< Yelemaia 20 >

1 Debolo ouligisu gobele salasu dunu ea dio Ba: sie (Ime egefe) da na alofele iasu sia: nababeba: le,
Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri, mkuu wa maafisa wa Hekalu la Bwana, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu ya mambo haya,
2 e da na fegasuga fama: ne sia: ne, na lobo amola emo la: gili, gado logo holei ea dio Bediamini, Debolo diasu ganodini gala, amo gadenene la: gilisima: ne sia: i.
akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la Bwana.
3 Golale hahabe, Ba: sie da na la: gi fadegai. Amalalu, na da ema amane sia: i, “Hina Gode da dima Ba: sie dio hame asuli. Be E da dima ‘Beda: su da Sisiga: sa’ amo dio asuli.
Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “Bwana hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu.
4 Hina Gode Hisu da sia: i dagoi, ‘Na da di amola dia dogolegei beda: ma: ne, dia hou hamomu. Dia fi dunu huluane ilia ha lai gegesu gobihei amoga medole legei dagoi ba: mu. Na da Yuda fi dunu huluane amo Ba: bilone hina ouligima: ne imunu. E da mogili hi sogega afugili oule masunu amola mogili medole legemu.
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: ‘Nitakufanya kuwa hofu kuu kwako wewe mwenyewe na rafiki zako wote, na kwa macho yako mwenyewe utawaona wakianguka kwa upanga wa adui zao. Nitawatia Yuda wote mikononi mwa mfalme wa Babeli, ambaye atawachukua na kuwapeleka Babeli, ama awaue kwa upanga.
5 Amola Na da logo doasibiba: le, Yuda dunu ilia ha lai da Yelusaleme liligi huluane, amola Yuda hina bagade ilia liligi noga: iwane, amo huluane lale, Ba: bilone sogega gaguli masunu.
Nitatia utajiri wote wa mji huu kwa adui zao: yaani mazao yao yote, vitu vyao vyote vya thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda. Watavitwaa kwa nyara na kuvipeleka Babeli.
6 Be di, Ba: sie, di amola dia sosogo huluane da afugili, Ba: bilone sogega mugululi asi dagoi ba: mu. Amogawi, di amola dia na: iyado dunu, ilima di da ogogosu sia: bagohame olelei, dilia huluane bogole, uli dogoiga sali ba: mu.”
Nawe Pashuri pamoja na wote waishio katika nyumba yako mtakwenda uhamishoni Babeli. Mtafia humo na kuzikwa, wewe na rafiki zako wote ambao umewatabiria uongo.’”
7 “Hina Gode! Di da nama ogogoiba: le, na giadofale dawa: i. Dia gasa da na gasa baligiba: le, Dia da nama hasalasi. Dunu huluane da eso huluane mae fisili, nama oufesega: sa.
Ee Bwana, umenidanganya, nami nikadanganyika; wewe una nguvu kuniliko, nawe umenishinda. Ninadharauliwa mchana kutwa, kila mmoja ananidhihaki.
8 Eso huluane, na da sia: sea, na da “Bidi hamosu! Wadela: su!” amo fawane wele sia: nana. Hina Gode! Na da Dia sia: alofele olelebeba: le, dunu huluane da nama higale, oufesega: lala.
Kila ninenapo, ninapiga kelele nikitangaza ukatili na uharibifu. Kwa hiyo neno la Bwana limeniletea matukano na mashutumu mchana kutwa.
9 Be na da “Na Hina Gode gogolemu. Na da Ea Dioba: le, bu hamedafa sia: mu,” amo sia: sea, Dia sia: da lalu agoane na dogodafa ganodini nenana. Na da amo lalu ha: ba: domusa: dawa: lala, be ea logo ga: mu hamedei ba: sa.
Lakini kama nikisema, “Sitamtaja wala kusema tena kwa jina lake,” neno lake linawaka ndani ya moyo wangu kama moto, moto uliofungwa ndani ya mifupa yangu. Nimechoka sana kwa kulizuia ndani mwangu; kweli, siwezi kujizuia.
