< Yoube 34 >
1 Dilia da asigi dawa: su bagadedafa dunuse! Wali na sia: nebe amo nabima!
Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
“Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
3 Dilia da ha: i manu naba: lalu, amo ha: i manu da noga: iyale dawa: digisa. Be bagade dawa: su sia: amo dilia nabasea, hamedafa dawa: digisa.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
4 Be amo sia: da nini ninisu sia: sa: ili, ilegemu da defea.
Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
5 Yoube hi da wadela: le hame hamoi amola ea hou da moloidafa sia: sa. Amola Gode da e da giadofale hame hamoi, amane hame sia: i, Yoube da amane egane sia: sa.
Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
6 Yoube da amane adole ba: sa, ‘Na da giadofai, ogogolewane abuli sia: ma: bela: ? Na da bogoma: ne fofa: gi dagoi, be na da wadela: le hame hamoi,’
Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
7 Dilia dunu Yoube agoai ba: bela: ? E da Gode da Mimogo Baligili Bagadedafa Dunu hame dawa: sa.
Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
8 E da wadela: i hamosu dunuma gilisimu hanai, amola ili gilisili ahoana.
ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
9 E da Gode Ea hanai amoga fa: no bobogesu hou da dunu hame fidisa, amane sia: sa.
Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
10 Dilia bagade dawa: su dunu! Gode Bagadedafa da giadofale hamoma: bela: ? Hame mabu!
Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
11 E da dunu ilia hamobe defele, ilima bidi iaha. Amola ilia hou hamoi defele, ilima hamosa.
na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
12 Gode Bagadedafa da wadela: le hamomu hamedafa dawa: E da dunu huluane ilima moloidafa hou fawane hamosa.
Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
13 Gode da Ea gasa enoma labala? Dunu eno da Ema E da osobo bagade ouligima: ne ilegebela: ? Hame mabu!
Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
14 Gode da esalusu mifo amo bu samogei ganiaba,
Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
15 esalebe dunu huluanedafa da bogole, bu gulu dou hamona: noba.
basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
16 Dilia da bagade dawa: su galea, na sia: be nabima!
Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
17 Dilia da Gode Moloidafa Ema diwaneya udidisala: ? E da moloidafa fofada: su higasa, dilia da dawa: sala: ?
Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
18 Hina bagade dunu amola ouligisu dunu da wadela: le hamosea, Gode da ilima se dabe ima: ne, fofada: sa.
Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
19 E da ouligisu dunumagale hame fofada: sa. Amola bagade gagui dunu da hame gagui dunuma fofada: sea, E da bagade gagui dunumagale hame fofada: sa. Bai E da dunu huluane defele hahamoi dagoi.
Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
20 Amabela: ? Ninia hedolowane gasia bogoma: bela: ? Gode da nini fabeba: le, ninia da bogosa. E da asabolewane, mimogo gasa bagade dunu medole legesa.
Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
21 E da ninia osa: le gagabe huluane sosodolala.
Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
22 Gasidunasidafa da Gode mae ba: ma: ne, wadela: i dunu uligimu hamedei.
Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
23 Ninia huluane da Ema fofada: musa: doaga: mu. Be E da amo eso hame ilegesa.
Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
24 E da ouligisu dunu fadegale, eno dunu ilia sogebi lama: ne ilegesea, E da abodele hame ba: sa.
Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
25 Bai E da ilia hamobe huluane dawa: E da ili fadegale, amola gasia ili banenesisa.
Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
26 E da dunu huluane ba: ma: ne, wadela: le hamosu dunugili se dabe iaha.
Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
27 Bai ilia da Ema fa: no bobogebe hou yolesili, Ea hamoma: ne sia: i huluane higa: i.
kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
28 Ilia da hame gagui dunu banenesiba: le, hame gagui dunu da Godema ili fidima: ne wele sia: i. Amola Gode da ilia wele sia: i nabi dagoi.
Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
29 Gode da fidisu hame hamoma: ne ilegei ganiaba, dunu da Ema gagabuli sia: mu da hamedela: loba. E da Ea odagi ninia mae ba: ma: ne wamoaligisu hamoi ganiaba, nini da hahanini wadela: lesi dagoi ba: la: loba.
Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
30 Gode Ea hou hame lalegagui banenesisu dunu fawane da fifi asi gala amo ouligimu ga: la: loba, amola amo fifi asi gala dunu da amo hou afadenene hamedei ba: la: loba.
ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
31 Yoube! Di da dia wadela: i hou amo Godema sisane fofada: bela: ? Di da Ema, dia da bu hamedafa wadela: le hou hamomu, ilegele sia: bela: ?
Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
32 Di da Godema E da dia giadofasu dima olelema: ne adole ba: bela: ? Dia wadela: le hamonanebe amo yolesima: ne, Ema sia: bela: ?
nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
33 Di da Gode Ea dima hamoma: ne sia: i amo higabeba: le, di abuliba: le E da dia hanai defele hamoma: beyale dawa: sala: ? Na da hame sia: mu. Di fawane sia: ma! Wali, dia asigi dawa: su ninima adoma!
Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
34 Bagade dawa: su dunu, ilia da na sia: be defele amane dawa: mu,
Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
35 ‘Yoube e da hame dawa: beba: le, udigili hamedei sia: fawane sia: sa.’
Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
36 Yoube ea sia: i liligi huluane noga: le abodele dawa: ma. Amasea, e da wadela: i hou hamosu dunu defele sia: sa, dilia da ba: mu.
Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
37 E da ea wadela: i hamobe amoma odoga: su hou gilisisa. E da ninia midadi, Godema habosesesa.
Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”