< Yelemaia 3 >
1 Hina Gode da amane sia: sa, “Dunu afae da ea uda fisiagasea, amola amo uda da e fisili eno dunuma fisia, amo dunu da ea musa: lai uda bu lamu da hamedei. Amai galea, Isala: ili soge da wadela: lesi dagoi ba: mu. Be di, Isala: ili, da dunu bagohame ilima wadela: le fi dagoi. Amola, di da wali Nama sinidigimusa: dawa: lala.
“Kama mtu akimpa talaka mkewe, naye akamwacha na akaolewa na mtu mwingine, je, huyo mume aweza kumrudia tena? Je, hiyo nchi haitanajisika kabisa? Lakini umeishi kama kahaba na wapenzi wengi: je, sasa utanirudia tena?” asema Bwana.
2 Agolo da: iya gadodafa ba: ma! Soge huluane amoga di da hina: da: i bidi lasu uda ea hou defele hamosu. A: la: be dunu da hafoga: i sogega eno dunu famusa: ouligisa. Amo defele, di da logo bega: , dunu eno dima udigili golamusa: hogoi helelalebe ba: i. Dina: da: i bidi lasu hou da soge huluane wadela: lesi dagoi.
“Inua macho utazame miinuko iliyo kame na uone. Je, pana mahali ambapo hawajalala nawe? Uliketi kando ya barabara ukiwasubiri wapenzi, ukakaa kama yeye ahamahamaye jangwani. Umeinajisi nchi kwa ukahaba wako na uovu wako.
3 Amaiba: le, Na da gibu logo ga: si dagoi. Amola woufo esoga Na da wou dabe logo ga: si dagoi. Di da dafawane hina: da: i bidi lasu uda defele ba: sa. Di da gogosiamu hame dawa:
Kwa hiyo mvua imezuiliwa, nazo mvua za vuli hazikunyesha. Hata hivyo, una uso usio na haya kama wa kahaba; unakataa kutahayari kwa aibu.
4 Amola, wali di da Nama amane sia: sa, ‘Di da na ada. Di da na musa: manohadi eso amogainini wali nama asigi galu.
Je, wewe hujaniita hivi punde tu: ‘Baba yangu, rafiki yangu tangu ujana wangu,
5 Di da nama ougi be eso huluane hame ougimu.’ Di amane sia: i, Isala: ili! Be dia hanaiga baligili wadela: i hou hamonanu.”
je, utakasirika siku zote? Je, ghadhabu yako itaendelea milele?’ Hivi ndivyo unavyozungumza, lakini unafanya maovu yote uwezayo.”
6 Yousaia da Yuda soge amoma hina bagade esaloba, Hina Gode da nama amane sia: i, “Isala: ili da hohonosu uda defele esala. Dia da ea hamoi ba: bela: ? E da Na fisili, agolo bagade huluane amo da: iya amola golofoyei ifa huluane amo hagudu, e da hina: da: i bidi lasu uda ea hou defele hamonanu.
Wakati wa utawala wa Mfalme Yosia, Bwana aliniambia, “Umeona kile Israeli asiye mwaminifu amekifanya? Amepanda juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti uliotanda na amefanya uzinzi huko.
7 Amo hamonanu, e da Nama bu sinidigimu, Na da dawa: iou. Be e da Nama hame sinidigi amola ea hohonosu dalusi Yuda amo hou huluane ba: i dagoi.
Mimi nilifikiri kuwa baada ya kuyafanya yote haya angelinirudia, lakini hakurudi, naye dada yake Yuda mdanganyifu aliona hili.
8 Isala: ili da Nama baligi fa: le, hina: da: i bidi lasu uda ea hou defele hamobeba: le, Na da uda fisiagasu hou defele e fisiagale, ga masa: ne asunasi. Yuda da amo hou amola ba: i dagoi. Be Yuda, Isala: ili ea hohonosu dalusi, e amola da mae beda: ne, hina: da: i bidi lasu uda ea hou defele hamoi.