10 Na da naba, dunu huluane da sadoga sia: sa, “Dunu huluane da bagade beda: i. Ninia amo dunu ea hou ouligisu dunuma olelemu.” Na dogolegei sama dunu da na dafama: ne ouesala. Ilia da amane sia: sa, “Amabela: ? Ninia da ema dabe ima: ne, e dafama: ne sani gemu da defea.”
Ninasikia minongʼono mingi, “Hofu iko pande zote! Mshtakini! Twendeni tumshtaki!” Rafiki zangu wote wananisubiri niteleze, wakisema, “Labda atadanganyika; kisha tutamshinda na kulipiza kisasi juu yake.”
11 Be Di, Hina Gode, da namagale fidisa. Amola Di da gasa bagadeba: le, dunu amo da nama se iabe da dafamu. Ilia da bu mae heda: ma: ne gogosiamu. Ilia da didili hamomu hamedeiwane ba: mu, amola ilia gogosiasu da gogolemu hamedei agoane ba: mu.
Lakini Bwana yu pamoja nami kama shujaa mwenye nguvu; hivyo washtaki wangu watajikwaa na kamwe hawatashinda. Watashindwa, nao wataaibika kabisa; kukosa adabu kwao hakutasahauliwa.
12 Be Hina Gode Bagadedafa! Di da moloidafawane dunuma adoba: sa. Ilia asigi dawa: su, Di da ba: lala. Amaiba: le, na ba: ma: ne, Dia na ha lai amoma dabema. Bai na hou huluane, na da Dia lobo da: iya ligisi dagoi.
Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, wewe umjaribuye mwenye haki na kupima moyo na nia, hebu nione ukilipiza kisasi juu yao, kwa maana kwako nimeliweka shauri langu.
13 Hina Godema gesami hea: ma! Hina Godema nodonanoma! Bai dunu fonoboi da wadela: i hamosu dunu amoga banenesi ba: sea, E da amo gaga: sa.
Mwimbieni Bwana! Mpeni Bwana sifa! Yeye huokoa uhai wa mhitaji kutoka mikononi mwa waovu.
14 Na lalelegesu eso amoga gagabusu aligima: ne ilegema! Eso amoga na ame da na lalelegei, amo gogolemu da defea.
Ilaaniwe siku niliyozaliwa! Nayo isibarikiwe ile siku mama yangu aliyonizaa!
15 Dunu afae da na ada hahawane ba: ma: ne, ema na lalelegei amane olelei, “Dunu mano! Dia da dunu mano lai dagoi.” Amo dunuma gagabusu aligima: ne ilegema!
Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, yule aliyemfanya afurahi sana, akisema, “Mtoto amezaliwa kwako, tena mtoto wa kiume!”
16 Amo dunu da moilai amo Hina Gode da mae asigiwane wadela: lesi, agoaiwane ba: mu da defea. E da hahabe se nabasu digini wele sia: su nabimu da defea amola esomogoa gegesu dalabede nabimu da defea.
Mtu huyo na awe kama miji ile ambayo Bwana Mungu aliiangamiza bila huruma. Yeye na asikie maombolezo asubuhi na kilio cha vita adhuhuri.
17 Bai e da na mae lalelegele, na hame medole legei. Amai hamoi ganiaba, na: me ea hagomo da na bogoi uli dogoi agoai gala: loba.
Kwa sababu hakuniua nikiwa tumboni, hivyo mama yangu angekuwa kaburi langu, nalo tumbo lake la uzazi lingebaki kuwa kubwa daima.
18 Na da abuliba: le lalelegebela: ? Na da da: i dioi amola bidi hamosu amola gogosiane bogomu amo ba: ma: ne fawane lalelegebela: ?
Kwa nini basi nilitoka tumboni ili kuona taabu na huzuni, na kuzimaliza siku zangu katika aibu?

< Yelemaia 20 >