< Yelemaia 5 >

1 Yelusaleme fi dunu! Dilia logoga hehenama! Ba: le gagama! Dilisu ba: ma! Bidi lasu soge amo ganodini hogoi helema! Dilia da moloidafa hamosu dunu afae ba: ma: bela: ? Dilia Godema mae hohonone moloidafa fa: no bobogesu dunu afae ba: ma: bela: ? Hame mabu! Be dilia agoaiwane dunu afae ba: sea, Hina Gode da Yelusaleme fi ilia wadela: i hou gogolema: ne olofomu.
Kimbieni mkapite katika mitaa ya Yerusalemu, Tafuteni katika viwanja vyake. Kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja anayetenda kwa haki na kufanya kwa uaminifu, basi nitaisamehe Yerusalemu.
2 Dilia da Hina Godema nodone sia: ne gadosa, dilisu da sia: sa. Be dilia da ogogosa.
Hata kama wanasema, 'Kama BWANA aishivyo,' wanaapa uongo.”
3 Hina Gode da mae hohonone moloidafa fa: no bobogesu hou hogosa. E da dili fai dagoi, be dilia amo hame dawa: i galu. E da dili goudale fasi, be dilia da amoba: le dilia hou hame hahamoi. Dilia da ga: nasi hamoiba: le, dilia wadela: i hou fisimusa: hame dawa: iou.
BWANA, macho yako hayatazami uaminifu? Unawapiga watu, lakini hawasikii maumivu. Umewaangsmiza kabisa, lakini bado wanakataa kuwa waadilifu. Wanafanya nyuso zao kuwa ngumu kama mwamba. kwa kuwa wanakataa kutubu.
4 Amalalu, na da agoane dawa: i, “Amo da hame gagui amola hame dawa: su dunu fawane. Ilia da gagaoui agoane hamosa. Ilia Gode Ea hanai amo hame dawa:
Kwa hiyo nilisema, “Hakika hawa ni watu masikini, Ni wapumbavu, Kwa kuwa hawazijui njia za BWANA, wala maagizo ya Mungu wao.
5 Amaiba: le, na da ouligisu hou gagui dunu ilima asili, ilima sia: mu. Na da agoane dawa: , ‘Ilia da Gode Ea hanai dawa: mu. Ilia hamoma: ne, Hina Gode Ea sia: i liligi ilia da dawa: mu.’ Be ilia huluane da Hina Gode Ea ouligisu hou amo higale yolesi dagoi. Ilia da Ea sia: nabimu higasa.
Nitaenda kwa watu wa muhimu na kutangaza ujumbe wa Mungu kwao, kwa kuwa angalau wanazijua njia za BWANA, maagizo ya Mungu wao. Lakini wote wanavunja nira yao pamoja; wote wanaivunja ile minyororo inayowafunga kwa ajili ya Mungu.
6 Amaiba: le, iwilaga esalebe laione wa: me da ili medole legemu. Hafoga: i sogega esalebe ‘wufi’ wa: me da ili medole legele, dadalega: mu. Amola ‘lebade’ wa: me da ilia moilai amo ganodini wamowane manebe ba: mu. Amo dunu da ilia diasu gadili ahoasea, ilia da: i da gadelale fofonoboi dagoi ba: mu. Bai ilia wadela: i hou hamoi da bagohame. Amola eso huluane, mae fisili, ilia da Godema baligi fa: su.
Kwa hiyo simba kutoka mwituni atawavamia. Mbweha kutoka Arabaha atawaangamiza. Chui ataivunja miji yao. Mtu yeyota anayeenda nje ya mji wake atavunjwavunjwa. Kwa kuwa maovu yao yameongezeka. Matendo yao ya uasi hayana ukomo.
7 Hina Gode da amane adole ba: i, “Na da abuliba: le Na fi ilia wadela: i hou gogolema: ne olofoma: bela: ? Ilia da Na yolesili, ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu. Na fi dunu sadima: ne, Na da ha: i manu iligili i. Be ilia da inia uda adole lasu hou hamosu amola hina: da: i bidi lasu uda ilima fa: no bobogei.
Kwa nini niwasamehe hawa watu? Wana wenu wameniacha na wamefanya viapo na wale ambao si miungu. Niliwalisha vya kutosha, lakini wamefanya uasherati na kuchukua alama za nyumba ya uzinzi.
8 Ilia da hosi gawali amo da sadi dagoi amola aseme amoma fima: ne nimi bagade hamosa, amo defele gala. Ilia afae afae ea na: iyado idua amo lale, gilisili golamu hanai bagade.
Walikuwa farasi wanaotafuta kupandwa. Walitembea huku na huku wakitafutwa kupandwa. Kila mwanamume alimkaribia mke wa jirani yake.