Nilimpa Israeli asiye mwaminifu hati yake ya talaka, na kumfukuza kwa ajili ya uzinzi wake wote. Hata hivyo nikaona kuwa Yuda dada yake mdanganyifu hakuogopa. Yeye pia alitoka na kufanya uzinzi.
9 E da mae gogosiane, wadela: i uda lasu hou defele, igi amola ifa amoma nodone sia: ne gadosu.
Kwa sababu uasherati wa Israeli haukuwa kitu kwake, Yuda aliinajisi nchi kwa kuzini na mawe na miti.
10 Amolalu, Yuda (Isala: ili ea hohonosu dalusi) da Nama sinidigimusa: sia: i. Be e da ogogoi. E da moloidafa hou hamedafa dawa: i galu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
Pamoja na hayo yote, Yuda dada yake mdanganyifu hakunirudia kwa moyo wake wote, bali kwa kujifanya tu,” asema Bwana.
11 Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i, “Dafawane! Isala: ili da Na yolesi dagoi. Be Yuda ea wadela: i hohonosu hou da Isala: ili ea hou baligi dagoi.”
Bwana akaniambia, “Israeli asiye mwaminifu ana haki kuliko Yuda mdanganyifu.
12 Hina Gode da nama amane sia: i, “Isala: ili fi ilima asili, amane sia: ma, ‘Hohonosu Isala: ili fi! Nama bu sinidigima. Na da asigi amola gogolema: ne olofosu hou dawa: Na da hame ougimu. Na da eso huluane ougili esalusu hame dawa:
Nenda, ukatangaze ujumbe huu kuelekea kaskazini: “‘Rudi, Israeli usiye mwaminifu,’ asema Bwana, ‘sitakutazama tena kwa uso uliokunjamana, kwa kuwa mimi ni mwenye huruma,’ asema Bwana, ‘Sitashika hasira yangu milele.
13 Be dia wadela: i hou amola Nama odoga: su hou amo fawane fofada: ma. Di da golofoyei ifa huluane amo hagudu, ga fi ogogosu ‘gode’ liligi ilima asigi hou olelei, amola Na sema hame nabasu. Amo fofada: nanu, Nama sinidigima. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.
Ungama dhambi zako tu: kwamba umemwasi Bwana Mungu wako, umetapanya wema wako kwa miungu ya kigeni chini ya kila mti unaotanda, nawe hukunitii mimi,’” asema Bwana.
14 Hohonosu dunu fi! Sinidigima! Dilia da Na fi. Na da moilai huluane afae afae amoga dunu afae lale, amola fi huluane amoga dunu aduna lale, amola Saione Goumiga dili bu oule misunu.
“Rudini, enyi watu msio waaminifu, kwa kuwa mimi ni mume wenu,” asema Bwana. “Nitawachagua ninyi, mmoja kutoka kwenye mji, na wawili kutoka kwenye ukoo, nami nitawaleta Sayuni.
15 Ouligisu dunu amo da Na sia: naba dunu, amo Na da dilima imunu. Amola ilia da dawa: iwane amola asigiwane dili ouligimu.
Kisha nitawapeni wachungaji wanipendezao moyo wangu, ambao watawaongoza kwa maarifa na ufahamu.
16 Amasea, dilia idi da amo soge ganodini bagade heda: sea, dunu da Na Sema Gousa: su Gagili ea hou bu hame sia: mu. Ilia da amo bu hame dawa: mu, ilia da gogolemu. Bai ilia da hahawane esalebeba: le, Gousa: su Gagili ea fidisu hame hogomu. Amola ilia da eno Gousa: su Gagili hame hahamomu.
Katika siku hizo, idadi yenu itakapokuwa imeongezeka sana katika nchi, watu hawatasema tena, ‘Sanduku la Agano la Bwana,’” asema Bwana. “Halitaingia tena kwenye mawazo yao wala kukumbukwa, hawatalihitaji wala halitatengenezwa jingine.
17 Bai amo eso da doaga: sea, ilia da Yelusaleme moilai bai bagade amoma dio ‘Hina Gode Ea Fisu’ asulimu. Amola fifi asi gala huluane da Nama nodone sia: ne gadomusa: gilisimu. Ilia da ilia wadela: i dogo asigi dawa: su ea hanaiga bu hame hamomu.
