< Yelemaia 24 >

1 Hina Gode da daba aduna figi fagega nabai, Debolo diasu midadi dialebe, amo nama olelei. (Amo esoga, hou da agoane doaga: i ba: i. Hina bagade Nebiuga: denese da Yuda hina bagade Yehoiagini [Yihoiagimi egefe] amola Yuda ouligisu dunu, liligi hahamosu dunu amola bagade dawa: su hawa: hamosu dunu, amo huluane Yelusalemega fadegale, afugili, Ba: bilone sogega mugululi asi).
Bwana alinionyeshea kitu. Tazama, vikapu viwili vya tini viliwekwa mbele ya hekalu la Bwana. (Maono haya yalitokea baada ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, kumchukua mateka Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, maofisa wa Yuda, mafundi na wafua vyuma kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babeli.)
2 Daba No 1 da figi fage noga: i amo da hedolo yoi hamosa, amoga nabai ba: i. Daba No 2da figi fage wadela: i, manu hamedei, amoga nabai ba: i.
Kikapu kimoja cha tini kilikuwa nzuri sana, kama tini za kwanza zilizoiva, lakini kikapu kingine cha tini zilizokuwa mbaya sana zisizoweza kuliwa.
3 Amasea, Hina Gode da nama amane sia: i, “Yelemaia! Dia da adi ba: sala: ?” Na da bu adole i, “Na da figi fage ba: sa. Noga: i figi da noga: idafa. Be wadela: i figi da wadela: idafa, manu hamedei.”
Bwana akaniambia, “Unaona nini Yeremia?” Nikasema, “Tini. Tini ambazo ni nzuri sana na tini ambazo ni mbaya sana haziwezi kuliwa.”
4 Amaiba: le, Hina Gode da nama amane sia: i,
Ndipo neno la Bwana likanijia, kusema,
5 “Na, Hina Gode, Isala: ili fi ilia Gode, da Yuda fi dunu agoane ba: sa. Dunu da Ba: bilone sogega mugululi oule asi da figi fage noga: iwane ba: sa. Na da ilima asigiwane hamomuyo.
“Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: nitawaangalia mateka wa Yuda kwa manufaa yao, kama vile tini hizi nzuri, nilipowatoa mateka kutoka hapa mpaka nchi ya Wakaldayo.
6 Na da ili noga: le sosodo aligimu. Na da ili Yuda sogega bu oule misunu. Na da ilia hou hame wadela: mu, be ilia bu hahawane ba: ma: ne, ili gaguia gadomu. Na da ili bugili, bu hame duga: mu.
Nitaweka macho yangu kwao wapate mema na kuwarejeshea nchi hii. Nitawajenga, wala sitawaangamiza.
7 Na da ilia dogo afadenene, ilia da Na da Hina Gode dawa: musa: gini bagade hanamu. Amasea, ilia da Na fi dunu esalumu amola Na da ilia Gode esalumu. Bai ilia da dafawanedafa Nama bu sinidigimu.
Nitawapanda, wala sitawang'oa. Ndipo nitawapa moyo wa kunijua; kwa kuwa mimi ndimi Bwana. Watakuwa watu wangu na mimi nitakuwa Mungu wao, hivyo watanirudia kwa moyo wao yote.
8 Be Yuda hina bagade Sedegaia amola ea eagene ouligisu dunu, amola Yelusaleme fi da Yuda sogega esala o Idibidi sogega asi, amo huluane, Na, Hina Gode, da figi fage wadela: i manu hamedei, agoai ba: mu.
Lakini kama vile tini mbaya ambazo ni hazifai kuliwa - asema Bwana - nitatenda hivi kwa Sedekia, mfalme wa Yuda, pamoja na viongozi wake, na pamoja na wengine wa Yerusalemu ambao wanabaki katika nchi hii au kwenda kukaa katika nchi ya Misri.
9 Na da ilima wadela: su bagadedafa iasimu. Amasea, osobo bagade fifi asi gala huluane da beda: iwane fofogadigimu. Osobo bagade dunu da ilima higale oufesega: mu. Na da soge huluane amoga ili afagogomu, amola ilia dioba: le gagabusu aligima: ne ilegemu.
Nitawafanya kuwa kitu cha kutisha, wapate maafa, mbele ya falme zote duniani, aibu na somo kwa mithali, matusi, na laana mahali pote nitakapowafukuza.
10 Na da gegesu amola, ha: amola oloi bagade ilima iasili, amasea soge amo Na da ilia aowalalia ilima i, amo ganodini ili afae esalebe hame ba: mu.”
Nitatuma upanga, njaa, na tauni dhidi yao watapotelea mbali kutoka kwenye nchi niliyowapa wao na baba zao.”

< Yelemaia 24 >