< Yelemaia 42 >
1 Amalalu, Youha: ina: ne (Galia egefe), A:salia (Housia: ia egefe), dadi gagui ouligisu dunu amola eno dunu bagade amola fonobahadi, da nama misini,
Kisha amri wote wa jeshi na Yonathan mwana wa Karea, Jezania mwana wa Hoshaia, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa walimkaribia Yeremia nabii.
2 amane sia: i, “Ninia adole ba: su nabima! Nini fidima: ne, Hina Godema sia: ne gadoma! Nini huluane da mae bogole esaloma: ne, amo fidima: ne Ema sia: ne gadoma! Musa: ninia da bagohame esalu. Be wali di da ba: loba, ninia da bagahame esala.
Walisema naye, “Acha maombi yetu yaje mbele yako. Omba kwa ajili yetu kwa Yahwe Mungu wako kwa ajili ya watu hawa ambao wanabaki kwani tuko wachache katika idadi, kama unavyoona.
3 Hina Gode da ninima logo olelema: ne amola ninia hamomu olelema: ne, Ema sia: ne gadoma.”
Muulize Yahwe Mungu wako atuambia sisi njia yakuendea na nini tufanye.”
4 Na da ilima bu adole i, “Defea! Dilia adole ba: i defele, na da ninia Hina Godema sia: ne gadomu. Ea sia: i liligi huluane, na da mae wamolegele, huluane dilima olelemu.”
Basi Yeremia nabii alisema nao, “Nimewasikia, Tazama, Nitaomba kwa Yahwe Mungu wenu kama mlivyoomba. Vyovyote Yahwe ananijibu, Nitawambia. Sitawaficha chochote ninyi.”
5 Amalalu, ilia da nama amane sia: i, “Ninia da Hina Gode ba: ma: ne, dafawanedafa ilegesa. Ninia da hamoma: ne sia: i huluane amo Hina Gode da dima sia: mu liligi, amo huluanedafa ilima fa: no bobogemu.
Walisema na Yeremia, “Na Yawhe awe shahidi mkweli na mwaminifu dhidi yenu, kama hatutafanya kila kitu ambacho Yahwe Mungu wenu anatuambia kufanya.
6 Ninia da dia nini fidima: ne Hina Godema sia: ne gadoma: ne adole ba: sa. Amo sia: ninia hahawane ba: sea o da: i dioiwane ba: sea, ninia da mae dawa: le, Hina Gode Ea sia: nabawane hamomu. Amasea, ninia da hahawane ba: mu.”
Hata kama ni vizuri au vibaya, tutatii sauti ya Yahwe Mungu wetu, ambaye tunawatuma ninyi, ili kwamba iwe vizuri pamoja nasi wakati tunatii sauti ya Yahwe Mungu wetu.”
7 Eso nabuane aligili, Hina Gode da nama sia: i.
Basi ilitokea kwamba baada ya siku kumi, neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia.
8 Amaiba: le, na da Youha: ina: ne amola dadi gagui ouligisu dunu e sigi esalu, amola dunu eno huluane ilima gilisima: ne sia: i.
Kwa hiyo Yeremia alimwita Yonathan mwana wa Karea na amri wote jeshi pamoja naye, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa.
9 Na da ilima amane sia: i, “Hina Gode, Isala: ili fi ilia Gode, Ema dilia da na Ema adole ba: musa: asunasi, E da amane sia: i,
Na alisema nao, “Yahwe, Mungu wa Israel, ambaye umenituma mimi ili niweze kuweka maombi yako mbele zake. Yahwe asema hivi,
10 ‘Dilia da amo soge ganodini esaloma: ne hanai galea, Na da dilia fi gaguia gadomu - hame mugulumu. Na da dili bugimu amola hame fadegale fasimu. Na da dilima wadela: su iabeba: le, da: i diosa.
Kama mtarudi na kuishi katika nchi hii, basi nitawajenga na sitawararua chini; Nitapanda na sitawangoa, kwa kuwa nitageuza maafa ambayo nimeleta juu yako.
11 Dilia Ba: bilone hina bagade ema beda: su hou yolesima. Na da dili amola nini esala. Amola ea gasa amoga dili se mae nabima: ne, Na da dili gaga: mu
Msimugope mfalme wa Babeli, ambaye mnamuogopa. Msimuogope-hili ni tamko la Yahwe kwani niko pamoja nanyi kuwahifadhi na kuwaokoa toka mkono wake.
12 Bai Na da asigi amola gogolema: ne olofosu dawa: Na da hamobeba: le, Ba: bilone hina bagade da dilima asigimu, amola dilia sogedafa amoga buhagima: ne, logo doasimu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.’
Kwa kuwa nitawapa rehema. Nitakuwa na huruma juu yenu, na nitawarudisha kwenye nchi yenu.
