< Yoube 33 >

1 Amola wali, Yoube! Na sia: huluane noga: le nabima!
“Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu; zingatia kila kitu nitakachosema.
2 Na da na asigi dawa: suga liligi huluane sia: musa: momagele esala.
Karibu nitafungua kinywa changu; maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
3 Na sia: huluane da moloidafa amola na da dafawane sia: fawane sia: mu.
Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
4 Gode Ea A: silibu da na da: i hahamoi amola nama esalusu i.
Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
5 Di da nama bu adole imunu defele galea, nama adole ima. Dia fofada: mu sia: amo hahamoma.
Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.
6 Ani galu da Gode Ea siga ba: ma: ne defele esala. Gode da ani laga osoboga hahamoi.
Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
7 Amaiba: le, di da nama beda: mu bai da hame gala. Na da di hame banenesimu!
Huna sababu ya kuniogopa, wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
8 Na da nabi, di da amane sia: i,
“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
9 ‘Na da hame giadofai. Na da wadela: le hame hamosu. Na da moloidafa amola wadela: i hou hame dawa:
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
10 Be Gode da udigili nama doagala: musa: , logo hogosa. E da na Ea ha lai dunu defele ba: sa.
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
11 E da na emo sia: inega la: gisa. E da na osa: le gagabe huluane ha: giwane sosodo aligisa.’
Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
12 Be Yoube! Na da dima sia: sa! Di da giadofai dagoi. Gode Ea hou da osobo bagade dunu huluane ilia hou baligisa.
“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
13 Dia abuliba: le Gode da ninia egane sia: be amoma hame adole iaha, Ema amane diwaneya udidisala: ?
Kwa nini unamlalamikia kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
14 Gode da gebewane sia: nana, sia: nana, be dunu afae da Ea sia: hame naba.
Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
15 Gasia, dunu ilia da golasea, Gode da simasia amola esala ba: su amodili ilima olelesa.
Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
16 Ilia da Ea sia: nabimusa: , E da ilima logesa. Amasea, ilia da Ea sisane sia: nabasea, beda: gia: sa.
anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
17 Gode da ilia wadela: le hamosu logo hedofamusa: sia: sa. E da ili hidale agoane gasa fi hou hamosa: besa: le, ilima sia: sa.
ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
18 E da ili gugunufinisima: ne logo hame doasimu. E da ili bogosa: besa: le gaga: sa.
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
19 Gode da dunu moloma: ne, olo amola da: iba: le se iasu ema iasisa.
Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
20 Olo madelai dunu, ea da magedasu hou fisisa. Ha: i manu noga: idafa ea higa: i ba: sa.
kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
21 Ea da: i da udigili geloga: le, gasa dabuawane ba: sa.
Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda, nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika, sasa inatokeza nje.
22 Ea da bogoi sogega masunu gadenei ba: sa.
Nafsi yake inakaribia kaburi, nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
23 Gode Ea a: igele dunu osea: idafa da e moloiwane hamoma: ne olelesa. Amabela: ? A: igele dunu afae da amo oloi dunu fidimusa: misa: bela: ?
“Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
24 A: igele dunu da ema asigiba: le, amane sia: mu. ‘E masa: ne yolesima! Ea da bogoi sogega gudu hame sa: imu. Ea halegale masa: ne, dabe da wea!”
kumwonea huruma na kusema, ‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni; nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
25 Ea da: i hodo da bu gaheabolowane gasa fimu.
ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto; hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
26 Ea da Godema sia: ne gadosea, E da ea sia: nabimu. Ea da hahawane Godema nodone sia: ne gadomu. Gode da ea hou huluane bu hahamomu.
Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
27 Dunu afae afae, ea da odagiaba amane sisane fofada: mu, ‘Na da wadela: le hamoi dagoi. Na da molole hame hamoi, be Gode da na gaga: i.
Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
28 E da na bogoi sogega sa: imu logo amo hedofaiba: le, na da esalebe wea.’
Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
29 Gode da amo hou huluane gebewane hamonana.
“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
30 E dunu ea esalusu amo gaga: le, amola amo dunu hahawane esaloma: ne hamosa.
ili aigeuze nafsi yake toka shimoni, ili nuru ya uzima imwangazie.
31 Wali, Yoube! Na sia: be goe nabima! Ouiya: ma! Na sia: na: !
“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
32 Be di da sia: galea, na naba: ! Di da moloidafa galea, na da dia: sia: hame gua: mu!
Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
33 Be amai hame galea, ouiya: ma! Amola na sia: nabima! Amola di da bagade dawa: su hou lama: ne, na da dima olelemu.
Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”

< Yoube 33 >