< Yoube 13 >

1 Dilia sia: be huluane, na da musa: nabi dagoi. Na da amo huluane dawa: ! Dilia dawa: i liligi da na dawa: su hame baligisa. Na da dili defele esala.
“Macho yangu yameona hili lote, masikio yangu yamesikia na kulielewa.
2
Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.
3 Be na da dilima sia: ga gegesu hame gala. Na da Godema fawane sia: ga gegesu gala.
Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.
4 Dilia da hou hamedafa dawa: Amaiba: le, eno dunu da dilia hame dawa: su hou ba: sa: besa: le, dilia udigili ogogosu sia: daha. Dilia da manoma legesu hina dunu amo da oloi uhinisisu hou hame dawa: , agoai ba: sa.
Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo; ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!
5 Dilia ouiya: ma! Amasea, dunu eno da dilia da bagade dawa: su dunu dawa: mu!
Laiti wote mngenyamaza kimya! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.
6 Nabima! Bai na da na hou noga: le dodofele imunusa: momagele esala.
Sikieni sasa hoja yangu; sikilizeni kusihi kwangu.
7 Dilia abuliba: le ogogosala: ? Dilia ogogosu da Gode fidima: beyale, dilia dawa: sala: ?
Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?
8 Dilia da Gode gaga: musa: dawa: sala: ? Dilia da fofada: su diasuga, Gode gaga: ma: ne fofada: ma: bela: ?
Mtamwonyesha upendeleo? Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?
9 Gode da dili ha: giwane sosodosea, E da dilia hou amo ganodini noga: i liligi ba: ma: bela: ? Hame mabu! Dilia da eno dunuma bagade ogogosa. Be dilia Godema agoane ogogomu da hamedei.
Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi? Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?
10 Dilia moloi hame hou da wamolegei dagoi. Be Gode da dilia wamolegei hou ba: mu. Amola E da dilima gagabole sia: mu.
Hakika angewakemea kama mkiwapendelea watu kwa siri.
11 Dilia da Ea gasa bagade hou ba: sea, beda: gia: mu.
Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?
12 Dilia malasu sia: da hamedei, nasubu agoane gala. Dilia sia: ga gegei da gasa hame laga osobo agoai.
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
13 Ouiya: ma! Na sia: ma: ne, logo doasima! Na sia: be ea dabe ninia hobea ba: mu.
“Nyamazeni kimya nipate kusema; kisha na yanipate yatakayonipata.
14 Na da sia: sea, bogosu dabe ba: ma: bela: ? Be na da bogomusa: momagele esala.
Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?
15 Na da hobea misunu hou dafawane hamoma: beyale dawa: su huluane da fisi dagoi. Amaiba: le, Gode da na fane legesea, na da hame dawa: mu.
Ingawa ataniua, bado nitamtumaini; hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.
16 Amabela: ? Na da hame beda: iba: le, na da Godema moloiwane sia: sea, E da nama asigima: bela: ? Bai wadela: le hamosu dunu da beda: iba: le, ilia da Gode Ea odagia moloiwane sia: mu gogolesa.
Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!
17 Defea! Na da na hou olelesea, dili nabima!
Sikilizeni maneno yangu kwa makini; nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.
18 Na da wali na hou noga: le dodofele imunusa: momagele esala. Bai na hou da moloidafa, na dawa:
Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu, ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.
19 Gode! Di da nama diwaneya udidimusa: mahabela: ? Amai galea, na da ouiya: le bogomusa: momagele ouesala.
Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu? Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.
20 Be na da Dima adole ba: su aduna gala. Di da na adole ba: su amoma defele adole iasea, na da Dima hame wamoaligimu.
“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:
21 Adole ba: su afae da, ‘Nama se iabe amo yolesima!’ Eno da ‘Dia na beda: ma: ne mae banenesima!’
Ondoa mkono wako uwe mbali nami, nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.
22 Gode! Di hidadea sia: ma! Amasea, na da Dima dabe adole imunu. O hidadea, na Dima sia: ma: ne logo doasima! Amasea, Di nama dabe adole ima.
Niite kwenye shauri nami nitajibu, au niache niseme, nawe upate kujibu.
23 Na da adi hou giadofabela: ? Na da adi wadela: i hou hamobeba: le, Dima fofada: ma: bela: ?
Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda? Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.
24 Dia abuliba: le naba: le hobeabela: ? Dia abuliba: le, na Dia ha lai dunu defele ba: sala: ?
Kwa nini kuuficha uso wako na kunihesabu mimi kuwa adui yako?
25 Di da na beda: ma: ne hamosala: ? Na da hamedei liligi, lubi agoai gala. Di da fedege agoane gisi bioi amoma doagala: sa.
Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo? Je, utayasaka makapi makavu?
26 Di da nama mi hananewane fofada: nana. Na goi fonoboga wadela: le hamoi liligi, amoba: le Di da nama fofada: sa.
Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.
27 Di da na emo sia: inega la: gilisili, na osa: le gaga ahoabe Di noga: le sosodosa. Na emobu amolawane, Di da noga: le abodele ba: sa.
Umeifunga miguu yangu kwenye pingu. Unazichunga kwa makini njia zangu zote kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.
28 Amaiba: le, na da dasai ifa defele, fofonobone dasale daha. Amola abula aowabaga mai defele, nuini daha.
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.

< Yoube 13 >