< Yelemaia 19 >

1 Hina Gode da nama na da laga osoboga hamoi ganagu bidi lamusa: masa: ne sia: i. Amola na da dunu fi ilia asigilai dunu mogili amola asigilai gobele salasu dunu mogili, amo oule masa: ne sia: i.
Bwana akasema hivi, “Nenda ukanunue chupa ya udongo wakati ukiwa na wazee wa watu na makuhani.
2 Na da Bodesehede Logo Holei amoga ga asili, Hinome Fagoga doaga: le, Ea sia: alofele olelema: ne, E sia: i.
Kisha uende mpaka bonde la Ben Hinomu wakati wa kuingia kwenye mlango uliovunjika wa mfinyanzi, na huko utangaza maneno nitakayokuambia.
3 Hina Gode da na da amane alofele sia: ma: ne sia: i, “Yuda fi hina bagade dilia amola Yelusaleme fi dunu dilia Na, Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili fi ilia Gode, amo Na sia: nabima. Na da amo sogega wadela: su bagade iasimu. Nowa dunu da amo hou ba: sea, da bagadewane fofogadigimuba: le sidi agoai ba: mu.
Ukisema, 'Sikilizeni neno la Bwana, wafalme wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu! Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Tazameni, na nitaletea msiba juu ya mahali hapa, na masikio ya kila mtu anayesikia yatawaka.
4 Dunu huluane da Na yolesi dagoiba: le, amola ogogosu ‘gode’ amo ilia amola ilia aowalalia amola Yuda hina bagade da hame dawa: i galu, ilima gobele salasu hou hamoiba: le, sogebi wadela: lesi dagoiba: le, amola amo sogebi ganodini wadela: i hame hamosu dunu bagohame udigili medole legeiba: le, Na da amo soge wadela: mu.
Nitafanya hivyo kwa sababu wameniacha na kudharau mahali hapa. Katika mahali hapa wanatoa sadaka kwa miungu mingine ambayo hawakuijua. Wao, baba zao, na wafalme wa Yuda pia wamejaza mahali damu isiyo na hatia.
5 Ilia da ilia mano laluga gobele salimusa: , ogogosu ‘gode’ Ba: iele ea oloda hamoi dagoi. Amo hou hamoma: ne Na da hamedafa sia: i. Na da amo hamedafa dawa: i.
Walimjengea Baali mahali pa juu na kuwachoma watoto wao kwa moto kama sadaka za kuteketezwa kwake-kitu ambacho sijawaamuru au kutaja, wala hakuingia ndani ya akili yangu.
6 Amaiba: le, eso da misunu amoga amo sogebi ea dio da Doubede o Hinome Fago ilia da bu hame sia: mu. Be dio gaheabolo amo Medole Legesu Fago asuli dagoi ba: mu.
Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-ambapo mahali hapa hapataitwa tena Tofethi, bonde la Ben Hinomu, kwa kuwa litakuwa bonde la machinjo.
7 Amo sogebi ganodini Na da Yuda fi dunu amola Yelusaleme fi dunu ilia ilegei huluane hedofamu. Ilia ha lai da ilima hasalima: ne, amola gegesu ganodini ili medole legema: ne, Na da logo doasimu. Na da ilia bogoi da: i hodo amo sio fi amola sigua ohe amo ili moma: ne imunu.
Katika mahali hapa nitatamgua mipango ya Yuda na Yerusalemu. Nitawafanya wapate kuuawa kwa upanga mbele ya adui zao na kwa mkono wa wale wanaotafuta maisha yao. Ndipo nitawapa miili yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa dunia.
8 Na da Yelusaleme amoma wadela: su baligili iasimuba: le, nowa da baligimusa: ahoasea da bogomuwane fofogadigimu.
Ndipo nitaifanya mji huu kuwa uharibifu na kitu cha kuzomewa, kila mtu anayepita atashangaa na kuzomea kwa sababu mateso yake yote.
9 Ha lai dunu da dunu huluane medole legemusa: , moilai sisiga: mu. Amo doagala: su da baligili gasa bagade ba: beba: le, dunu amo moilai ganodini esalebe da ilia na: iyado amola hina: mano amola ili hei manu.”
Nitawafanya wale nyama ya wana wao na binti zao; kila mtu atakula mwili wa jirani yake katika dhiki na katika uchungu ambao umeletwa kwao na maadui zao na wale wanaotaka maisha yao.'”
10 Amasea, Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu amo di da oule asi, amo ilia midadi ganagu goudane,
Kisha utavunja chupa ya udongo mbele ya watu ambao walikwenda pamoja nawe.
11 ilima Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa olelema, ‘Na da amo moilai amola ea fi dunu goudamu. Amola amo laga osoboga hamoi ganagu da bu hahamomu hamedei, amo defele dilia fi bu hahamomu da hamedei ba: mu. Dunu da bogoi dunu uli dogomusa: sogebi hogoi helele, ba: mu hamedeiba: le, ilia da Doubede sogebi amoga uli dogomu.
Uwaambie,'Bwana wa majeshi asema hivi: nitafanya jambo hili kwa watu hawa na mji huu- hii ndiyo ahadi ya Bwana, kama vile Yeremia alivyovunja chupa ya udongo ili isiweze kutengenezwa tena. Watu watazika wafu huko Tofethi hata hapatabaki mahali pa kuzika.
12 Na amo moilai amola amo ganodini esalebe dunu amo Doubede isu salasu defele hamomu. Amo Na da dafawane ilegesa.
Hivyo ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na wenyeji wake nitakapofanya jiji hili kama Tofethi, hili ndio tamko la Bwana;
13 Yelusaleme diasu huluane amola Yuda hina bagade ilia diasu huluane amola diasu huluane amo da: iya ilia da gasumunima nodoma: ne gabusiga: manoma ulagisu amola ogogosu ‘gode’ ilima nodoma: ne, waini hano sogadigisu, amo diasu huluane da Doubede defele, ledo bagade hamoi ba: mu.”
kwa hiyo nyumba za Yerusalemu na wafalme wa Yuda watakuwa kama Tofethi, nyumba zote zilizo juu ya watu waovu wanaoabudu nyota zote za mbinguni na kumwaga sadaka za kinywaji kwa miungu mingine.'”
14 Amalalu, na da Doubede (Hinome Fago amoga Hina Gode da Ea sia: alofele olelema: ne, na asunasi) amo fisili asi. Na da asili, Debolo gagoi amo ganodini lelu, dunu huluane nabima: ne, Hina Gode Bagadedafa Isala: ili fi dunu ilia Gode, amo Ea sia: amane alofele sia: i,
Ndipo Yeremia akatoka Tofethi, ambako Bwana amemtuma ahubiri. Akasimama katika ua wa nyumba ya Bwana, akawaambia watu wote,
15 “Na da amo moilai amola moilai huluane gadenene gala, amoga se iasu Na musa: olelei amo iasimu. Bai dilia dogo da ga: nasi dagoi, amola dilia da Na sia: hamedafa naba.”
“Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazameni, nitawaletea mji huu na miji yake yote maafa yote niliyonena dhidi yake, kwa kuwa walifanya shingo zao kuwa ngumu na kukataa kusikiliza maneno yangu.'”

< Yelemaia 19 >