< Yoube 10 >

1 Na da esalumu hihi gala. Na egasu sia: nabima!
Nimechoka na maisha yangu; Nitanena wazi manung'uniko yangu; nitasema kwa uchungu wa roho yangu.
2 Gode! Na bogoma: ne, mae fofada: ma! Nama adoma! Na da adi hamoiga fofada: bela: ?
Nitamwambia Mungu, 'Usinihukumie makosa; nionyeshe sababu za wewe kunilaumu mimi. Je
3 Di da nama mae asigiliwane se ianumu da defeala: ? Di da na hamoi dagoi. Amaiba: le, Dia wali na higamu da defeala: ? Amola Di da wadela: le hamosu dunu ilia wadela: i ilegesu hahawane ba: mu da defeala: ?
ni vizuri kwako wewe kunionea mimi, kudharau kazi ya mikono yako wakati unafurahia juu ya mipango ya waovu?
4 Di da nini osobo bagade dunu ninia hou defele, liligi ba: sala: ?
Je wewe una macho ya kimwili? Je wewe unaona kama mtu aonavyo?
5 Dia esalebe ode da ninia esalebe ode defele dunumunihadi ganabela: ? Hame mabu!
Je siku zako ni kama siku za wanadamu au miaka yako ni kama miaka ya watu,
6 Amaiba: le, Dia da abuliba: le na wadela: i hou huluane hogosala: ? Amola na giadofai huluane benea ahoasu defele ba: sala: ?
hata ukauliza habari za uovu wangu na kuitafuta dhambi yangu,
7 Di dawa: ! Na da wadela: le hame hamoi. Amola Di da nama doagala: sea, enoga na gaga: mu da hamedei.
ingawa wewe wafahamu mimi sina kosa na hapana mwingine awezaye kuniokoa mimi na mkono wako?
8 Di da Dia loboga na da: i hamoi dagoi. Be wali Di da Dia loboga, na gugunufinisisa.
Mikono yako imeniumba na kunifinyanga kwa wakati mmoja nawe kunizunguka, hata hivyo unaniangamiza.
9 Di da na osoboga hamoi dagoi, amo mae gogolema! Be wali Di da na goudane, bu gulu hamoma: bela: ?
Kumbuka, nakuomba, ulivyonifinyanga kama vile udongo; je utanirudisha mavumbini tena?
10 Di da na ada na hamoma: ne, ema gasa i. Dia na ame ea hagomo ganodini, na hamoi dagoi.
Je wewe hukunimimina kama maziwa na kunigandisha mfano wa jibini?
11 Di da na da: i hodo amola gasa amola momoge hamoi. Di da na gasa amo huga amola gadofoga dedebolesi.
Umenivika ngozi na nyama na kuniunganisha pamoja kwa mifupa na misuli.
12 Di da nama esalusu amola asigi hou i dagoi. Di da na noga: le ouligibiba: le, na da esalebe goea.
Wewe umenizawadia mimi uhai na ahadi ya upendeleo na usaidizi wako umeilinda roho yangu.
13 Be na da wali dawa: Amo musa: esoga, Di da wamowane na wadela: musa: ilegelalu.
Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni mwako - nafahamu kwamba hivi ndivyo ufikirivyo:
14 Di da na wadela: le hamosa: besa: le, eso huluane na hou ha: giwane sosodosu. Amola na da wadela: le hamoi ganiaba, Di da amo hou hame gogolema: ne olofomu dawa: la: loba.
kuwa kama nimefanya dhambi, wewe utaizingatia; hutaniachilia na uovu wangu.
15 Na da fonobahadi fawane wadela: le hamosea, na da Dia se dabe iasu ba: sa. Be na da moloidafa hamosea, Dia hahawane iasu hame ba: sa. Na da da: i dioi bagade amola bagadewane gogosiasa.
Kama mimi ni muovu, ole wangu; hata kama ni mwenye haki, sitaweza kuinua kichwa changu, kwa kuwa nimejaa aibu na kuyaangalia mateso yangu.
16 Na da noga: le didili hamosea, dunu da laione wa: me fane legemusa: benea ahoabe amo defele, Di da na sebobogesa. Di da na se nabima: ne, musa: hame ba: su gasa bagade hou amolawane hamosa.
Kama kichwa changu kikijiinua chenyewe, waniwinda kama simba; tena wajionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye nguvu kwangu.
17 Di da eso huluane na dafama: ne, ba: su dunu ilegesa. Dia ougi hou da nama doagaga: sa heda: sa. Di da eso huluane nama gaheabolo doagala: musa: ilegesa.
Wewe unaleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira zako dhidi yangu; wanishambulia na majeshi mapya.
18 Gode! Dia da abuliba: le na lalelegema: ne hamobela: ? Na dunu enoga mae ba: le bogomu da defea galu.
Kwa nini, basi, ulinitoa tumboni? Natamani ningekata roho na ili jicho lolote lisinione.
19 Na da hamedafa lalelegemu da defea galu. Be amai hame galea, na da lalelegeloba, hedolo bogomu da defea galu.
Ningelikuwa kama asiyekuwepo; ningelichukuliwa kutoka tumboni mpaka kaburini.
20 Na esalusu da gadenene agoane dagobela: ? Na yolesima! Na da fonobahadi fawane bu esalumu. Amaiba: le, amo eso bagahamega hahawane esalumusa: , Dia logo doasima!
Je si siku zangu pekee ni chache? Acha basi, usinisumbue, ili kwamba nipate kupumzika kidogo
21 Na da gadenenewane ahoabe goea. Na da bu hame misunu. Na da gasi galebe sogega masunu.
kabla sijaenda huko ambako sitarudi, kwenye nchi ya giza na kivuli cha mauti,
22 Amo soge da gasi bagade. Amo ganodini baba bagohame gala. Amo soge da ededenasu soge. Amola amoga hadigi da gasi agoane ba: sa.”
ni nchi ya giza kama usiku wa manane, nchi ya kivuli cha mauti, isiyokuwa na mpangilio, ambayo nuru yake ni kama usiku wa manane.'”

< Yoube 10 >