< Aisaia 66 >
1 Hina Gode da amane sia: sa, “Hebene da Na Fisu gala. Amola osobo bagade da Na emo osa: sisu. Amaiba: le, dilia da habodili diasu amo ganodini Na esaloma: ne gaguma: bela: ?
Yahwe asema hivi, ''Mbinguni ni makao yangu, na nchi ni miguu yangu. Iko wapi nyumba uliyonitengenezea mimi? iko wapi sehemu amabayo ninaweza kupumzika?
2 Na Nisu da osobo bagade amola mu huluane hahamoi dagoi. Nowa dunu da ilia hou fonobosa amola Nama sinidigili, Nama beda: i gala amola Na sia: naba, amo dunuma Na da hahawane gala.
Mkono wangu umeyafanya haya yote; hivi ndovyo jinsi ambavyo vitu vitatokeavyo—hili ndilo tamko la Yahwe. Mtu niliyempitisha, mwenye roho iliyopondeka na mwenye kujutia roho, na atetemekaye kwa ajili ya neno langu.
3 Be dunu fi ilia nodone sia: ne gadosu hou da wadela: idafa. Ilia da bulamagau medole legele gobele sala amo defele dunu medole legele gobele sala. Ilia da sibi mano gobele salasu defele, wa: me ea galogoaga fisa. Ilia gagoma iasu defele gebo ea maga: me iaha. Ilia da ogogosu loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima sia: ne gadosa amola gabusiga: manoma gobesisa. Ilia da hahawane wadela: idafa nodone sia: ne gadosu hou hamosa.
Yeyote achinjae ng'ombe humuua mtu pia; yeye anayetoa sadaka ya kondoo huvunja shingo ya mbwa pia; yeye anayetoa sadaka ya mavuno anatoa sadaka ya damu yangurue; yeye anayetoa kumbukumbuvumba huwabariki wakosaji pia. Wamechagua njia zao wenyewe wanachukua radhi kwa uchafu wao wenyewe.
4 Amaiba: le, Na da ili gugunufinisimu. Liligi amoga ilia beda: i amoga ili gugunufinisimu. Bai Na da ilima misa: ne wele sia: beba: le, ilia da hame misi, amola Na da ilima sia: beba: le, ilia da Na sia: nabimu higa: i galu. Ilia da Na sia: i mae nabima: ne, amola wadela: i hou hamoma: ne, ilegei dagoi.”
Katika njia hiyo hiyo nitachagua adhabu yao wenyewe; Nitaleta juu yao kitu wanachokiogopa, maana niilpowaita, hakuna aliyeitika; nilipozungumza aliyenisikiliza mimi. Walifanya yaliyo maovu mbele yangu, na kuchagua yasiyo nipenindeza mimi.''
5 Dilia dunu amo da Godema beda: i amola Ea sia: naba, dilia! Hina Gode Ea sia: nabima, “Dilia fidafa dunu mogili da dili higasa amola dilima gilisimu higasa. Bai dilia Nama molole fa: no bobogesa. Ilia da dilima oufesega: le, amane sia: sa, ‘Hina Gode da Ea gasa bagade hou olelemu amola dili gaga: mu da defea. Amasea, dilia hahawane hou ninia ba: mu.’ Be ilisu da gogosiasu ba: mu.”
Sikiliza neno la Yahwe, ewe utemekae kwa neno lake, ''Kaka zako wanaonichukia na kukutenga wewe kwa ajili ya jina langu walisema, 'Na atukuzwe Yahwe, halafu tutaiona furaha yenu; lakini mtatiwa katika aibu.
6 Nabima! Ga: bagade moilai amola Debolo diasu ganodini nabima! Amo da Hina Gode da Ea ha lai dunu ilima se iaha.
Sauti ya vita vya ghasi vinakuja katika mji, sauti kutoka hekaluni, sauti ya Yahwe anawarudia maadui zake.
7 Hina Gode da amane sia: sa, “Na hadigi moilai bai bagade da uda amo da hedolodafa mano lalelegesa be sega gawialasu hame hamosa, agoaiwane gala.
Kabla ajaenda katika chumba, hujifungua; kabla ya uchungu kumtoka hujifungua mtoto wa kiume.
8 Dunu afae da musa: amo hou ba: bela: ? o nabibala: ? Fifi asi gala afae da eso afadafa amoga lalelegebela: ? Be Saione da fonobahadi fawane se nabalu, Isala: ili fifi asi da lalelegei dagoi ba: mu.
