< Yelemaia 13 >

1 Hina Gode da nama abula selefa dunumuni gala, amo bidi lale, gasisalima: ne sia: i. Be E da amo selefa hanoa mae gema: ne sia: i.
Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Nenda ununue mkanda wa kitani, ujivike kiunoni mwako, lakini usiuache uguse maji.”
2 Amaiba: le, na da amo selefa bidi lale, gasisali.
Kwa hiyo nikanunua mkanda, kama Bwana alivyoniagiza, nikajivika kiunoni.
3 Amalalu, Hina Gode da nama bu amane sia: i,
Ndipo neno la Bwana likanijia kwa mara ya pili:
4 “Iufala: idisi Hano amoga masa! Dia selefa amo gele gelabo ganodini wamolegema.”
“Chukua mkanda ulionunua ambao umeuvaa kiunoni mwako, uende sasa Frati uufiche ndani ya ufa mdogo kwenye mwamba.”
5 Amaiba: le na da asili, Iufala: idisi Hano gadenene na selefa wamolegei.
Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama Bwana alivyoniamuru.
6 Fa: no, eso enoga, Hina Gode da na Iufala: idisi Hano amoga bu asili, selefa bu lama: ne sia: i.
Baada ya siku nyingi Bwana akaniambia, “Nenda sasa Frati ukauchukue ule mkanda niliokuambia uufiche huko.”
7 Amaiba: le, na da bu asi. Be na da sogebi amoga na da selefa wamolegei ba: loba, selefa da wadela: lesi dagoi ba: i.
Hivyo nikaenda Frati na kuuchimbua ule mkanda kutoka pale nilipokuwa nimeuficha, lakini sasa ulikuwa umeharibika na haufai tena kabisa.
8 Amalalu, Hina Gode da nama bu amane sia: i,
Ndipo neno la Bwana likanijia:
9 “Dia selefa wadela: lesi defele, Na da Yuda ilia gasa fi amola Yelusaleme ilia gasa fi wadela: lesimu.
“Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Vivyo hivyo ndivyo nitakavyokiharibu kiburi cha Yuda na kiburi kikuu cha Yerusalemu.
10 Amo wadela: i fi dunu da Nama nabasu hou hame hamosa. Ilia da dogo ga: nasi amola wadela: i hou hamonana, amola ilia ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadolala amola hawa: hamonana. Amaiba: le, ilia da dia selefa defele, wadela: lesi dagoi ba: mu.
Watu hawa waovu, wanaokataa kusikiliza maneno yangu, wafuatao ukaidi wa mioyo yao na kufuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu, watakuwa kama mkanda huu ambao haufai kabisa!
11 Selefa da dunu ea ifo ga: sua noga: le defele gagusa. Amo defele, Na da Isala: ili amola Yuda dunu ilia Na hou gasawane gagumu hanai galu. Ilia da Na fi dunu esaloma: ne amola Na Dio amoma nodoma: ne amola gaguia gadoma: ne, Na da agoane dawa: i galu. Be ilia da Na sia: nabimu hame dawa: i galu.”
Kwa maana kama vile mkanda ufungwavyo kiunoni mwa mtu, ndivyo nilivyojifunga nyumba yote ya Israeli na nyumba yote ya Yuda,’ asema Bwana, ‘ili wawe watu wangu kwa ajili ya utukufu wangu, sifa na heshima yangu. Lakini hawajasikiliza.’
12 Hina Gode da nama amane sia: i, “Yelemaia! Isala: ili dunu ilima amane sia: ma! Waini ganagu huluane da waini hanoga nabaidafa ba: mu da defea. Ilia da dima bu amane adole imunu, ‘Ninia dawa: ! Waini ganagu huluane da waini hanoga nabamu da defea.’
“Waambie: ‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo.’ Kama wao wakikuambia, ‘Kwani hatujui kwamba kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo?’
13 Amasea, ilima agoane olelema, ‘Na, Hina Gode, da dunu huluane amo soge ganodini esala, ilia feloama: ne, waini hano amoga nabamu. Amo hina bagade (ilia da Da: ibidi egaga fi) amola ‘gobele salasu’ amola balofede dunu amola Yelusaleme dunu huluane da waini hano amoga nabaidafa ba: mu.’
Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: nitawajaza ulevi wote waishio katika nchi hii, pamoja na wafalme waketio juu ya kiti cha enzi cha Daudi, makuhani, manabii na wale wote waishio Yerusalemu.
14 Amasea, osoboga hahamoi ganagu da ganagu eno amoga fabeba: le goudasa, amo defele Na da dunu da: i amola ayeligi huluanedafa defele goudamu. Na da hamedafa asigili, ili huluane medole legemu.
Nitawagonganisha kila mmoja na mwenzake, baba na wana wao, asema Bwana. Sitawarehemu wala kuwahurumia ili niache kuwaangamiza.’”
15 Isala: ili fi dunu! Nabima! Hina Gode da sia: i dagoi! Dilia hou fonobone, Ea sia: nabima!
Sikieni na mzingatie, msiwe na kiburi, kwa kuwa Bwana amenena.
16 Dilia Hina Godema nodone dawa: ma! Dilia da hadigi ba: mu hanai galu. Be Hina Gode da hadigi afadenene, dilima gasi iasa: besa: le amola dilia sadenane dafasa: besa: le, Hina Godema nodone dawa: ma amola Ea sia: nabima!
