< Yoube 26 >

1 Yoube da amane sia: i,
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 “Dilia da na fidiba: ! Na da hahani amola gasa hame galebe.
“Mmemsaidiaje aliyedhaifu!
3 Di da nama fada: i sia: noga: idafa olelesase! Na da gagaoui dunu, be dilia da dilia bagade dawa: su nama olelesase!
Jinsi gani mmemshauri asiye na hekima na kutamka maneno yenye maarifa kwake!
4 Dilia sia: huluane, nowa da nabima: bela: ? Nowa da olelebeba: le, dilia amane sia: sala: ?” Bilida: de da amane sia: i,
Kwa msaada wa nani mmesema maneno haya? Ni roho ya nani iliyotoka ndani yenu?
5 “Bogoi dunu ilia a: silibu osobo hagududi hano amo ganodini fofogosa.
Maiti inatetemeka chini ya maji, na vyote wilivyomo ndani yake.
6 Gode da bogoi dunu ilia soge ba: lala. Ea siga mae ba: ma: ne, amo soge da hame alaloi. (Sheol h7585)
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol h7585)
7 Gode da ga (north) mu amo gasi gagai. E da osobo bagade hame fufua amo ganodini gosagisi.
Huitandaza kaskazi juu ya nafasi wazi na kuining'iniza dunia hewani.
8 Gode Hi fawane da mu mobi amo hanoga nabalesisa. Amola ilia dioi bagadeba: le, ili mae fudagala: ma: ne hamosa.
Huyafunga maji katika mawingu yake mazito, lakini hayagawanyiki chini yake.
9 E da oubi ufa: amo mobiga uligilisisa.
Huufunika uso wa mwezi na kueneza mawingu yake juu yake.
10 E da gasi amola hadigi mogima: ne, osobo bagade dogoa sisiga: le dedenesi.
Amechora ukingo wa duara juu ya maji kama mpaka kati ya nuru na giza.
11 Fedege agoane, E da bada amoga mu udidili gaguia gadosa, amoma badugusia, ilia da beda: ga fofogosa.
Nguzo za mbinguni zinatikisika na zimestushwa na kukemea kwake.
12 E da Ea gasaga, hano wayabo bagade hasalasi. E da gasa bagadeba: le, wadela: i ohe bagade La: iha: be gugunufinisi.
Aliituliza bahari kwa uwezo wake; kwa ufahamu wake alimwaribu Rahab
13 Gode Ea lafi holo da mu haisewe hamoi. Amola ohe bagade da hobeamusa: dawa: loba, E da amo Ea loboga medole legei.
Kwa pumzi yake, aliziondoa mbingu kwa dhorubu; mbingu ziliondolewa kwa dhorubu; mkono wake ulimchoma nyoka anayekimbia.
14 Be Ea gasa bagade hou da amo bagadewane baligisa. Amo hou ninia nababeba: le, da sadoga sia: agoai gala. Bai nowa da Gode Ea Gasa Bagadedafa hou dawa: ma: bela: ?”
Tazama, hizi si zaidi ya madogo ya njia zake; Jinsi gani tunasikia akitunong'oneza! Ni nani awezaye kufahamu uwezo wake.

< Yoube 26 >