Ni nani asikiaye mambo haya? Ni nani aonae mambo haya? Je taifa linaweza kuanzishwa kwa wakati mmoja? lakini kwa haraka Sayuni inapokwenda katika chumba, hujifungua watoto wake.
9 Dilia adi dawa: bela: ? Na da Na fi fidisia, ilia lalelegemu gadenesea, ilia lalelegemu logo Na da ga: ma: bela: ? Hame mabu! Ilia da lalelegemu,” Hina Gode da amane sia: i.
Ninawezaje kumleta mtoto azaliwe na nisimruhusu mtoto azaliwe? Yahwe auliza? — au Je ninamleta mtoto wakati tu wa kujifungua na halafu nimshikilie tena - anauliza Yahwe.''
10 Nowa da Yelusaleme amoma asigi galea, wali e amola gilisili hahawane hamoma. Dilia da ea dafai eso amoga, ema asigiba: le, dinanu. Be wali, e da wa: legadomuba: le, hahawane ba: mu.
Furahia na Yerusalemu na fuhahia kwa ajili yake, ninyi nyote mnaopenda yeye; furahia pamoja na yeye, ninyi mnaomboleza juu yake!
11 E da bu bagade gagui ba: muba: le, dilia da mano ea: mea dodo nabeba: le, hahawane gala, amo defele hahawane ba: mu.
Maana utamuuguza na ataridhika, katika maziwa yake atakufariji; utakunywa mpaka ushibe na kufurahia kwa wingi wa utukufu wake.
12 Hina Gode da amane sia: sa, “Na da dilima bagade gagui hou imunu, amola amo hou da dialumu. Fifi asi gala ilia liligi da hano amo hafoga: su hame dawa: defele, dilima manebe ba: mu. Dilia da mano amo ea: me da ema dodo maga: me iaha amola ouga: ne, ema asigi bagade hamosa, dilia da amo mano agoaiwane ba: mu.
Yahwe asema hivi, ''Ni nanakaribia kutawanya mafanikio juu katika mto, na utajiri wa mataifa kama wingi wa mkondo wa maji. Utamuuguza kwa upande wake, na kubebwa katika mikono yake, mtabebwa juu ya magoti yake.
13 Eme da ea mano dogo denesima: ne hamosa, amo defele Na da Yelusaleme ganodini, dilia dogo denesimu.
Kama vile mama anavyomfariji mtoto wake, hivyo basi nami nitawafariji ninyi, na mtapata faraja katika Yerusalemu.''
14 Dilia amo hou ba: sea, hahawane ba: mu. Amola Na da dilima amo hou hamomuba: le, dilia da gasa bagade amola oloi hame gala ba: mu. Amasea, dilia da dawa: mu, amo Na, Hina Gode, da nowa dunu da Na sia: nabawane hamosa amo fidisa, amola nowa da Nama ha lai amoma Na da ougi hou olelesa.”
Utayaona haya, na moyo wako utafurahia, na mifupa yako itachipukia kama zabuni ya nyasi. Aridhi ya Yahweitajulikana kwa watumishi wake, lakini atawaonyesha hasira yake dhidi ya maadui zake.
15 Hina Gode da lalu gaguli manebe ba: mu. E da fedege agoane, isu ea ougia fila heda: le, Ea ha lai ilima se imunusa: manebe ba: mu.
Kwa kutazama, Yahwe anakuja kwa moto, na gari lake linakuja kama upepo wa dhoruba kuleta joto katika hasira yake na kukemea kwake ni kama moto uwakao.
16 E da nowa osobo bagade dunu da wadela: i hou hamonanebe ba: sea, ilima laluga amola gegesu gobihei amoga, se iasu ilima imunu. E da dunu bagohame medole lelegemu.
Maana Yahwe ametekeleza hukumu juu ya watu kwa moto na kwa upanga wake. Wale watakaouliwa na Yahwe watakuwa wengi.
17 Hina Gode da amane sia: sa, “Na ha lai da ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadomusa: , ilia ledo doga: sea, ilia da sema ifabi amoga mogodigili ahoa, amola ilia da gebo hu amola dauwa amola eno sema ha: i manu naha. Ilia wadela: mu eso da gadenesa.
