< Yelemaia 12 >

1 Hina Gode! Na da Dima fofada: loba, Di da moloidafa ba: la: loba. Be na da moloidafa hou hisu hisu Dima adole ba: ma: mu. Abuliba: le wadela: i hamosu dunu da bagade gagui amola hahawane esalabala? Abuliba: le ogogosu wamolasu dunu da didili hamosala: ?
Wewe ni mwenye haki, Bwana, wakati wowote ninapoleta mashitaka kwako. Lazima nikuambie sababu yangu ya kulalamika: Kwa nini njia za waovu hufanikiwa? Watu wote wasiokuwa na imani wanafanikiwa.
2 Di da amo wadela: i hamosu dunu bugisa. Ilia difi da gudu sa: ili, ilia heda: sa amola fage legesa. Ilia da ogogole eno dunuma Dia hou nodone sia: sa. Be ilia da Dima hame asigisa.
Wewe uliwapanda nao wakawa na mizizi. Wanaendelea kuzaa matunda. Wewe upo karibu nao katika vinywa vyao, lakini mbali na mioyo yao.
3 Be Hina Gode! Di da na hou dawa: Di da na hawa: hamosu ba: lala! Na da Dima bagade asigisa. Amo di dawa: Dunu da sibi medole legemusa: hiouginana ahoa, amo defele Dia amo wadela: i dunu hiouginana masa. Dia ili medole legemusa: eso ilegema! Amola ilia da amo esoga doaga: mane, Dia noga: le sosodo aligima!
Lakini wewe mwenyewe unanijua, Bwana. Umeona mimi na kuchunguza moyo wangu. Waondoe kama kondoo wa kuchinjwa. Ukakaweke tayari kwa siku ya kuchinjwa.
4 Eso habodane ninia soge da hafoga: i dagoi amola gisi sogebi huluane ganodini bioi dagoi ba: ma: bela: ? Ohe fi amola sio fi amola da bogogia: lala. Bai ninia fi dunu da wadela: le hamonana. Amola ilia da amane sia: daha, “Gode da ninia hamobe hame ba: lala.”
Je! Nchi itakauka kwa muda gani, na mimea katika kila shamba itaota kwa sababu ya uovu wa wenyeji wake? Wanyama na ndege wameondolewa. Hakika, watu wanasema, “Mungu hajui nini kitatokea kwetu.”
5 Hina Gode da amane sia: i, “Yelemaia! Di da dunu baligimusa: hehenanebeba: le, helesa. Di da habodane hosi baligimusa: hehenama: bela: ? Di da ifa hamedene umi amoga leloma: ne hame dawa: beba: le, habodane Yodane hano gadenene iwila amo ganodini leloma: bela: ?
Bwana akasema, “Kweli, wewe, Yeremia, umetembea na askari wa miguu na wamechoka, unawezaje kushindana dhidi ya farasi? Ikiwa unashuka chini ya nchi iliyo salama, utafanyaje katika misitu karibu na Yordani?
6 Dunu huluane, amola dia sosogodafa, diolalali da di hohonoi dagoi. Dunu eno da dima doagala: sea, ilia amola da dima doagala: musa: gilisisa. Ilia da dima asigi sia: sia: sea, ilia hou mae dafawaneyale dawa: ma.”
Kwa maana hata ndugu zako na familia ya baba yako wamekudharau na kukukemea kwa sauti kubwa. Usiwaamini, hata kama wanasema mambo mazuri kwako.
7 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Isala: ili yolesi dagoi. Na ilegei fi amo Na da higale yolesi. Dunu fi amoma Na da asigisa, Na da ilia ha lai dunu amo ilia lobo da: iya ligisi dagoi.
Nimeiacha nyumba yangu; Nimeacha urithi wangu. Nimewatia watu wangu wapendwa mikononi mwa adui zake.
8 Na ilegei fi da Nama baligi fa: su. Ilia da laione wa: me iwilaga esala defele Nama husu. Amaiba: le, wali Na da Na fi higasa.
Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba katika tundu; yeye hujiweka juu yangu kwa sauti yake mwenyewe, hivyo nimemchukia.
9 Na ilegei fi dunu da sio afae amo da la: idi la: idi buhibaga doagala: i, amo defele ba: sa. Sigua ohe huluane, ilia amo moma: ne misa: ne wele sia: ma!
