< Yelemaia 37 >

1 Ba: bilone hina bagade Nebiuga: denese da Yehoiagini (Yihoiagimi egefe) amo fadegale, ea ouligisu sogebi amo Sedegaia (Yousaia egefe) ema i.
Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
2 Be hina bagade Sedegaia amola ea eagene ouligisu dunu amola Yuda dunu huluane da Hina Gode Ea sia: nama i, amo hame nabasu.
Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
3 Yuda hina bagade Sedegaia da Yihuga: le (Sielemaia egefe) amola gobele salasu dunu Sefanaia (Ma: iasia egefe) amo nama na da ninia fi fidima: ne, Hina Godema sia: ne gadoma: ne sia: musa: asunasi.
Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
4 Amo esoha, na da gagili ga: i diasu ganodini hame salabe ba: i. Be na da udigili dunu ilia esalebe ganodini ahoasu.
Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
5 Ba: bilone dadi gagui wa: i da Yelusaleme amoma doagala: lalu. Be ilia da Idibidi dadi gagui wa: i da Idibidi alalo giadofai amo nababeba: le, ilia da sinidigili hobea: i.
Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
6 Amalalu, Hina Gode, Isala: ili ilia Gode, da nama sia: i.
Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
7 E da na Sedegaiama amane sia: ma: ne sia: i, “Idibidi dadi gagui wa: i da di fidimusa: manebe. Be ilia da sinidigili, ilia sogega buhagimu.
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
8 Amasea, Ba: bilone dunu da bu misini, Yelusaleme amoma gegenanu, laluga ulagimu.
Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
9 Na, Hina Gode, da dima sisasu iaha. Dilia ogogole Ba: bilone dunu da bu hame misunu mae dawa: ma. Bai ilia da dafawane bu misunu.
Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
10 Amola dilia da Ba: bilone dadi gagui wa: i huluane hasali ganiaba, amola Ba: bilone fa: ginisi dunu fawane ilia abula diasu ganodini diasa: ili esala ganiaba, amo dunu da wa: legadole, dilia moilai bai bagade laluga nene dagoma: ne ulagila: loba.”
Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
11 Ba: bilone dadi gagui wa: i da Yelusaleme doagala: su yolesili, hobea: i. Bai ilia da Idibidi dadi gagui da doagala: musa: ahoanebe nabi.
Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
12 Amaiba: le, na da Yelusaleme yolesili, na soge (na fi ilia soge la: idi sogebi) Bediamini soge bagade amo ganodini diala, amo lamusa: , na da masunu dawa: i galu.
kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
13 Be na da Bediamini Logo Holei amoga doaga: loba, dadi gagui ouligisu amoga hawa: hamonanu (ea dio da Ailaidia [Sielemaia egefe amola Ha: nanaia ea aowa]) e da na logo ga: le, nama amane sia: i, “Di da hohonone, Ba: bilone fi amoga masunu galebe!”
Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
14 Be na da bu adole i, “Hame mabu! Na da hohonone dili yolesimu hame dawa: !” Be Ailaidia da na sia: hame nabi. E da na gagulaligili, eagene ouligisu dunu ilima hiouginana asi.
Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
15 Ilia da nama bagadewane ougi amola ilia sia: beba: le, ilia da na fananu, sia: dedesu dunu Yonada: ne amo ea diasu ganodini sali. Bai ilia da ea diasu gagili ga: i diasu agoane hamoi dagoi.
Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
16 Na da uli dogoi sesei osobo hagudu amo ganodini salabe ba: i. Amo ganodini na da eso bagohame esalu.
Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
17 Fa: no, hina bagade Sedegaia da na ema misa: ne sia: i. E da wamowane, nama amane adole ba: i, “Hina Gode da ninima sia: adole iasibala: ?” Na da bu adole i, “Sia: galaiou! Di da Ba: bilone hina bagade amo ea loboga gagulaligi ba: mu.”
Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
18 Amalalu, na da amane adole ba: i, “Di da na gagili ga: i diasu ganodini sali dagoi. Be na da adi wadela: i hou, dima o dilia eagene ouligisu dunu ilima o Yuda fi dunu ilima hamobela: ?
Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
19 Dia balofede dunu da wali habila: ? Ilia da ogogole, Ba: bilone hina bagade da dima amola ninia soge amoma hame doagala: mu sia: i.
Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
20 Amola wali, hina bagade, dia na sia: nabima: ne, na edegesa! Dia na gagili ga: i diasu amo Yonada: ne ea diasu ganodini amoga mae asunasima. Di agoane hamosea, na da amogawi dafawane bogomu.”
Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
21 Amaiba: le, hina bagade Sedegaia da ilia da na hina bagade diasu gagoi amo ganodini gagili ga: i diasu agoane esaloma: ne, logo ga: sima: ne sia: i. Na da amogawi esalu. Eso huluane ilia da agi ga: gi afadafa (agi ga: gi hamosu diasuga lai) nama ianu, agi ga: gi huluane Yelusaleme ganodini galu huluane dagobeba: le fawane yolesi.
Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.

< Yelemaia 37 >