< Yoube 29 >
1 Yoube da bu amane sia: i,
Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2 Gode da musa: na esalusu noga: le ouligi. Na da bu agoane esalumu da defea galu.
“Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita, zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
3 Amo esoga, Gode da na mae fisili, ani ahoasu. Na da gasi ganodini ahoabeba: le, E da nama hadigi iasu.
wakati taa yake iliniangazia kichwani changu, na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
4 Amo esoga na da bagade gaguiwane ba: i. Gode da nama dogolegeiba: le, E da na diasu amola sosogo fi gaga: i.
Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
5 Gode Bagadedafa da ani esalu. Amola na mano huluane hahawane nini dafulili lelefulu.
wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
6 Na bulamagau amola goudi, ilia da dodo maga: me bagade i. Amola na olife ifa ilia da igi galoase osobo da: iya noga: le heda: i.
wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi, nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
7 Na moilai bai bagade asigilai dunu da sia: sa: imusa: gilisilaloba, na amola da ilima gilisi.
“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
8 Ayeligi dunu da na ba: le, gasigasu. Amola da: i hamoi dunu da nama yosia: musa: , wa: legadosu.
vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
9 Dunu fi ouligisu dunu da naba: le sia: ouiya: su.
wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
10 Mimogodafa dunu da ouiya: le esalebe ba: su.
wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
11 Dunu huluane da na hou ba: beba: le, o enoga amo hou nababeba: le, ilia da na hou amoma nodone sia: i.
Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
12 Hame gagui dunu da digini wele sia: beba: le, na da ili fidisu. Na da guluba: mano amo da fidisu dunu hamedafa gala, ili fidi.
kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
13 Dunu amo da da: i dioi bagadedafa nabi, ilia da nama nodosu. Amola uda didalo gaga: iwane esaloma: ne, na fidisu.
Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki, nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
14 Na da eso huluane moloidafa hou fawane hamonanu.
Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
15 Na da fedege agoane, si dofoi dunu ilia si agoai galusu, amola emo gasuga: igi dunu ilia emo agoai galusu.
Nilikuwa macho ya kipofu na miguu kwa kiwete.
16 Na da hame gagui dunu ilia eda agoai galusu. Amola ga fi da bidi hamosu ba: loba, na da ilimagai galusu.
Nilikuwa baba kwa mhitaji; nilimtetea mgeni.
17 Na da nimi bagade dodona: gi dunu ilia gasa wadela: lesi. Amola dunu amo da iliba: le se nabi, amo gaga: i.
Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
18 Na da ode bagohame esalumu, amola hahawane na diasuga bogomu dawa: i galu.
“Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
19 Na da ifa amo ea difi da eso huluane hano defele naha, amola ea amoda amola lubi da eso huluane oubi baeyaga nanegasa, amo defele ba: su.
Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
20 Dunu huluane da na houba: le, nodonanusu. Na gasa da hamedafa dafamu agoai ba: su.
Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu, upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
21 Na da fada: i sia: sea, eno dunu da ouiya: lewane nabasu. Ilia da na sia: dawa: iwane nabasu.
“Watu walinisikiliza kwa tumaini, wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
22 Na da sia: dagoloba, ilia eno sia: mu hamedei ba: su. Na sia: da gibu ea dabe agoai ba: su.
Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
23 Ifabi ouligisu dunu da woufo oubi gibu yosia: be, amo defele, dunu huluane da na sia: hahawane nabasu.
Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
24 Ilia da dafawane hamoma: beyale dawa: su fisi dagoi galea, na da ilia dogo denesima: ne, ilima ohomogisu.
Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
25 Na da ilima ouligisu hou hamone, ilegesu hamosu. Hina bagade da ea dadi gagui wa: i gegemusa: oule ahoabe defele, na da ili bisili oule ahoasu. Amola ilia da heawini da: i dione esalea, na da ilia dogo denesinisisu.
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.