< Yoube 35 >

1 Yoube! Di da Gode Ea siga ba: ma: ne moloidafa fawane hamosa sia: be, amo da defea hame.
Aidha, Elihu aliendelea kusema,
2
“Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
3 Di da Godema amane sia: sa. ‘Na wadela: i hou da Dima bai hame gala. Na da wadela: i hou hame hamoiba: le, bidi noga: i hamedafa ba: i.’ Amo sia: amola da defea hame.
Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
4 Na da dima amola dia samalalima gilisili adole imunu.
Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
5 Mu ba: ma! Mu mobi gadodafa dialebe amo ba: ma!
Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
6 Di da wadela: le hamoi ganiaba, Gode da se hame naba: loba. Di da wadela: i hou gebewane hamonanea, Gode da Ea hou afadenema: bela: ?
Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
7 Di da moloidafa hou hamobeba: le, Godema fidima: bela: ? Gode da dima fidisu lamu da hamedei.
Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
8 Dia da wadela: le hamobeba: le, dunu eno da se naba. Amola dia da noga: i hou hamosea, amo da ilia hou fidisa.
Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
9 Gasa fi dunu da eno dunu banenesisia, ilia da gogonomosa. Ilia dunu eno ili gaga: ma: ne wele sia: sa.
Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
10 Be ilia da ili hahamosu Godema hame sinidigisa. Be ilia da gasi dunasi amo ganodini se nabawane esalea, Gode da ilima hobea misunu hahawane hou dafawane hamoma: beyale dawa: lusu imunusa: dawa:
Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
11 Ilia Godema hame sinidigisa. Be Gode da bagade dawa: su hou ninima iaha. Amola E da amo ninima iabeba: le, ninia asigi dawa: su da ohe fi amola sio fi huluane ilia asigi dawa: su baligisa.
ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
12 Ilia da Godema, ili fidima: ne wele sia: sa, be Gode da ilima dabe hame adole iaha. Bai ilia da hidale gasa fili agoane wadela: le hamosa.
Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
13 Ilia udigili agoane fidima: ne wele sia: sa. Bai Gode Bagadedafa da ili hame ba: sa amola ilia sia: hame naba.
Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
14 Yoube! Di Gode hame ba: sa sia: sa! Be gebewane ouesaloma! Gode da Ea ilegei eso doaga: sea, fofada: mu.
Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
15 Di da Gode da se dabe hame iaha dawa: sa. Di da Gode da wadela: i hou hame abodesayale dawa: sa.
Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
16 Di da bu gebewane sia: nanumu da hamedei. Na ba: loba, dia da bai hame dawa: beba: le, udigili sia: daha.
Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”

< Yoube 35 >