< Yoube 37 >
1 Na da isu gibula bobodobe ba: sea, na dogo da gilugilusa.
Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
2 Dilia huluane! Gode Ea sia: nabima! Gugelebe amo da Ea lafidili mabe, nabima!
Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
3 Gode da ha: ha: na diga: be muagadodili iasisa. Ha: ha: na da osobo bagade na: iyado bega: bega: ahoa.
Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
4 Amasea, Gode Ea gogonomosu naba. Amo da gugelebe ea gogonomobe bagade. Amola ha: ha: na da mae fisili nene gala: lala.
Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
5 Gode da sia: sea, fofogadigisu liligi da doaga: sa. Ninia da agoai liligi hame dawa: digisa.
Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
6 Ea sia: beba: le, mugene da osoboga daha. Gode da gibu bagadedafa osobo bagadega iasisa.
Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
7 E da dunu ilia hawa: hamosu dagolesisa. E da Ea gasa bagade hamobe ilima olelesa.
Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
8 Sigua ohe fi da ilia diasuga ahoa.
Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
9 Gibula bobodoi isu da ga (north) amodili maha. Anegagidafa fo da ga (south) amodili maha.
Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
10 Gode Ea mifo da hano anegagini, ga: nasi mugene hamosa.
Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
11 Haha: na da mu mobiga nene gala: sa.
Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
12 Mumobi da Gode Ea hanaiga ahoa. Osobo bagade huluane ganodini, mumobi da Gode Ea hamoma: ne sia: be defele hamosa.
Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
13 Gode da osobo bagadega hano soga: ma: ne gibu iaha. Eso enoga E da osobo bagade dunu ilima se dabe ima: ne gibu iaha. Amola eso enoga E da ilia hahawane ba: ma: ne, gibu iaha.
Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
14 Yoube! Di fonobahadi ouesalu, nabima! Gode Ea noga: idafa hamobe amo dadawa: ma!
Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
15 Gode da ha: ha: na nene gala: ma: ne sia: sa! E da habodane agoai hamosala: ? Di amo dawa: sala: ? E da habodane ha: ha: na mumobiga nene gala: ma: ne hamosala: ?
Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
16 Gode da fofogadigiliwane hamobela: le, mumobi da muagado gila ahoa. Di da amo mumobi ilia gila ahoabe hou ea bai dawa: sala: ?
Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
17 Hame mabu! Ga (south) dogoloi fo da soge wadela: sea, di da dogolobeba: le, se naba.
Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
18 Gode da mu fadegale gagasea, di da E fidimu dawa: sala: ? E da mu ga: nasi gula enemei defele hamosea, di da E fidimu dawa: sala: ?
Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
19 Gode! Ninia Dima sia: mu amo Dia ninima olelema! Ninia asigi dawa: su da hame gala. Ninia sia: mu gogolesa.
Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
20 Na da Godema sia: musa: hame adole ba: mu. Bai na da abuliba: le, E na gugunufinisisima: ne logo doasima: bela: ?
Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
21 Wali, mu da: iya hadigi da si nenemeginana. Amaiba: le, ninia ba: mu si gasenei. Mu da foga fulaboiba: le, fofoloi gala.
Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
22 Ninia da ga (north) la: idiga gouli agoai hadigi ba: sa. Amo da Gode E hadigi, amola amoga ninia da beda: sa.
Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
23 Gode Ea gasa da bagadedafaba: le, ninia da E gadenena misunu da hamedei. Ea ninima hamobe liligi huluane da moloidafa amola defele hamosa.
Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
24 Amaiba: le, dunu huluane ilia Ema beda: su hou da fofogadigisu liligi hame. E da nowa dunu da hidale, hifae da asigi dawa: su bagade lai dagoiyale sia: sea, E da amo dunu ea sia: hame naba.
Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”