< Yoube 3 >

1 Eso fesuale da baligili, Yoube da ouiya: le esalu amo sia: baoui amola e lalelegei eso amo gagabuli amane sia: i,
Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.
2
Kisha akasema:
3 “A: i! Gode! Na lalelegei eso amoga gagabuli sia: ma! Na: mea hagomo ganodini hamobe galu amoga gagabuli sia: ma!
“Siku ya kuzaliwa kwangu na ipotelee mbali, nao usiku ule iliposemekana, ‘Mtoto wa kiume amezaliwa!’
4 Gode, amo eso bu gasilisima. Amo eso bu maedafa bu dawa: loma. Amo esoga hadigi bu mae diga: ma: ma.
Siku ile na iwe giza; Mungu juu na asiiangalie; nayo nuru isiiangazie.
5 Amo eso gasi dunasima: ne hamoma. Mu mobi da amo eso hadigi dedeboma: ne hamoma! Amola eso ea diga: be uligilisima.
Giza na kivuli kikuu kiikalie tena; wingu na likae juu yake; weusi na uifunike nuru yake.
6 Amo gasi odega dialebe fadegama! Amo gasi odega dialebe bu mae idima: ma.
Usiku ule na ushikwe na giza kuu; usihesabiwe katika siku za mwaka, wala usihesabiwe katika siku za mwezi wowote.
7 Na: mea hagomo ganodini hamobe gasi, amo da da: i dioi bagade amola hamedei agoane ba: mu da defea.
Usiku ule na uwe tasa; sauti ya furaha na isisikike ndani yake.
8 Gabi dawa: su dunu (amo da hanome agoai ohe bagade Lifaiada: ne ouligimusa: dawa: ) ilia da amo gasiga gagabusu aligima: ne sia: mu da defea.
Wale wazilaanio siku wailaani hiyo siku, wale walio tayari kumwamsha Lewiathani.
9 Dia gusubia gasumuni ea diga: be amo uligilisima. Amola amo gasi mae hadigima: ne hamoma!
Nyota zake za alfajiri na ziwe giza; nao ungojee mwanga bila mafanikio, wala usiuone mwonzi wa kwanza wa mapambazuko,
10 Amo gasi da na lalelegemu logo doasiba: le, amo gasiga gagabusu aligima: ne sia: ma. Bai amo gasi da nama bidi hamosu amola se nabasu fawane iasi.
kwa sababu huo usiku haukunifungia mlango wa tumbo la mama yangu, ili kuyaficha macho yangu kutokana na taabu.
11 Na da na: me hina: hagomoa ganodini bogomu da defea galu. O lalelegesula amogalawane bogomu da defea galu.
“Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni?
12 Na: me da abuliba: le ea masele da: iya na febela: ? Abuliba: le nama dodo iasula: ?
Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea na matiti ili nipate kunyonyeshwa?
13 Na amogala bogosa ganiaba, na da wali hele esala: loba!
Kwa maana sasa ningekuwa nimepumzika kwa amani. Ningekuwa nimelala na kupumzika
14 Na da hina bagade amola ouligisu dunu amo da musa: hina bagade diasu buga: le gagui, amo defele golai diala: loba.
pamoja na wafalme na washauri wa dunia, waliojijengea mahali ambapo sasa ni magofu,
15 Na da hina bagade manolali amo da ilia diasu silifa amola gouli amoga nabalesi, amo defele golai diala: loba.
pamoja na watawala waliokuwa na dhahabu, waliozijaza nyumba zao kwa fedha.
16 O na da daba: me asi mano agoai golai diala: loba.
Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu, kama mtoto mchanga ambaye kamwe hakuuona mwanga?
17 Bogoi uli dogoi ganodini, wadela: i hamosu dunu da wadela: le hame hamosa. Amola hawa: hamonana helei dunu ilia da hawa: hamosu fisili, helefisa.
Huko waovu huacha kusumbua na huko waliochoka hupumzika.
18 Bogoi uli dogoi ganodini sali dunu ili amolawane da olofosu ba: sa. Amogawi ouligisu dunu da ilima hame halagala: sa.
Wafungwa nao hufurahia utulivu wao, hawasikii tena sauti ya kukemea ya kiongozi wa watumwa.
19 Amogawi, dunu huluane bogogia: i dialebe ba: sa. Mimogo dunu amola asaboi dunu huluanedafa da bogoi uli dogoiga doaga: le, dialebe. Udigili hawa: hamosu dunu da ilia udigili hawa: hamosu amoga fisiagai agoane ba: sa.
Wadogo na wakubwa wamo humo, na mtumwa ameachiwa huru kutoka kwa bwana wake.
20 Dia da abuliba: le, dunu se bagade nabawane esaloma: ne, ilia logo doasisala: ? Abuliba: le, da: i dioi bagade dunuma hadigi iaha?
“Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni, na hao wenye uchungu kupewa uhai,
21 Ilia da bogoma: ne ouligisa, be bogosu da ilima hame doaga: sa. Ilia da osobo bagade noga: idafa liligi hame hanai, bogoi uli dogoi fawane hanai gala.
wale wanaotamani kifo ambacho hakiji, wale watafutao kufa zaidi ya kutafuta hazina iliyofichwa,
22 Ilia da bogole, uli dogoiba: le fawane hahawane ba: sa.
ambao hujawa na furaha, na hushangilia wafikapo kaburini?
23 Gode da ilima fa: no misunu hou wamolegesa. Amola ili mae hobeama: ne, E da ili sisiga: sa.
Kwa nini uhai hupewa mtu ambaye njia yake imefichika, ambaye Mungu amemzungushia boma?
24 Na da ha: i mae nawane, unuma: ne fawane dinana. Na da gogonomonanusu da yolemu hamedei gala.
Kwa maana kulia kwangu kwa uchungu kwanijia badala ya chakula; kusononeka kwangu kunamwagika kama maji.
25 Liligi huluane amoga na beda: be da dafawane hamosa.
Lile nililokuwa naliogopa limenijia; lile nililokuwa ninalihofia limenipata.
26 Na olofosu amola helefisu hamedafa dawa: , amola nama bidi hamosu da yolemu hame ba: sa.”
Sina amani, wala utulivu; sina pumziko, bali taabu tu.”

< Yoube 3 >