9 Ilia da amo hou hamobeba: le, Na da ilima se imunu da defea. Agoaiwane fi ilima dabe imunu da defea.
Kwa hiyo kwa nini nisiwaadhibu - asema BWANA - na kwa nini nisijilipizie kisasi juu ya taifa kama hili?
10 Na da ha lai dunu amo Na fi dunu ilia waini sagai hedofama: ne asunasimu. Be amo da dafawane wadela: lesi ebelei dagoi hame ba: mu. Na da ha lai amoma, e da amoda huluane gole fasima: ne Na da sia: mu. Bai amo amoda da Na: hame.
Nenda hadi kwenye kuta za shamba lake la mizabibu na zihariibuni. Lakini wao msiwaharibu kabisa. Ondoeni matawi kwa sababu hayatoki kwa BWANA.
11 Isala: ili dunu amola Yuda dunu da Na dafawanedafa hohonoi. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
Kwa sababu nyumba ya Yuda na Israeli wamenisaliti kabisa - asema BWANA -
12 Hina Gode Ea fi dunu da E yolesi. Ilia da amane sia: sa, “Gode da ninima se hame imunu. Ninia da gasa bagade hou hame ba: mu. Ninia da gegesu amola ha: su hame ba: mu.”
na wamenikataa. Wanasema, ''Yeye si halisi. Maovu hayawezi kutupata, wala hatutaona upanga wala njaa.
Kwa kuwa manabii wamekuwa si kitu kama upepo na hakuna mtu mwiingine wa kunena ujumbe wa BWANA kwetu. Vitisho vyao na viwjie wao wenyewe.”'
14 Ilia da amane sia: sa, “Balofede dunu ilia sia: da fo fawane. Ilia da Hina Gode Ea sia: hame gaguli maha.” Hina Gode Bagadedafa da nama amane sia: i, “Yelemaia! Amo dunu da agoane sia: beba: le, Na da sia: dia lafiga gala amo lalu agoane hamomu. Na fi dunu da lalu ifa agoane ba: mu, amola Na agoane sia: nanu ili da nei dagoi ba: mu.”
Kwa hiyo BWANA, Mungu wa majeshi asema hivi, tazama nataka kuweka maneno yangu katika kinywa chako. Yatakuwa kama moto na watu hawa watakuwa kama kuni! Kwa kuwa utawaramba.
15 Isala: ili dunu! Dilia! Hina Gode da fi sedagaga esalebe, amo dilima doaga: la: ma: ne, oule misunu. Amo fi da gasa bagade hemone fi amola dilia da ilia sia: hame dawa:
Tazama nataka kuleta taifa dhidi yenu kutoka mbali, enyi nyumba ya Israeli - asema BWANA - ni taifa linalodumu, taifa la kale! Ni taifa ambalo lugha yake hamuijui, wala hamtaelewa wasemacho.
16 Ilia dadi gagui dunu da gasa bagade. Ilia da mae asigili medole lelegelala.
Podo lao ni kaburi wazi. Wote ni wanajeshi.
17 Ilia da dilia ha: i manu amola bugi huluane na dagomu. Ilia da dilia dunu mano amola uda mano huluane medole lelegemu. Ilia da dilia sibi amola bulamagau gilisisu medole legemu. Amola dilia waini efe amola figi ifa ilia da wadela: lesimu. Dilia gagili sali moilai da dili gaga: mu, dilia dawa: sa. Be ilia dadi gagui da amo huluane mugululi wadela: lesimu.”
Kwa hiyo mavuno yako yataliwa, wana wako na binti zako pia, na chakula chako. Watakula kondoo wako na ng'ombe wako, watakula matunda ya zabibu zako na ya mitiini. Wataiangusha chini miji yenu na boma zake ambazo mnazitumainia.
18 Hina Gode da amane sia: sa, “Be amo se nabasu esoga, Na da Na fi dunu huluanedafa hame wadela: lesimu. Afae afae da esalebe ba: mu.
Lakini hata katika siku hizo - asema BWANA - sikusudii kuwaharibu kabisa.
19 Amola, Yelemaia, di! Ilia da Na da abuliba: le amo hou hamobela: le adole ba: sea, ilima bu adole ima, ‘Bai ilia da Na yolesili, ilia soge ganodini ga fi ogogosu ‘gode’ ilima hawa: hamosu, amo defele ilia da eno fi dunu ilia soge ganodini, amo ga fi dunu ilia se iasu hawa: hamosu hamonanumu.’”
Itatokea kwenu, ninyi Yuda na Israeli, mkisema, 'Kwa nini BWANA, Mungu wetu ametufanyia haya yote?' kwamba wewe Yeremia, utawaambia, 'Kama vile mlivyomwacha BWANA na kuabudu miungu mingine katika nchi yenu, vivyo hivyo mtawatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.'