Malipo yangu ya thamani ni fisi, na ndege wenye madoadoa karibu na kichwa chake. Nenda, ukakusanye viumbe vyote vilivyomo katika mashamba, na uwalete ili wale.
10 Ga fi ouligisu dunu bagohame da Na waini efe sagai wadela: lesi. Ilia da Na ifabi huluane amo ososa: gi. Na soge ida: iwane gala ilia wadela: lesili, bu hafoga: i soge agoane hamosu.
Wachungaji wengi wameharibu shamba langu la mizabibu. Wameipoteza sehemu yangu yote ya ardhi; Waligeuza sehemu yangu nzuri kuwa jangwa, ukiwa.
11 Na da Na soge ba: sea, wadela: i hafoga: i soge agoane ba: sa. Soge huluanedafa da wadela: i hafoga: i soge agoane hamoi, amola dunu huluane da amo asigiwane hame dawa: digisa.
Wamemfanya kuwa ukiwa. Ninaomboleza kwa ajili yake; yeye ni ukiwa. Nchi yote imefanywa kuwa ukiwa, kwa maana hakuna mtu aliyeweka haya moyoni mwake.
12 Hafoga: i agolo soge amoga dunu da gegele lamusa: maha. Na da soge huluane wadela: lesimusa: gegesu dunu asunasi dagoi. Dunu huluane da olofole esalumu hame dawa:
Waangamizi wamekuja juu ya maeneo yote yaliyo wazi jangwani, kwa maana upanga wa Bwana unakula kutoka upande mmoja wa nchi hadi mwingine. Hakuna usalama katika nchi kwa kiumbe chochote kilicho hai.
13 Na fi dunu da widi hawa: bugi, be gagalobo fawane faisa. Ilia da gasa bagadewane hawa: hamoi, be bidi hame ba: i. Na da ilima ougi bagadeba: le, ilia sagai da ha: i manu hame legei.”
Walipanda ngano lakini mavuno ya miiba. Wao wamechoka kutokana na kazi lakini hawajapata chochote. Basi muaibike kwa faida yenu kwa sababu ya ghadhabu ya Bwana.”
14 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Isala: ili ilia na: iyado fi dunu ilima sia: gala. Bai ilia da soge amo Na da Na fi Isala: ili dunu ilima i, amo wadela: lesi dagoi. Dunu da bugi amo a: le fasibi defele, Na da amo dunu ilia soge amoga a: le fasimu. Na da Yuda fi dunu gaga: mu.
Bwana asema hivi dhidi ya majirani zangu wote, waovu wanaopiga milki niliyowarithisha watu wangu Israeli, “Tazama, mimi ndimi ambaye nitawafukuza kutoka nchi yao wenyewe, nami nitaifuta nyumba ya Yuda kutoka kati yao.
15 Be Na da amo fi dunu fadegale fasili ga gaguli ahoasea, fa: no Na da bu ilima asigili, ilia sogedafa amoga bu oule masunu.
Ndipo baada ya kuangamiza mataifa hayo, itatokea kwamba nitakuwa na huruma juu yao na kuwaleta tena; Nitawarudi-kila mtu kwa urithi wake na nchi yake.
16 Ilia da dafawanedafa Na fi dunu ilia sia: ne gadosu hou lalegagusia amola ‘Hina Gode da esala’ amo sia: dafawane ilegesea (musa: ilia da Na fi ilima Ba: iele ea dio amoma dafawane ilegema: ne sia: su olelei), amasea ilia da Na fidafa amoga gilisi dagoi ba: mu, amola ilia da hahawane bagade gaguiwane esalumu.
Kisha itakuwa ikiwa mataifa hayo yatajifunza kwa makini njia za watu wangu, kuapa kwa jina langu 'Kama Bwana anaishivyo!' vile vile kama walivyowafundishwa watu wangu kuapa kwa Baali, basi watajengwa katikati ya watu wangu.
17 Be nowa fi da Na sia: hame nabasea, Na da amo fi fadegale fasili, wadela: lesimu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
Lakini kama hakuna yeyote anayesikiliza, basi nitaling'oa taifa hilo. Kwa hakika litang'olewa na kuharibiwa-hili ndilo tamko la Bwana.”

< Yelemaia 12 >