< Yoube 39 >
1 Di da goumia esalebe goudi ilia lalelegesu eso dawa: sala: ? Di da sigua ‘dia’ gebo ilia mano lalelegei hou ba: bela: ?
“Je, wajua ni wakati gani mbuzi wa mlimani wanapozaa? Je, watambua ni wakati gani kulungu jike azaapo mtoto wake?
2 Di da ilia eso habodayane galuiyale dawa: bela: Di da ilia lalelegemu eso ilegei dawa: sala: ?
Je, waweza kuhesabu miezi hadi wazaapo? Je, unajua majira yao ya kuzaa?
3 Ilia habogala mano lamusa: beguduli lobo gaguladabe, amo di dawa: bela: ?
Wao hujiinamisha na kuzaa watoto wao; utungu wa kuzaa unakoma.
4 Ilia da iwiladafa amo ganodini gasa lale, alesa. Ilia da ga asili, hame buhagisa.
Watoto wao hustawi na kuongezeka nguvu nyikani; huenda zao wala hawarudi tena.
5 Sigua dougi halegale masa: ne, nowa ilia logo doasibala: ?
“Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru? Ni nani aliyezifungua kamba zake?
6 Na da ili amogai esaloma: ne, hafoga: i soge ilima i. Ilia da hafoga: i deme (sali) dialebe umiga esaloma: ne, Na logo doasi.
Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake, nchi ya chumvi kuwa makao yake.
7 Ilia sia: gulubagebe moilai bai bagade gadenene hame esala. Amola dunu ilia da ili fofole amola ilia hawa: hamoma: ne sia: mu hamedei ba: sa.
Huzicheka ghasia za mji, wala hasikii kelele za mwendesha gari.
8 Ilia goumia mola: iya: i ha: i manu hogosa.
Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho na kutafuta kila kitu kibichi.
9 Sigua bulamagau gawali da digili hawa: hamonesima: bela: ? E da dia bulamagau diasuga gasi afae esaloma: bela: ?
“Je, nyati atakubali kukutumikia? Atakaa karibu na hori lako usiku?
10 Di da sigua bulamagau gawali afaema efe gomenesili, osobo gidinama: ne sia: mu dawa: bela: ? Di da e gomenesili, osobo gisuga gima: ne sia: mu dawa: bela: ?
Je, waweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba? Je, atalima mabonde nyuma yako?
11 Di da ea gasa bagade amoga e da dia hawa: hamosu fawane hamoma: ne dafawaneyale dawa: bela: ?
Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi? Utamwachia yeye kazi zako nzito?
12 E da dia bugi gamisu dima gaguli misa: bela: ? E da gagoma dia dabasu faia dialebe, amo gagadole lidima: bela: ?
Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?
13 ‘Osadaligi’ (wida agoai) ea ougia da hedolodafa dada ahoa. Be ‘osadaligi’ afae da ‘sidoge’ ea hagili ahoabe defele hame dawa:
“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo.
14 ‘Osadaligi’ da ea oso da osobo da: iya dogoloma: ne legesa.
Huyataga mayai yake juu ya ardhi, na kuyaacha yapate joto mchangani,
15 Be e da asigi dawa: su hame dawa: beba: le, amo oso da emoga hasalasimu o sigua ohe amoga goudanisimu, amo e da hame dawa:
bila kujali kuwa mguu waweza kuyaponda, kwamba baadhi ya wanyama wa porini wanaweza kuyakanyaga.
16 E da amo oso da ea: hameyale defele, e da hamosa. E da ea oso udigili legebayale dawa: beba: le, hame da: i diosa.
Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake; hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,
17 Be Ni fawane da e gagaoulisi, amola ema bagade dawa: su hame i.
kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima, wala hakumpa fungu la akili njema.
18 Be e da muni hehenane ahoasea, e da hosi amola hosi fila heda: i dunu amoba: le ousa.
Lakini akunjuapo mabawa yake kukimbia, humcheka farasi pamoja na yeye aliyempanda.
19 Yoube! Di fawane da hosi ilima gasa ibala: ? Di fawane da ilima ilia mugi hinabo sedade ibala: ?
“Je, wewe humpa farasi nguvu au kuivika shingo yake manyoya marefu?
20 Di da ili danuba: defele soagagala: ma: ne ilima ibala: ? Amola ili dunu beda: ma: ne hagogala: ma: ne hamobela: ?
Je, wewe humfanya farasi aruke kama nzige, akistaajabisha kwa tishio la mlio wake wa majivuno?
21 Hosi da nimiwane osobo fagoa gudu gigila: sa. Ilia da ilia gasa huluane defele, gegemusa: hehenasa.
Huparapara bila woga, akizifurahia nguvu zake, husonga mbele kukabiliana na silaha.
22 Ilia da beda: su hamedafa dawa: Amola gegesu gobihei afae da ili sinidigima: ne hamomu hame dawa:
Huicheka hofu, haogopi chochote, wala haukimbii upanga.
23 Ilima fila heda: i dunu ilia gegesu liligi da ginina: ginina: sa, amola esoga baba gaga: la: sa.
Podo hutoa sauti kando yake, pamoja na mkuki unaongʼaa na fumo.
24 Fofogadigili yaguguli, ilia misosogane hehenasa. Gegesu dalabede da wesea, ilia da nimi agoane fofoga: sa.
Bila woga na kwa ghadhabu huimeza nchi, wala tarumbeta iliapo yeye hawezi kusimama.
25 Dalabede da afae wele gasea, hosi da hagogala: sa. Ilia da gegesua hame gadeneawane, nimi gaha naba. Ilia dadi gagui ouligisu dunu ilia hamoma: ne wele sia: su naba.
Asikiapo sauti ya baragumu yeye hulia, ‘Aha!’ Hunusa harufu ya vita toka mbali, sauti ya mtoa amri na ukelele wa vita.
26 Buhiba da ea ougia ga (south) amodili da: legasea, di da hagili ahoabe amo ema olelebela: ?
“Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
27 Sia sio da goumi gadodafa amo da: iya bibimusa: dawa: sea, e da hidadea dia hamoma: ne sia: nabimusa: ouesaloma: bela: ?
Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?
28 E da igi gadodafa da: iya bibisa. Amola goumi agesone fisiagagadoi, da ea gagili sali diasu agoai gala.
Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
29 Amogainini, e da ga amola gadenene huluane liligi medoma: ne amola moma: ne hogosa.
Kutoka huko hutafuta chakula chake; macho yake hukiona kutoka mbali.
30 Sia sio ilia da bogoi da: i manusa: beba: le sisiga: sa. Waha debe sia da maga: me nososa.
Makinda yake hujilisha damu, na pale palipo na machinjo, ndipo yeye alipo.”