< Yelemaia 21 >

1 Yuda hina bagade, Sedegaia, da Ba: sie (Ma: legaia egefe) amola Sefanaia (Ma: iasia egefe) nama adole ba: musa: asunasi.
Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Bwana wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:
2 Ela da nama amane adole ba: i, “Ninia dima dafawane edegesa. Hina Gode da nini fidima: ne sia: ma. Bai Ba: bilone hina bagade Nebiuga: denese amola ea dadi gagui dunu da moilaiga doagala: lala. Amabela: ? Hina Gode da nini fidima: ne, degabo ba: su hou afae hamosea, Nebiuga: denese da hobeama: bela: ?”
“Tuulizie sasa kwa Bwana, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda Bwana atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”
3 Amalalu, Hina Gode da nama sia: i, amola na da nama asunasi dunu amoma alofele sia: i,
Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,
4 “Hina Gode, Isala: ili ilia Gode, da Sedegaiama amane sia: sa, ‘Sedegaia! Dia dadi gagui wa: i amo da Ba: bilone hina amola ea dadi gagui dunu ilima gegenana, amo Na da hasalimu. Na da dilia gegesu liligi huluane moilai bai bagade dogoa gilisili lelegela heda: mu.
‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.
5 Na da Na gasaga amola Na ougi bagadedafa amoga dima gegemu.
Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa mkono wangu ulionyooshwa na mkono wa nguvu, kwa hasira na ghadhabu kali na ukali mwingi.
6 Dunu huluanedafa amo moilai ganodini esala, amo Na da medole legemu. Dunu amola ohe fi defele da oloi wadela: idafa amoga bogogia: mu.
Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.
7 Be di, amola dia eagene ouligisu dunu, amola nowa da gegesu amoga hame bogoi esalea, amo Na da logo doasimuba: le, hina bagade Nebiuga: denese amola dilia ha lai dunu (ilia dili medole legemu hanai) da dili gagulaligimu. Nebiuga: denese da dili medole legemu. E da dili dunu afae amoma hamedafa asigimu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.’”
Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema Bwana.
8 Amalalu, Hina Gode da na da dunu huluane ilima amane sia: ma: ne sia: i, “Nabima! Na, Hina Gode, da dili afae ilegema: ne, logo aduna dilima olelesa. Logo afae da esalusu amoga doaga: sa. Eno da bogosu amoga doaga: sa.
“Zaidi ya hayo, waambie watu hawa, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Tazama, naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.
9 Nowa da Yelusaleme mae yolesili amo ganodini esalea, da ha: ga o olobeba: le bogomu. Be nowa da gadili Ba: bilone dunu (amo da moilaiga doagala: lala) amo gagulaligimusa: ahoasea, da bogosu hame ba: mu. E da esalumu fawane.
Yeyote atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo ambao wameuzunguka mji huu kwa jeshi, atanusurika, naye ataishi.
10 Na da amo moilai bai bagade wadela: musa: ilegeidafa. Na da amo moilai bai bagade, Ba: bilone hina bagadema imunu. Amola e da amo laluga ulagili, osobo amola nasubu fawane dialebe ba: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
Nimekusudia kuufanyia mji huu jambo baya, wala si jema. Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto, asema Bwana.’
11 Hina Gode da amo sia: Yuda hina bagade fi (Da: ibidi egaga fi) ilima sia: ma: ne sia: i, “Nabima! Na, Hina Gode da amane sia: sa! Moloidafa hou eso huluane hamoma: ne, ouligima! Ogogosu hamosu dunu ilia logo hedofama, amola dunu ilima ilia da ogogosa, amo gaga: ma! Amane hame hamoi ganiaba, Na ougi da lalu ha: ba: domu hamedei agoai nenana: loba.
“Zaidi ya hayo, ambia nyumba ya mfalme ya Yuda, ‘Sikia neno la Bwana,
Ewe nyumba ya Daudi, hili ndilo Bwana asemalo: “‘Hukumuni kwa haki kila asubuhi, mwokoeni mikononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa nyara, la sivyo ghadhabu yangu italipuka na kuwaka kama moto kwa sababu ya uovu mlioufanya: itawaka na hakuna wa kuizima.
13 Dili! Yelusaleme fi! Dilia da igi bagade amo umi da: iya gado heda: le lelebe defele, hahawane fago da: iya gado esalebe ba: sa. Be Na da dilima gegemu. Dunu eno da dilima doagala: le, dilia gagoi amo fili, moilai bai bagade ganodini golili misunu da hamedei, dilisu hidale sia: sa.
Niko kinyume nawe, ee Yerusalemu, wewe uishiye juu ya bonde hili kwenye uwanda wa juu wa miamba, asema Bwana, wewe usemaye, “Ni nani awezaye kuja kinyume chetu? Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?”
14 Be dilia wadela: i hou hamobeba: le, Na da dilima se imunu. Na da dilia hina bagade diasu laluga ulagimu, amola amo lalu da liligi huluane amo sisiga: le dialebe, amo nene dagomu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
Nitawaadhibu kama istahilivyo matendo yenu, asema Bwana. Nitawasha moto katika misitu yenu ambao utateketeza kila kitu kinachowazunguka.’”

< Yelemaia 21 >