Watajiweka wakfu wenyewe na kujisafisha wenywe, ili waweze kuingia katika bustani, kumfuata aliyeko katikati ya wale walao nyama ya nguruwe na vitu haramu kama panya. ''Watafika mwisho - hili ni tamko la Yahwe.
18 Ilia asigi dawa: su amola wadela: i hou amo Na dawa: Na da fifi asi gala fi dunu huluane amo gilisima: ne misunu. Ilia da gilisisia, Na gasa bagade hou ea hamobe ba: mu.
Maana ninayajua matendo yao na mawazo yao. Wakatiutafika nitakapoyakusanya mataifa yote na lugha zote. Watakuja na kuona utukufu wangu.
19 Amola Na da se bidi iasu dunu, amo ilia da dawa: mu. Be mogili ilima Na da se hame imunu. Be Na da ili soge sedaga amo da Na dio hame nabi amola Na gasa bagade hou hame ba: i, amoga asunasimu. Na da Siba: ini amola Libia amola Lidia (amoga dadi gagui dunu da gegesu bagade dawa: ) amola Duba: le amola Galisi amo sogega asunasimu. Amo sogega ilia Na gasa bagade hou amo dunu fi ilima sisia: mu.
Nitaweka ishara ya ukuu wangu miongoni mwao. Halafu nitawatuma wakazi kutoka miongoni mwao kwa mataifa. Kwa Tarshishi, Puti, na Ludi, upinde wale wanaochukua upinde wao, kwa Tubali, Javani, na umbali kuelekea katika pwani kule ambapo hawajasikia chochote kuhusu mimi wala kuona utukufu wangu. Watatangaza utukufu wangu miongoni mwa mataifa.
20 Ilia da dilia fi Isala: ili dunu amo soge ganodini esala, amo guiguda: bu oule misini, Nama hahawane iasu defele, Nama oule misunu. Ilia da amo Na sema agolo Yelusaleme ganodini amoga oule misunu. Ilia da hosi amola dougi amola ga: mele amo da: iya fila heda: le, amola sa: liode amola gaguli fula ahoasu amo ganodini oule misunu. Isala: ili dunu da widi amola gagoma ledo hamedei, ofodo ganodini Debolo diasuga gaguli maha, amo defele ilia da Yelusalemega oule misunu.
Watawaleta kaka zako wote nje ya mataifa yote, kama sadaka kwa Yahwe. Watakuja kwa farasi na kwa gari, na kwa gari, juu ya nyumbu na juu ya ngamia, kuelekea mlima wangu mtakatifu Yerusalemu - asema Yahwe. Maana watu wangu wa Israeli wataleta sadaka ya mavuno kwenye vyombo visafi katika nyumba ya Yahwe.
21 Amo dunu mogili, Na da gobele salasu amola Lifai dunu ilegemu.
Baadhi ya vitu hivi nitavichagua kama makuhani na walawi — asema Yahwe.
22 Osobo bagade gaheabolo amola mu gaheabolo da Na gasaga dialumu. Amo defele, diligaga fi, amola dilia dio, da Na gasaga dialumu.
Maana itakuwa mbingu mpya na nchi mpya ambayo nitakayoifanya ibaki mbele zangu— Hili ndilo tamko la Yahwe— Hivyo ndivyo ukoo wenu utakavyobakia, na jina lenu litabaki.
23 Oubi Gaheabolo Lolo Nabe amola Sa: bade Eso huluane, fifi asi gala huluane dunu ilia da Nama nodone sia: ne gadomusa: , Yelusaleme guiguda: misunu.
Kutoka mwenzi mmoja mpaka mwingine, na kutoka sabato moja mpaka nyingine, watu wote watakuja kukuinamia chini— asema Yahwe.
24 Ilia da Yelusaleme fisili, ahoasea, dunu amo da Nama odoga: i, amo ilia bogoi da: i hodo ba: mu. Ifidi amo da ilia da: i hodo nanebe da bogosu hame ba: mu. Amola lalu ili nenana da ha: ba: dosu hame dawa: Amola amo liligi ba: sea, fifi lasu dunu huluanedafa da higale ba: mu.” Sia: ama dagoi
Watakwenda nje na kuona miili ya wafu ya watu walioniasi mimi, maana wadudu wawalao wao hatakufa, na moto huwaunguzao hautazimika; na itakuwa ni chuki kwa wale wote wenye mwili.''