Wakati huo, wataita Yerusalemu kuwa Kiti cha Enzi cha Bwana, nayo mataifa yote watakusanyika Yerusalemu kuliheshimu jina la Bwana. Hawatafuata tena ukaidi wa mioyo yao miovu.
18 Isala: ili fi da Yuda fi ilima gilisimu. Amola, elea fi dunu fifi asi gala gagoe (north) gala amoga mugululi asi da soge amo Na da dilia aowalalia ilima eso huluane gaguma: ne i, amoga bu sinidigimu.”
Katika siku hizo, nyumba ya Yuda itaungana na nyumba ya Israeli, wao kwa pamoja watakuja kutoka nchi ya kaskazini hadi nchi niliyowapa baba zenu kama urithi.
19 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili! Na da di Nagofe esaloma: ne hanai galu. Na da dima soge ida: iwane gala, eno osobo bagade soge baligi soge, amo dima imunusa: dawa: i galu. Di da Nama Ada dio asulimu, amola eso huluane bu Na hame fisimu, Na da dawa: i galu.
“Mimi mwenyewe nilisema, “‘Tazama jinsi nitakavyowatunza kwa furaha kama wana na kuwapa nchi nzuri, urithi ulio mzuri kuliko wa taifa jingine lolote.’ Nilidhani mngeniita ‘Baba,’ na msingegeuka, mkaacha kunifuata.
20 Be di da hohonosu uda defele, Nama hohonoi dagoi. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
Lakini kama mwanamke asiye mwaminifu kwa mumewe, vivyo hivyo mmekosa uaminifu kwangu pia, ee nyumba ya Israeli,” asema Bwana.
21 Agolo da: iya sia: bagade da naba. Amo da Isala: ili dunu, ilia da disa edegelala. Bai ilia da wadela: le hamosa esalu, amola ilia Hina Gode gogolei galu.
Kilio kinasikika juu ya miinuko iliyo kame, kulia na kuomboleza kwa watu wa Israeli, kwa sababu wamepotoka katika njia zao na wamemsahau Bwana Mungu wao.
22 Dilia huluane da Hina Gode yolesi. Be bu sinidigima! E da dili uhinisimu amola dili bu didili hamoma: ne hamomu. Dilia da amane sia: sa, “Dafawane! Ninia da Hina Godema manebe goea. Bai E da ninia Gode.
“Rudini, enyi watu msio waaminifu, nami nitawaponya ukengeufu wenu.” “Naam, tutakuja kwako, kwa maana wewe ni Bwana Mungu wetu.
23 Ninia da agolo da: iya ogogosu ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadosu, be fidisu hame ba: i. Hina Gode, ninia Gode, Hifawane da fidisu dawa:
Hakika zile ghasia za kuabudu sanamu kwenye vilima na milimani ni udanganyifu; hakika katika Bwana, Mungu wetu, uko wokovu wa Israeli.
24 Be ninia da Ba: iele (gogosiasu ‘gode’) ema sia: ne gadobeba: le, ninia sibi, bulamagau gilisisu, ninia dunu mano amola uda mano da fisi dagoi. Liligi huluane amo ninia aowalalia da lama: ne bagadewane hawa: hamosu, amo huluane da fisi dagoi ba: sa.
Tangu ujana wetu miungu ya aibu imeyala matunda ya kazi za baba zetu: makundi yao ya kondoo na ngʼombe, wana wao na binti zao.
25 Ninia da diasa: ili, ninia gogosiasu amoga dedeboi dagoi ba: mu da defea. Ninia amola ninia aowalalia da mae fisili, ninia Hina Godema wadela: lewane hamonanu. Ninia da Ea sia: hamedafa nabasu.”
Sisi na tulale chini katika aibu yetu, na fedheha yetu itufunike. Tumetenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wetu, sisi na mababa zetu; tangu ujana wetu hadi leo hatukumtii Bwana Mungu wetu.”