< Yoube 18 >

1 Bilida: de da amane sia: i,
Bildadi Mshuhi akajibu:
2 Yoube! Dunu di agoai da ouiya: mu hame dawa: bela: ? Di da fonobahadi ouiya: le esala ganiaba, ninia da dima sia: mu dawa: la: loba.
“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
3 Dia da abuliba: le, ninia bulamagau defele, dawa: hamedei, abuliba: le dawa: sala: ?
Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
4 Dia ougi hou da dima fawane se iaha. Di da ougiba: le, osobo bagade da dunu hame esalebe ba: ma: bela: ? Gode da di fidima: ne, goumi fadegale, eno sogega ligisima: bela: ?
Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
5 Wadela: i hamosu dunu ea gamali da ha: ba: doi dagoi ba: mu. Amo gamali ea lalu gona: su da bu hame ulagimu.
“Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
6 Gamali ea abula diasu ganodini da gasi agoai ba: mu.
Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
7 Ea musa: gasa fili ahoasu, be wali da gogaeane ahoa. Ea da hisu fada: i sia: amoga fa: no bobogebeba: le, dafasa.
Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
8 Ea da gasa: su esa ganodini ahoabeba: le, ea emo lala: gi dagoi ba: sa.
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
9 Sani da ea emo gufiga gagusa.
Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
10 Osobo da: iya efegei da wamolegei diala. Ea logo ahoabe amoga sanisu diala.
Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
11 Fedege agoane, beda: su liligi da ema eale disisa. Beda: su liligi da ea emo osa: le bobogesa.
Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
12 Ea da bagade gagui galu, be wali ea da ha: aligi. Gugunufinisisu hou da e dafulili oulela.
Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
13 Uhimu hamedei olo da ea da: iba: le madelasa. Amoga ea emo amola lobo dasasa.
Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
14 Ea da hahawane ea abula diasu ganodini esalu. Be ea ha lai dunu da amoga e gasawane hiouginanu, fedege agoane hina bagade Bogosu, amoga fofada: musa: hiouginana ahoa.
Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
15 Wali eno dunu da udigili ea abula diasuga esalumu da defea. Be hidadea, fioso medoma: ne, salafa gufagagala: mu da defea.
Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
16 Ea difi amola amoda da biole hafoga: sa.
Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
17 Ea da musa: mimogo dunu galu. Be wali ea fidafa dunu amola ga fi dunu da e gogolei dagoi.
Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
18 Gode da e, esalebe sogega fisili masa: ne, sefasimu. E da hadigi soge amoga fisili masa: ne sefasili, ea da gasi sogega masunu.
Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
19 Ea da ega fifi manebe dunu hame ba: mu, amola dunu afae hame bogoi esalebe da hame ba: mu.
Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
20 Gusudili amola guma: dini, dunu huluane da ema doaga: i hou nabasea, bagadewane beda: iba: le, yagugumu.
Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
21 Wadela: le hamosu dunu amo da Godema hame dawa: sa, ilia da amo hou ilima doaga: i dagoi ba: mu.
Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”

< Yoube 18 >