< Yelemaia 11 >
1 Hina Gode da nama amane sia: i,
Hili ndilo neno lililojia Yeremia kutoka kwa Bwana, akasema,
2 “Na Gousa: su ea sema noga: le nabima. Yuda soge fi amola Yelusaleme fi ilima amane sia: ma,
“Sikiliza maneno ya agano hili, uwaambie kila mtu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu.
3 ‘Na, Isala: ili ilia Hina Gode, da nowa da Na Gousa: su ea sema nabawane hame hamobe, ilima Na da gagabusu aligima: ne ilegei.
Uwaambie, 'Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: na alaaniwe yeyote asiyesikiliza maneno ya agano hili.
4 Amo Gousa: su Na da ilia aowalalia ilima hamoi. Amo esoha, Na da ili Idibidi sogega fisili masa: ne, ga asunasi. (Bai Idibidi soge da ilima lalu bagade defele galu.) Na da ilima ilia Na sia: nabima: ne, amola Na sia: i liligi huluane nabawane hamoma: ne sia: i. Ilia da nabasu hou hamoi ganiaba, ilia da Na fi dunu esalala: loba amola Na da ilia Gode esalala: loba, Na sia: i.
Hili ndilo agano nililowaamuru baba zenu walishike siku nilipowatoa kutoka katika nchi ya Misri, kutoka tanuru ya chuma. Nikawaambia, “Sikilizeni sauti yangu na mfanye mambo yote kama nilivyowaamuru, kwa kuwa mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.”
5 Amola Na da ilia aowalalia ilima sia: ilegei (amo da ilima nasegagi soge ilia waha gagusa, ilima ima: ne sia: i), amo dafawane imunu sia: i.” Na da amane sia: i, “Ama! Hina Gode.”
Nisikilizeni ili nipate kukitimiza kiapo nilichoapa kwa baba zenu, kiapo kwamba nitawapa nchi iliyojaa maziwa na asali kama ilivyo leo.'” Kisha mimi Yeremia nikajibu na kusema, “Ndio, Bwana!”
6 Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i, “Yuda moilai amola Yelusaleme logo amoga masa. Na sia: amo alofele olelema. Na fi dunu ilima ilia da Na Gousa: su sema nabalu, nabawane hamoma: ne sia: ma.
Bwana akaniambia, “Hubiri habari hizi yote katika miji ya Yuda, na katika njia za Yerusalemu. Sema, “Sikilizeni maneno ya agano hili na mkayafanye.
7 Na da ilia aowalalia dunu Idibidi sogega fisili masa: ne asunasili, Na da ilima Na sia: nabawane hamoma: ne sia: i. Amola eso huluane Na da ilima sisasu olelelalu, amogainini wali eso doaga: i.
Kwa maana nimewaagiza wazee wenu tangu siku ile niliyowaleta kutoka nchi ya Misri hadi wakati huu wa sasa, nimewaonya mara kwa mara na kusema, “Sikilizeni sauti yangu.'”
8 Be ilia da hamedafa nabi. Be Na sia: mae dawa: le, ilia dogo ga: nasili, wadela: i hou hamonanu. Na da ilima Na Gousa: su noga: le ouligima: ne sia: i, be ilia da higa: i. Amaiba: le, Na da se iasu huluane amo Gousa: su ganodini gala, amo huluane ilima i.
Lakini hawakusikiliza au wala kutega masikio yao. Kila mtu amekuwa akitembea katika ukaidi wa moyo wake mbaya. Kwa hiyo nilileta laana zote katika agano hili nililoamuru kuja juu yao. Lakini watu bado hawakuitii.”
9 Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i, “Yuda fi dunu amola Yelusaleme dunu da Nama odoga: musa: , wamowane sia: daha.
Kisha Bwana akaniambia, “Njama imeonekana kati ya watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu.
10 Ilia aowalalia da Na sia: nabawane hamomu higa: i. Amola waha fi ilia da ilia aowalalia wadela: i hou musa: hamoi, amoma sinidigi dagoi. Ilia da ogogosu hisu ‘gode’ ilima sia: ne gadosu. Na da ilia aowalalia ilima Gousa: su hamoi. Be Isala: ili fi amola Yuda fi, ilia da amo gousa: su wadela: lesi dagoi.
Wameugeukia uovu wa mababu zao wa mwanzo, ambao walikataa kusikiliza neno langu, ambao badala yake walifuata miungu mingine ili kuabudu. Waisraeli na nyumba ya Yuda walivunja agano langu nililoweka na baba zao.
11 Amaiba: le, wali Na, Hina Gode, da ilima sisasa. Na da ili wadela: lesimusa: hamomu. Amola ilia da hobeale masunu hamedei ba: mu. Amola ilia da Nama fidima: ne wele sia: sea, Na da ilia sia: hame nabimu.
Kwa hiyo Bwana asema hivi, 'Tazameni, nitawaletea majanga juu yao, majanga ambayo hawataweza kuyaepuka. Ndipo wataniita, lakini sitawasikiliza.
12 Amasea, Yuda dunu amola Yelusaleme dunu da ogogosu ‘gode’ (ilima ilia nodone gobele sala), amoma ili fidima: ne wele sia: na masunu. Be amo wadela: su hou da ilima doaga: sea, ilia ogogosu ‘gode’ da ili fidimu hamedei ba: mu.
Miji ya Yuda na wenyeji wa Yerusalemu watakwenda na kuiita miungu ambayo walitoa sadaka, lakini hakika hawatawaokoa wakati wa majanga yao.
