< Yoube 38 >

1 Amalalu, foga mulu bagade amodili, Hina Gode da Youbema amane sia: i,
Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
2 “Di da abuliba: le Na bagade dawa: su hou da defele hame sia: sala: ? Dia sia: da gagaoui amola hamedei sia: fawane.
“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
3 Wali, molole wa: legadole, Na dima adole ba: be amo nama dabe adole ima.
Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
4 Na da osobo bagade hahamonoba, di amogawi esalebe ba: bela: ? Di da liligi huluane dawa: beba: le, Nama dabe adole ima.
“Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
5 Nowa da osobo bagade ea defei ilegebela: ? Nowa da amo defemusa: , defesu efe bobaila: ? Di da adole iasu huluane dawa: sala: ?
Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
6 Fedege agoane, dunu bugi amo da osobo bagade udidia gadosa, amo adiga udidisala: ? Osobo bagade ea igi bai bagade, nowa da fa: bela: ?
Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
7 Osobo bagade hahamoi eso hehebolo amoga gasumuni huluane da gilisili gesami hea: lalu. Amola Hebene esalebe fi huluane da hahawaneba: le, wele sia: i.
wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, na malaika wote walipokuwa wakipiga kelele kwa furaha?
8 Hano wayabo bagade da musa: osobo bagade dogoa ganodini galu amo fudagala: le, ga ahoanoba, osobo bi hamoi amo hasalasisa: besa: le, nowa da ea logo hedofama: ne, logo ga: su ga: sibala: ?
“Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
9 Na Nisu fawane da hano wayabo bagade mumobiga dedebolesi dagoi. Na Nisu fawane da hano wayabo bagade gasiga lala: boloi.
nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
10 Na da hano wayabo bagade alalo ilegei, amola ga mae masa: ne logo gaga: lesi.
nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
11 Na da hano wayabo bagadema amane sia: i, ‘Dia alalo da goea! Amo mae baligigama! Dia gasa bagade gafulubi amoga, amo alalo mae baligiligama!’
niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
12 Yoube! Di da dia esalusu ganodini huluane amo eso hehebolo misa: ne sia: bela: ?
“Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
13 Di da hehebolo amoma amane hamoma: ne sia: bela: ? ‘Osobo bagade gagulaligima! Wadela: i hamosu dunu ilia wamoaligisu amoga uguguli gugudili fasima!’ Di da amo hamoma: ne sia: bela: ?
yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
14 Haiyoga, agolo amola fago ilia da abula miginisisi amola laga osoboga dedei agoane, noga: i ba: sa.
Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
15 Wadela: i hamosu dunu da esohaiyo si gagasenei agoai ba: sa. Bai amo da ilia wadela: le hamomu logo hedofasa.
Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
16 Di da hano wayabo bagade lugudu amoga gudunini bubuga: ne gadobe amo ba: la asibala: ? Di hano wayabo bagade amo hano oso hagudu amo da: iya lalula: ?
“Je, umepata kufika kwenye chemchemi za bahari? Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi?
17 Dunu afae da dima logo ga: su, amo da bogoi gasi soge ga: sibi, amo dima olebela: ?
Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti?
18 Di da osobo bagade ea bagade defei amo dawa: bela: ? Dia da dawa: i galea, nama adoma!
Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.
19 Dia da hadigi ea mabe bai dawa: bela: ? Amola gasi ea banuguma dawa: bela: ?
“Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
20 Dia da hadigi amola gasi amoma ela masa: ne olemu dawa: bela: ? Amola ela bu sinidigima: ne adomu dawa: sala: ?
Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
21 Dafawane! Di da amo hou huluane dawa: ! Di da da: i hamoi dagoi. Amola Na da osobo bagade hahamoloba, di amo amogai esalula: ?
Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
22 Di da liligi legesu diasu amoga Na da mugene (snow) amola mugene ga: nasi (hail) legesa, amoga ba: la asibala: ?
“Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
23 Na da gegesu amola bidi hamosu eso amoga, ha lai dunuma gegema: ne amo liligi ouligisa.
ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
24 Di da eso ea mabe sogebi amo ba: la asibala: ? Di da gusudili fo ea mabe sogebi amo ba: la asibala: ?
Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
25 Gibu bagade dasea, hano sa: ima: ne, nowa ogabela: ? Isu gibula bobodole masa: ne, nowa da logo fodobela: ?
Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
26 Dunu hame esalebe soge amogai gibu sa: ima: ne, nowa da hamobela: ?
ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
27 Gisi noga: le heda: ma: ne, nowa da hafoga: i sogega gibu iabela: ?
ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
28 Gibu amola oubi baeya ela da eda ganabela: ?
Je, mvua ina baba? Ni nani baba azaaye matone ya umande?
29 ‘Aisi’ amola mugene ela eme da nowala: ?
Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,
30 Mugene da hano amo igi ga: nasi agoai hamosa, amola hano wayabo bagade ea odagi ga: nasi hamosa.
wakati maji yawapo magumu kama jiwe, wakati uso wa vilindi vya maji unapoganda?
31 Di da Balia: idese gasumuni ili dodobole la: la: gimusa: dawa: bela: ? Di da Olione gasumuni la: la: gi fadegamusa: dawa: bela: ?
“Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
32 Di da eso huluane gasumuni ilima logo olelemusa: dawa: bela: ? Di da Bea Bagade amola Bea Fonobahadi gasumuni ilima masunu logo olelemusa: dawa: bela: ?
Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
33 Di da malei amo da mu ouligibi, amo dawa: bela: ? Amola amo malei da osobo bagade ouligima: ne, afadenemusa: dawa: bela: ?
Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?
34 Di da mumobima, ili hamoma: ne wele sia: mu dawa: bela: ? Amola ili dia gibuga nanegama: ne sia: musa: dawa: bela: ?
“Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?
35 Amola di da ha: ha: nama nene gala: ma: ne sia: sea, ha: ha: na da dima misini, ‘Na da dia hamoma: ne sia: i defele hamomu’, amane sia: ma: bela: ?
Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?
36 Nowa da aowahea sio amoma Naile hano ea fili gala: be eso olelesala: ? Nowa da gagala gawalima gibu da sa: ima: ne sia: sala: ?
Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
38 Nowa ea bagade dawa: suga mumobi idima: bela: ? Amola nowa ea bagade dawa: suga mumobi amo gibu sogadigima: ne, giwigilisimusa: dawa: sala: ? (Gibu da gulu ganumu ga ganumunisisa.)
wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
“Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
40 Laione wa: me amola ha: aligi laione wa: me waha debe, amo da magufu gelaba amola ilia diasu ganodini wamoaligisa, di da iligili ha: i manu hogole iabela: ?
wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
41 Da: sio da ha: aligili udigili lalea, amola ilia mano da Nama ha: i manusa: dini iasea, nowa da ilima ha: i manu iahabela: ?
Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?

< Yoube 38 >