< Yelemaia 1 >

1 Amo meloa dedei da Yelemaia (Hiligaia egefe) ea sia: dedei. Yelemaia da gobele salasu dunu. E da gobele salasu dunu ilia gilisisu A: nadode moilai (Bediamini soge ganodini gala) amo ganodini hawa: hamonanu.
Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani katika mji wa Anathothi, katika nchi ya Benyamini.
2 Yousaia (A: mone egefe) da Yuda soge ouligisu. Ea ouligisu ode 13 amoga, Hina Gode da Yelemaiama sia: i.
Neno la Bwana lilimjia katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda,
3 Amola Yousaia egefe Yihoiagimi da Yuda soge ouligilaloba, Hina Gode da Yelemaiama bu sia: i. Amalalu, Hina Gode da eso bagohame ganodini Yelemaiama sia: nanu, asili, Sedegaia (Yousaia egefe eno) da Yuda ouligisu hou ode11hamoi dagoi ba: i. Amo odega, oubi biyale agoane, Yelusaleme fi dunu da mugululi asi dagoi ba: i.
na pia wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, mpaka mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, wakati watu wa Yerusalemu walipopelekwa uhamishoni.
4 Hina Gode da nama amane sia: i,
Neno la Bwana lilinijia, kusema,
5 “Na da dia esalusu dima i dagoi. Be amo hidadea, Na da di ilegei. Di da hame lalelegei galobawane, Na da di fifi asi gala ilima balofede hawa: hamoma: ne ilegei dagoi.”
“Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la mama yako, nilikujua; kabla hujazaliwa nilikutenga kwa kazi maalum; nilikuweka uwe nabii kwa mataifa.”
6 Na da bu adole i, “Ouligisudafa Hina! Na da sia: mu gogolei! Na da goi fawane!”
Nami nikasema, “Aa, Bwana Mwenyezi, sijui kusema, kwani mimi ni mtoto mdogo tu.”
7 Be Hina Gode da nama amane sia: i, “Di da goi fawane mae sia: ma! Be Na da dia dunu fi ilima asunasisia, ilima Na sia: dima sia: i amo huluane ilima olelema!
Lakini Bwana akaniambia, “Usiseme, ‘Mimi ni mtoto mdogo tu.’ Utaenda popote nitakapokutuma na kunena lolote nitakalokuagiza.
8 Iliba: le mae beda: ma! Bai Na da di gaga: ma: ne ani masunu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema Bwana.
9 Amalalu, Hina Gode da Ea lobo ilua: le gadole, na lafi digili ba: le, amane sia: i, “Nabima! Na da dima dia alofele sia: ma: ne, amo sia: dima iabe goea!
Kisha Bwana akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu, akaniambia, “Sasa nimeyaweka maneno yangu kinywani mwako.
10 Wali eso Na da dima fifi asi gala amola ilia hina bagade dunu ilima hina bagade hou hamoma: ne iaha. Dia da ili fadegale fasimu amola mugulumu dawa: mu. Dia da ili wadela: lesimu dawa: mu. Amola ili bu bugimu amola hiougimu, amo amola dia da dawa: mu.”
Tazama, leo nimekuweka juu ya mataifa na falme ili kungʼoa na kubomoa, kuharibu na kuangamiza, kujenga na kupanda.”
11 Hina Gode da nama amane adole ba: i, “Yelemaia! Dia da adi ba: sala: ?” Na da bu adole i, “Na da ‘amonede’ ifa ea amoda amo ba: la.”
Neno la Bwana likanijia kusema, “Je, Yeremia unaona nini?” Nami nikajibu, “Naona tawi la mti wa mlozi.”
12 Hina Gode da amane sia: i, “Dafawane! Di da moloiwane ba: i dagoi. Amola Na sia: i liligi da dafawane doaga: ma: ne, Na da ba: lala.”
Bwana akaniambia, “Umeona vyema kwa maana ninaliangalia neno langu ili kuona kwamba limetimizwa.”
13 Amalalu, Hina Gode da nama bu sia: i, “Adi eno liligi dia da ba: sala: ?” Na da bu adole i, “Na da gagoe (north) amoga hano ofodo ganodini bubunuma heda: lebe ba: sa. Amola amo da ninima muwane guda: le aimisunu agoai ba: sa.”
Neno la Bwana likanijia tena, “Unaona nini?” Nikajibu, “Naona chungu kinachochemka, kikiwa kimeinama kutoka kaskazini.”
14 Hina Gode da nama amane sia: i, “Gugunufinisisu hou bubunuma heda: su agoane da gagoe (north) heda: le, Yuda soge amoga wadela: lesimusa: misunu.
Bwana akaniambia, “Kutoka kaskazini maafa yatamwagwa kwa wote waishio katika nchi.
15 Bai Na da gagoe (north) fifi asi gala huluane guiguda: misa: ne wele sia: nana. Amo ga fifi asi gala ilia hina bagade da ilia fisu (fedege ilia ouligisu hou) amo Yelusaleme logo holei ga: su amola ea gagoi amola Yuda moilai huluane amo sisiga: le, amoga gaguli dagoi ba: mu.
Nitawaita watu wote wa falme za kaskazini,” asema Bwana. “Wafalme wao watakuja na kuweka viti vyao vya enzi katika maingilio ya malango ya Yerusalemu, watakuja dhidi ya kuta zake zote zinazouzunguka, na dhidi ya miji yote ya Yuda.
16 Na fi dunu da wadela: le hamoiba: le, Na da ilima se imunu. Ilia da Na fisiagai dagoi. Ilia da eno ogogosu ‘gode’ ilima gobele salasu hou hamosu. Ilia da loboga hamoi ‘gode’ agoaila liligi amo hamone, ilima nodone sia: ne gadosu.
Nitatoa hukumu zangu kwa watu wangu kwa sababu ya uovu wao wa kuniacha mimi, kwa kufukiza uvumba kwa miungu mingine na kuabudu kile ambacho mikono yao imekitengeneza.
17 Yelemaia! Momagema! Ilima asili, Na dima sia: i liligi huluane ilima olelema. Wali, iliba: le mae beda: ma! Dia da wali ilima beda: i galea, di da ilima doaga: sea, Na da di iliba: le beda: ma: ne baligili hamomu.
“Jiandae! Simama useme chochote nitakachokuamuru. Usiwaogope, la sivyo nitakufanya uwaogope wao.
Leo nimekufanya mji wenye ngome, nguzo ya chuma, na ukuta wa shaba ili kusimama dhidi ya nchi yote: dhidi ya wafalme wa Yuda, maafisa wake, makuhani wake na watu wa nchi hiyo.
19 Yelemaia! Nabima! Dunu huluane amo soge ganodini esala (Yuda hina bagade ili amola eagene ouligisu dunu amola gobele salasu dunu, amola mafua dunu huluane) da dima ha lamu. Be wali eso, di da ilima dabele gegema: ne, Na da dima gasa iaha. Di da gasa bagadeba: le, ilima moilai gasawane gagoi, amola ouli momomogoi amola ouliga hamoi dobea agoane ba: mu. Ilia da dima hame hasalimu. Bai Na da di gaga: ma: ne, ani esalumu. Na, HinaGode, da sia: i dagoi.”
Watapigana nawe lakini hawatakushinda, kwa kuwa niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,” asema Bwana.

< Yelemaia 1 >