13 Be dilia dunu amo da Yuda soge ganodini esalebe, Hina Gode Ea sia: amola amo soge ganodini bu esalumu amo mae higama. Agoane mae sia: ma, ‘Hame mabu! Ninia da asili, Idibidi sogega masunu. Bai amogawi ninia da gegesu hame ba: mu, amola gegemusa: ha lasu hame nabimu, amola hame ha: mu.’ Dilia da amane sia: sea, amasea Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, da amane sia: sa, ‘Dilia da Idibidi sogega esaloma: ne masunu hanai galea,
Lakini tudhani kusema kwamba, “Hatutakaa katika nchi hii”- kama hamtasikiliza sauti yangu, sauti ya Yahwe Mungu wenu.
Tudhani kwamba mnasema, “Hapana! Tutaenda kwenye nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita yoyote, ambayo hatutasikia sauti ya tarumbeta, na hatutaona njaa ya chakula. Tutaishi huko.”
Sasa sikiliza neno hili la Yahwe, wewe mabaki ya Yuda. Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Kama kweli mtatoka kwenda Misri, kwenda na kuishi huko,
16 gegesu (amoga dilia da beda: i) amo da dilima doaga: mu amola ha: i bagade (amoga dilia da beda: i) amo dilia ba: mu. Amasea, dilia Idibidi soge ganodini bogogia: mu.
basi upanga ambao mnauogopa utawapita huko kwenye nchi ya Misri. Njaa ambayo mnawasiwasi nayo itawafatilia huko Misri. Na mtakufa huko.
17 Dunu huluane amo da Idibidi sogega masunu hanai gala, amo huluane da gegesu o ha: i bagade o olosu amoga bogogia: i dagoi ba: mu. Dunu afae esalebe da hame ba: mu. Bai Na da ilima wadela: su bagade iasimu.’
Basi itatokea kwamba wanaume wote waliondoka kwenda Misri kuishi huko watakufa kwa upanga, njaa, au pigo. Hapatakuwa na mwathirika wao, hakuna atakayetoroka maafa ambayo nitaleta juu yao.
18 Hina Gode, Isala: ili fi ilia Gode, da amane sia: sa, ‘Na da Na ougi bagade amo Yelusaleme fi dunu ilima sogadigi. Amo defele, dilia da Na sia: mae nabawane Idibidi sogega ahoasea, Na da Na ougi bagade dilima sogadigimu. Dilia da wadela: lesi dagoi ba: mu. Dunu eno da dili higamu amola dilia dio amoga gagabusu aligima: ne ilegemu. Dilia da amo soge bu hamedafa ba: mu.’”
Kwa kuwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama gadhabu yangu na hasira yangu imemwanga juu ya wakazi wa Yerusalem, kwa njia hiyo hasira yangu itamwangwa juu yenu kama mtaenda Misri. Mtakuwa sababu ya hasira na hofu, sababu la kuzungumza laana, na kitu kisichokuwa na heshima. Na hamtaona eneo hili tena.”
19 Amalalu, na da eno amane sia: i, “Hina Gode da dili Yuda soge ganodini hame mugululi asi esalebe dunu dilima dilia Idibidi sogega mae masa: ne sia: i dagoi. Amaiba: le, na da dilima sisasu iaha.
Basi Yeremia alisema, “Yahwe amezungumza kuhusu ninyi - mabaki ya Yuda. Msiende Misri! Unajua kwa hakika kwamba nimekuwa shahidi dhidi yenu leo.
20 Dilia da bogoma: ne giadofasu hamonana. Dilia da nama na da Hina Godema dili fidima: ne sia: ne gadoma: ne sia: i. Amola dilia da Ea sia: i liligi huluane amoma fa: no bobogema: ne dafawane ilegele sia: i.
Kwa kuwa mmejidanganya vibaya wenyewe wakati mliponituma mimi kwenda kwa Yahwe Mungu wenu na kusema, 'Omba kwa Yahwe Mungu wetu kwa ajili yetu. Kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema, tuambie, na tutaibeba.'
21 Amola wali, na da dilima sia: huluane adoi dagoi. Be dilia sia: huluane amo Hina Gode da na dilima alofele iasima: ne asunasi, amo nabimu higasa.
Kwa kuwa nimekwisha toa taarifa kwako leo, lakini hajusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu au kwa chochote kuhusu ambacho alinituma mimi kwako.
22 Amaiba: le, amo bu dawa: ma! Dilia da Idibidi sogega esaloma: ne masunu hanai gala. Be amo ganodini dilia da gegesu o ha: i bagade o olo bagade amoga bogogia: i dagoi ba: mu.”
Basi sasa, utajua kwa hakika kwamba utakufa kwa upanga, njaa, na pigo katika eneo ambalo ulitamani kwenda kuishi.”