Dunu da ema gelega gala: be da gisi bioiga gala: be agoane hagisa.
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 Ea ba: sea, gegesu gigi da gisi biole hagi agoai ba: sa, amola dunu da ema dadiga gala: sea, e da amoba: le ousa.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 Ea hagomo gagi da laga osoboga hamoi ofodo gagoudane fofonoboi defele ba: sa. Ilia da osobo gidinasu defele, fafu osobo dogonana.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 E da hano wayabo bagade, hano gobei dubu heda: be agoai amola susuligi di bubunuma heda: be agoai, hamosa.
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 E da hano wayabo bagade da: iya ahoasea, e da ela: mei logo agoane hamosa. E da hano dubu foloai agoai hamosa.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Osobo bagadega, e agoai hame ba: sa. E da beda: su hamedafa dawa:
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 E da hidale, eno ohe fi huluane ilima ba: le gudusa. E da sigua ohe fi huluane ilima hina bagade agoai esala.
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Yoube 41 >