Mpeni utukufu Bwana Mungu wenu, kabla hajaleta giza, kabla miguu yenu haijajikwaa juu ya vilima vitakavyotiwa giza. Mlitarajia nuru, lakini ataifanya kuwa giza nene na kuibadili kuwa huzuni kubwa.
17 Be dilia da hame nabasea, na da dilia gasa fi hou dawa: beba: le, wamowane dimu. Na da ha: giwane dimu amola na si hano da hano agoane sa: imu. Bai Hina Gode Ea fi dunu da mugululi udigili se iasu hawa: hamoma: ne asi dagoi.
Lakini kama hamtasikiliza, nitalia sirini kwa ajili ya kiburi chenu; macho yangu yatalia kwa uchungu, yakitiririka machozi, kwa sababu kundi la kondoo la Bwana litachukuliwa mateka.
18 Hina Gode da nama amane sia: i, “Hina bagade amola ea ame elama ela da fisu fisili gudu sa: ima: ne sia: ma! Bai elea habuga ida: iwane da elea dialumaga fadegale sa: i dagoi.
Mwambie mfalme na mamaye, “Shukeni kutoka kwenye viti vyenu vya enzi, kwa kuwa taji zenu za utukufu zitaanguka kutoka vichwani mwenu.”
19 Ha lai dunu da Yuda gagoe (south) amoga moilai doagala: lala. Amoga masunu da hamedei. Ha lai dunu da Yuda fi dunu huluane mugululi hiouginanu asi dagoi.”
Miji iliyoko Negebu itafungwa, wala hapatakuwa na mtu wa kuifungua. Watu wa Yuda wote watapelekwa uhamishoni, wakichukuliwa kabisa waende mbali.
20 Yelusaleme fi dunu! Ba: ma! Dilia ha lai dunu da gagoe (north), amoga doagala: musa: maha. Dunu amo Gode da dili ouligimusa: sia: i, amola dilia da asigiwane ba: i, amo da habila: ?
Inua macho yako uone wale wanaokuja kutoka kaskazini. Liko wapi lile kundi ulilokabidhiwa, kondoo wale uliojivunia?
21 Dunu amo da dilia asigi na: iyado dunu dilia dawa: i galu, amo da dilima doagala: sea, hasalasili, dili ouligisia, dilia da adi sia: ma: bela: ? Dilia da uda da mano lalelegelala se naba, amo defele se nabimu.
Utasema nini Bwana atakapowaweka juu yako wale ulioungana nao kama marafiki wako maalum? Je, hutapatwa na utungu kama mwanamke aliye katika utungu wa kuzaa?
22 Dilia abula huluane da gasawane fadegale amola dunu da uda wadela: lesisa, amo defele dilia da wadela: lesi dagoi. Dilia da abuliba: le amo hou da dilima doaga: bela: adole ba: sa! Bai dilia hou da wadela: idafa.
Nawe kama ukijiuliza, “Kwa nini haya yamenitokea?” Ni kwa sababu ya dhambi zako nyingi ndipo marinda yako yameraruliwa na mwili wako umetendewa vibaya.
23 Bunumai dunu da ea gadofo afadenemu dawa: bela: ? ‘Lebade’ da ea daginisisi fadegamu dawa: bela: ? Hame mabu! Be amo dawa: mu ganiaba, dilia wadela: i hamosu fawane dawa: su dunu da moloidafa hou hamomu dawa: la: loba.
Je, Mkushi aweza kubadili ngozi yake au chui kubadili madoadoa yake? Vivyo hivyo nawe huwezi kufanya mema wewe uliyezoea kutenda mabaya.
24 Hafoga: i soge fo da bioi gisi amo afagogosa. Amo defele, Hina Gode da dili afagogomu.
“Nitawatawanya kama makapi yapeperushwayo na upepo wa jangwani.
25 Dilia da agoai ba: mu, E da ilegei dagoi. Bai dilia da E gogole, ogogosu ‘gode’ amo dafawaneyale dawa: su.
Hii ndiyo kura yako, fungu nililokuamuria,” asema Bwana, “kwa sababu umenisahau mimi na kuamini miungu ya uongo.
26 Hina Gode Hisu da dili gogosiama: ne, dilia abula gisa: mu.
Nitayafunua marinda yako mpaka juu ya uso wako ili aibu yako ionekane:
27 Dilia hou amo E da bagade higasa, amo hamosu amola amo E da ba: i dagoi. Dilia da dunu ea na: iyado ea uda hanaiba: le hamosa, amola gawali hosi da aseme hosi hamomusa: dawa: sa, amo defele dilia hanaiwane agologa amola umi sogega, ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogesa. Yelusaleme fi dunu! Dilia da wadela: lesi dagoi ba: mu. Dilia da moloidafa ledo hamedei ba: mu da hamedei.
uzinzi wako na kulia kwako kama farasi kulikojaa tamaa, ukahaba wako usio na aibu! Nimeyaona matendo yako ya machukizo juu ya vilima na mashambani. Ole wako, ee Yerusalemu! Utaendelea kuwa najisi mpaka lini?”

< Yelemaia 13 >