20 Hina Gode da amane sia: sa, “Ya: igobe egaga fi, amola Yuda fi dunu ilima amane sia: ma,
Waambia haya watu wa nyumba ya Yakobo na yasikike katika Yuda. Waambie,
21 ‘Dilia gagaoui amola hame dawa: su dunu! Dawa: ma: i! Dilia da si gala be ba: mu gogolei! Dilia da ge gala be hame naba!
'Sikilizeni hili, eny watu wapumbavu! Sanamu hazina matakwa; zina masikio lakini haziwawezi kusikia.
22 Na da Hina Gode! Dilia abuliba: le Nama hame nodone beda: bela: ? Dilia da abuliba: le Na midadi hame yagugusala: ? Na da sa: iboso amo hano wayabo bagade ea alalo legei dagoi. Amo alalo legesu da eso huluane dialumu, amola hano bagade da amo baligimu hame dawa: Hano bagade da gafulusa be amo alalo legesu hame baligisa. Hano gafului da fugala: sa, be osoba amo ganodini golili misunu hame dawa:
Je, hamnihofu mimi - asema BWANA - au kutetemeka mbele ya uso wangu? Nimeweka mpaka wa mchanga kwenye bahari, ambao ni agizo la kudumu ambalo halibomoki - hata kama bahari ina kupwa na kujaa, bado hauwenzi kubomoka. Hata kama mawimbi yake yanaunguruma, hayawezi kuvuka.
23 Be dilia Na fi dunu! Dilia da gasa fili, odoga: su dunu. Dilia da la: ididili asili, Na yolesi.
Lakini hawa watu wana mioyo ya usumbufu. Hugeuka kuwa wapinzani na kuondoka.
24 Na da woufo gibu amola mugi gibu dilima iasu amola dilia hahawane bugi gamini moma: ne eso dilima iasu. Be dilia da Nama nodomu hame dawa: i galu.
Kwa kuwa hawasemi mioyoni mwao, “basi na tumche BWANA, Mungu wetu, yeye aletaye mvua za awali na mvua za vuli - kwa wakati wake, ambaye hutuzna majuma ya mavuno kwa ajili yetu.”
25 Be dilia da wadela: le hamobeba: le, amo liligi ida: iwane hame ba: i.
uovu wako umezuia haya yasitokee. Dhambi zako zimeyazuia mambo mema yasitokee.
26 Na fi dunu gilisisu ganodini da wadela: idafa dunu esalebe. Ilia da dunu ilia sio sa: ima: ne sanebe, amo defele dunu dafama: ne, sanigesa.
Kwa watu waovu wamo kati ya watu wangu. Wanatazama kama mtu anayenyatia ili kukamata ndege; wanaweka mitego na kukamata watu;
27 Benea ahoasu dunu da sio lale, ea gagili amo ganodini sala, amo defele ilia inia liligi lale, ilia diasu nabama: ne ligisisa. Amaiba: le, ilia da bagade gagui amola gasa bagade ba: sa.
Kama tundu la mtego lijaavyo ndege, nyumba zao zimejaa uongo. Kwa hiyo wanakua na kutajirika.
28 Ilia da sadi dagoi amola dunu basului agoane ba: sa. Ilia da baligili, mae yolele, wadela: i hou hamonana. Ilia da guluba: mano hame fidisa, amola hame gagui banenesi dunu ilima moloidafa fofada: su imunu hame dawa:
Wamenenepa; wanang'aa na kupendeza. Wamepitiliza hata mipika ya maovu. Wala hawajali sababu ya kuwepo kwa watu na wala uwepo wa yatima. Wanafanikiwa hata kama hawatoi hukumu ya haki kwa yatima.
29 Be Na, Hina Gode, da ilia wadela: i hou hamobeba: le, ilima se imunu. Na da amo fima dabe imunu.
Kwa nini nisiwadhibu kwa sababu ya haya - asema BWANA - sitajilipizia kisasi juu ya taifa la namna hii?
30 Yuda soge ganodini, fofogadigisu wadela: i houdafa da doaga: i dagoi.
Jambo la ajabu na la kuchukiza limetokea katika nchi hii.
31 Balofede dunu da ogogole fawane sia: sa. Gobele salasu dunu da balofede dunu ilia sia: defele ouligisa, amola Na fi dunu da ilia wadela: i logo hame hedofasa. Be amo hou ea dabe doaga: sea, ilia da adi hamoma: bela: ?’”
Mananbii wanatabiri kwa uongo, na makuhani wanatwala kwa msaada wa wa hao. Watu wangu wanapenda mambo ya hivyo, lakini mwisho kitatokea nini?

< Yelemaia 5 >