13 Yuda dunu ilia ogogosu ‘gode’ idi da ilia moilai bai bagade ilia idi defele ba: sa. Amola Yelusaleme dunu ilia oloda, amo ledodafa ‘gode’ Ba: iele ema gobele salasu hamomusa: gagui, amo idi da Yelusaleme ea logo huluane ilia idi defele ba: sa.
Kwa kuwa idadi ya miungu yako ewe Yuda imeongezeka sawa na idadi ya miji yako. Na umefanya idadi ya madhabahu ya aibu huko Yerusalemu, madhabahu ya kufukiza uvumba kwa Baali, sawa na idadi ya njia zake.
14 Yelemaia! Na da amo dunu fidima: ne, Nama mae sia: ne gadoma, amola mae edegema! Ilia da bidi hamosu ba: beba: le, Nama fidima: ne wele sia: sea, Na da ilia adole ba: su hame nabimu.’”
Kwa hiyo wewe mwenyewe, Yeremia, usiwaombee watu hawa. Lazima usiomboleze au kuomba kwa niaba yao. Kwa maana siwezi kusikiliza wakati wananiita katika majanga yao.
15 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Na fi dunuma asigisa. Be ilia da wadela: le hamosa. Ilia da Na Debolo diasu golili masunu da defea hame. Ilia da adi dawa: bela: ? Ilia da udigili sia: ilegesea amola ohe fi gobele salasea, wadela: su hame ba: ma: bela: ? Ilia da amoga hahawane ba: ma: bela: ? Hame mabu!
Mpendwa wangu anafanya nini nyumbani kwangu, ikiwa amekuwa na nia mbaya? Nyama za sadaka yako hazitakusaidia. Unafurahi kwa sababu ya matendo yako mabaya.
16 Na da musa: ilima fedege agoane ilima ‘olife’ ifa amo da lubi noga: idafa amola fage bagohame legei, amo dio ilima asuli. Be wali, gugelebe ea gobe defele, Na da wele sia: mu amola amo olife ifa ea lubi diogona: ne nemu, amola ea amoda fimu.
Katika siku za nyuma Bwana alikuita mti wa mzeituni wenye majani, mzuri wenye matunda mazuri. Lakini atawasha moto juu yake ambayo itaonekana kama sauti ya dhoruba; matawi yake yatavunjika.
17 Na, Hina Gode Bagadedafa, da Isala: ili amola Yuda sagai dagoi. Be wali Na da ili wadela: musa: magagisa. Ilisu da amo wadela: su hou lai dagoi. Bai ilia da wadela: le hamoi. Ilia da Ba: ielema gobele salasu hou hamoiba: le, Na da ougi bagade ba: sa.”
Kwa maana Bwana wa majeshi, aliyekua amekusudia maafa juu yako, kwa sababu ya matendo mabaya ambayo nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda wamefanya-wamenikasirisha kwa kumtolea Baali sadaka.'”
18 Hina Gode da na ha lai dunu da na medole legemusa: sia: dalebe amo Gode Hi nama olelei.
Bwana alinijulisha mambo haya, kwa hiyo nakayajua. Wewe, Bwana, umenifanya nione matendo yao.
19 Be na da hahawane mae dawa: iwane sibi mano amo dunu ilia medole legemusa: gadili gaguli ahoa, amo defele esala. Ilia da na wadela: musa: ilegelalu, na da hame dawa: i. Ilia da amane sia: dalu, “Ifa da gaheba: le, abimu da defea. Dunu eno da fa: no amo dunu maedafa dawa: ma: ne, ninia da wali medole legemu da defea.”
Nilikuwa kama kondoo mpole unayeongozwa na mchinjaji. Sikujua kwamba walikuwa wameunda mipango dhidi yangu, “Hebu tuangamize mti na matunda yake! Hebu tumkatilie mbali na nchi ya walio hai ili jina lake lisikumbukwe tena.
20 Amalalu, na da amane sia: ne gadoi, “Hina Gode Bagadedafa! Di da moloidafa fofada: su dunu! Di da dunu ilia asigi dawa: su amola ilia hanai huluane adoba: lala. Na da na hou huluane Dia lobo da: iya ligisi. Amaiba: le, na ba: ma: ne, Dia amo dunu dabema.”
Lakini Bwana wa majeshi ndiye mwamuzi mwenye haki ambaye huchunguza moyo na akili. Mimi nitashuhudia kisasi chako dhidi yao, kwa kuwa nimekuletea kesi yangu kwako.
21 A: nadode dunu da na medole legemusa: hanai galu. Ilia da nama amane sia: i, “Di da mae fisili, Hina Gode Ea Sia: olelesea, ninia da di medole legemu.”
Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya watu wa Anathothi, wanaotafuta uhai wako, “wanasema, 'Usifanye unabii kwa jina la Bwana, usije utakufa kwa mkono wetu.'
22 Amaiba: le, Hina Gode Bagadedafa da amane sia: i, “Na da ilima se imunu. Ilia ayeligi da gegesu ganodini medole legei dagoi ba: mu. Ilia mano da ha: beba: le, bogomu.
Kwa hiyo Bwana wa majeshi asema hivi, 'Tazameni, nitawaadhibu. Vijana wao wenye nguvu watakufa kwa upanga. Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.
23 Na da A: nadode dunu wadela: lesimusa: , eso ilegei dagoi. Amo eso da doaga: sea, dunu afae mae bogole esalebe da hamedafa ba: mu.”
Hakuna hata mmoja atakayeachwa, kwa maana nitaleta maafa dhidi ya watu wa Anathothi, mwaka wa adhabu yao.'”