< Yelemaia 10 >

1 Isala: ili fi dunu! Hina Gode Ea sia: dilima sia: i amo nabima!
Sikieni lile ambalo Bwana, anena nanyi ee nyumba ya Israeli.
2 E da amane sia: sa, “Eno ga fi dunu ilia hou amoma mae fa: no bobogema! Dilia da mu amo ganodini fofogadigisu dawa: ma: ne hahamosu ba: sea, mae beda: ma! Eno fifi asi gala da beda: mu be dilia mae beda: ma!
Hili ndilo asemalo Bwana: “Usijifunze njia za mataifa wala usitishwe na ishara katika anga, ingawa mataifa yanatishwa nazo.
3 Amo dunu ilia sia: ne gadosu hou da hamedei. Ilia da iwilaga ifa damuni fasili, ifa hahamosu dunu da amo osole dedesa.
Kwa maana desturi za mataifa hazina maana, wanakata mti msituni, na fundi anauchonga kwa patasi.
4 Ilia da amo silifa amola gouli amoga nina: hamosa. Amo da dafasa: besa: le, ilia da gafesi amoga dabagala: sa.
Wanaparemba kwa fedha na dhahabu, wanakikaza kwa nyundo na misumari ili kisitikisike.
5 Amo udigili loboga hamoi liligi da sio beda: ma: ne liligi ifabia legei agoane ba: sa. Ilia da sia: mu gogolesa. Amola masunu gogoleiba: le, enoga gaguli ahoa. Ilima mae beda: ma! Bai amo udigili liligi da dili wadela: lesimu da hamedei. Amola dilima hahawane hou iasimusa: hame dawa:”
Sanamu zao ni kama sanamu iliyowekwa shambani la matango kutishia ndege nazo haziwezi kuongea; sharti zibebwe sababu haziwezi kutembea. Usiziogope; haziwezi kudhuru, wala kutenda lolote jema.”
6 Hina Gode! Dunu eno Di agoai da hamedafa esala. Bai Di da Bagadedafa! Amola Dia Dio da gasa bagadedafa!
Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana; wewe ni mkuu, jina lako ni lenye nguvu katika uweza.
7 Di da fifi asi gala huluanedafa ilima Hina Bagade. Dunu huluane da Dima nodomu da defea. Fifi asi gala huluane amo ganodini da bagade dawa: su dunu amola hina bagade dunu. Be ilia da Di agoai hamedafa. Di da huluane baligisa.
Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe, Ee Mfalme wa mataifa? Hii ni stahili yako. Miongoni mwa watu wote wenye hekima katika mataifa na katika falme zao zote, hakuna aliye kama wewe.
8 Ilia huluane da gagaoui agoai. Ilia da ifaga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima dawa: su lamu da hamedei.
Wote hawana akili, tena ni wapumbavu, wanafundishwa na sanamu za miti zisizofaa lolote.
9 Ilia loboga hamoi ‘gode’ da silifa (Siba: ini sogega lai) amola gouli (Iufa: se moilai bai bagadega lai) amoga dedeboi. Bagade dawa: su dedesu dunu da amo hahamoi. Amola bagade dawa: su abula amunisu dunu da yoi amola haisewe abula amuni ilima gasisanasisa.
Huleta fedha iliyofuliwa kutoka Tarshishi na dhahabu kutoka Ufazi. Kile ambacho fundi na sonara wametengeneza huvikwa mavazi ya rangi ya samawi na urujuani: vyote vikiwa vimetengenezwa na mafundi stadi.
10 Be Di, Hina Gode, Di fawane da Godedafa. Di da Godedafa Esala. Amola Di da Mae Bogole Fifi Ahoanusu Hina Bagade. Di da ougi galea, osobo bagade da fofogosa. Amola fifi asi gala dunu huluane da bagade beda: sa.
Lakini Bwana ni Mungu wa kweli, yeye ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele. Anapokasirika, dunia hutetemeka, mataifa hayawezi kustahimili hasira yake.
11 (Dilia Isala: ili dunu! Fifi asi gala huluane amane olelema, “Ogogosu ‘gode’ da osobo bagade amola mu hame hahamoi. Ilia huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu. Ilia da osobo bagadega hame dialebe ba: mu.”)
“Waambie hivi: ‘Miungu hii, ambayo haikuumba mbingu na dunia, itaangamia kutoka dunia na kutoka chini ya mbingu.’”
12 Hina Gode da Ea gasaga osobo bagade hahamoi. Ea bagade dawa: su amoga E da osobo bagade hahamoi amola mu fadegale gai.
Lakini Mungu aliiumba dunia kwa uweza wake, akaweka misingi ya ulimwengu kwa hekima yake, na akazitandaza mbingu kwa ufahamu wake.
13 Ea sia: beba: le, hano muagado gadodili dialebe da gosa. E da osobo bagade bega: bega: amoga mumobi gaguli misini, gilisisa. E da gibu ganodini ha: ha: na nene gala: ma: ne hamosa. E da Ea liligi ligisisu amoga fo asula ahoa.
Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma; huyafanya mawingu yainuke kutoka miisho ya dunia. Hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua, naye huuleta upepo kutoka ghala zake.
14 Dunu da amo gasa bagade hou ba: beba: le, gagaoui agoane ahoa. Dunu da ogogosu loboga hamoi ‘gode’ hamosa, amo ilia dafawaneyale dawa: su hou da hamedei ba: sa. Bai ilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ da hame esala amola hamedei liligi gala.
Kila mmoja ni mjinga na hana maarifa, kila sonara ameaibishwa na sanamu zake. Vinyago vyake ni vya udanganyifu, havina pumzi ndani yavyo.
15 Ilia da hamedei liligi. Amola dunu da ili higamu da defea. Hina Gode da ili wadela: musa: masea, ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu.
Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha tu, hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia.
16 Be Ya: igobe ea Gode da ili agoai hame. E da liligi huluane hahamoi dagoi. E da Isala: ili, Ea fidafa amo hamoma: ne ilegei. Ea Dio da Hina Gode Bagadedafa.
Yeye aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo, kwani ndiye Muumba wa vitu vyote, pamoja na Israeli, kabila la urithi wake: Bwana Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.
17 Yelusaleme dunu! Ha lai da dilima doagala: lala. Dilia liligi momagema!
Kusanyeni mali na vitu vyenu mwondoke nchi hii, enyi mnaoishi katika hali ya kuzingirwa na jeshi.
18 Hina Gode da dili amo dilia sogega mugululi ga fadegale fasimu. E da dili gougoudane, dilia afae dili soge ganodini esalebe hame ba: mu. Hina Gode da sia: i dagoi.
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: “Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu wote waishio katika nchi hii; nitawataabisha ili waweze kutekwa.”
19 Yelusaleme fi dunu da amane digini wele sia: i, “Ninia da se bagade nabi. Ninia fa: ginisi da uhimu hame dawa: Ninia da amo se nabasu ganodini baligimu dawa: i be hamedei.
Ole wangu mimi kwa ajili ya kuumia kwangu! Jeraha langu ni kubwa! Lakini nilisema, “Kweli hii ni adhabu yangu, nami sharti niistahimili.”
20 Ninia abula diasu da wadela: lesi dagoi. Efe amo da abula diasu la: gi da damui dagoi. Ninia mano huluane da asi dagoi. Ninia abula diasu bu gaguma: ne da dunu hame gala. Logo ga: su abula gosagisimu da dunu hame.”
Hema langu limeangamizwa; kamba zake zote zimekatwa. Wana wangu wametekwa na hawapo tena; hakuna hata mmoja aliyebaki wa kusimamisha hema langu wala wa kusimamisha kibanda changu.
21 Na da bu adole i, “Ninia ouligisu dunu da gagaoui gala. Ilia da dafai dagoi, amola ninia dunu huluane da afagogoi dagoi ba: sa. Bai ouligisu dunu da Hina Gode Ea fada: i sia: lama: ne amo Ema hame adole ba: sa.
Wachungaji hawana akili wala hawamuulizi Bwana, hivyo hawastawi na kundi lao lote la kondoo limetawanyika.
22 Nabima! Sia: da doaga: i dagoi. Fi bagade gagoe (north) gala amo ganodini ha lasu bagade naba. Ilia dadi gagui da Yuda soge wadela: lalu, amo da hafoga: i dunu hame esalebe soge agoane ba: mu. Amola amo ganodini, sigua wa: me fawane esalebe ba: mu.”
Sikilizeni! Taarifa inakuja: ghasia kubwa kutoka nchi ya kaskazini! Hii itafanya miji ya Yuda ukiwa, makao ya mbweha.
23 Hina Gode! Na dawa: ! Dunu afae afae huluane da ema misunu hou amoma ouligisu hame gala. E da ea esalusu amoma hina hame gala.
Ninajua, Ee Bwana, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe; hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe.
24 Hina Gode! Dia fi dunu ilia hou afadenene hahamoma! Be se iasu baligili ninima mae ima. Amola Dia ougiba: le se baligili mae ima. Bai ninia udigili bogosa: besa: le, ninima asigima.
Unirudi, Ee Bwana, lakini kwa kipimo cha haki: si katika hasira yako, usije ukaniangamiza.
25 Di sinidigili, fifi asi gala amo da Dima higale nodone hame sia: ne gadosa, ilima ougima. Bai ilia da Dia fi dunu medole legei dagoi. Ilia da nini wadela: lesidafa, amola ilia da ninia soge wadela: lesilalu fisili asi.
Umwage ghadhabu yako juu ya mataifa wasiokujua wewe, juu ya mataifa wasioliitia jina lako. Kwa kuwa wamemwangamiza Yakobo; wamemwangamiza kabisa na kuiharibu nchi yake.

< Yelemaia 10 >