< Aisaia 59 >
1 Hina Gode da gasa hameba: le dili gaga: mu da hamedei o ge ga: iba: le dilia fidima: ne wele sia: su nabimu gogolei, amo mae dawa: ma.
Tazama, mkono wa Yahwe sio mfupi ambao hautweza kukuokoa wewe; wala sikio lake sio zito, ambalo haliwezi kusikia.
2 Dilia da wadela: i hou hamobeba: le fawane, E da dilia wele sia: su hame naba. Amola dilia Ema nodone sia: ne gadomusa: dawa: sea, dilia wadela: i hou da dili Godema afafasa.
Matendo yako ya dhambi, hata hivyo, zimekutenga wewe na Mungu, na dhambi zenu zimemfanya aufiche uso wake msimuone wala kumsikia yeye.
3 Dilia da ogogosu hou, amola gegesu hou, amola medole legesu hou, bagade dawa:
Maana mikono yenu ina madoa ya damu na vidole vyenu vimejaa dhambi. Midomo yenu inazungumza uongo na ulimi wenu unazungumza kwa nia mbaya.
4 Dilia da fofada: musa: ahoa, be moloidafa hou hame dawa: Fofada: su amo ganodini, dilia da eno dunuma baligimusa: , bagadewane ogogosa. Dilia da eno dunuma se ima: ne ilegesa.
Hakuna hata mmoja aitae haki, na hakuna anayewasihi kesi yake katika haki. Wanayamini maneno yasiyo ya haki, maneno ya uongo; wanashika matatizo na kuzaa dhambi.
Wanetotoa mayai ya nyoka wenye sumu na hufuma mtandao wa buibui. Yeyote alaye mayai yake atakufa, na ikiwa yai litavunjika, litatotoa nyoka mwenye sumu.
6 Dilia wadela: i ilegesu da medosu saya: be ea oso defele, bogosu liligi gala. Oso goudasea, saya: be da gadili maha! Be dilia wadela: i ilegesu da dili hame fidimu. Ilia da abula amo afalea diasu amoga hamoi agoane hamedei liligi.
Mitando yao haitatumika kama mavazi, wala hawawezi kujifukia wenyewe kwa kazi yao. Kazi zao ni kazi za dhambi, na matendo ya vurugu yako mikononi mwao.
7 Dilia da eso huluane wadela: le hamomusa: gini ilegesa, amola amo hamoma: ne, hanaiwane esala. Dilia da wadela: i hame hamosu noga: i dunu amo medole legemusa: hame higasa. Dilia ahoasea, liligi huluane da mugului amola wadela: lesi dagoi ba: sa,
Miguu yao inakimbilia uovu, na wanakimbilia kumwaga damu isiyo na hatia. Mawazo yao ni mawazo ya dhambi; vurugu na uharibifu ndio njia yao.
8 amola dilia esalea, dunu eno da gaga: su hame dawa: Dilia hou huluane da moloi hame. Dilia da gugaloi logo amoga ahoa, amola nowa dunu da amo logoga ahoasea, da gaga: su hame dawa: mu.
Njia ya amani hawaijuyui, na hakuna haki katika njia zao. Wametengeneza njia njia zlizopotoka; yeyote atakaye safiri kupitia njia hizi njia hizi hazijui amani.
9 Dunu da amane sia: sa, “Dafawane! Ninia wadela: i hou hamobeba: le, Gode da ninima banenesisu dunu ilima hame gaga: sa. Ninia da hadigi ganodini masusa: hanai gala, be gasi fawane ba: sa.
Hivyo basi haki iko mbali a sisi, wala haki haijatufikia sisi. Tunasubiri mwanga tunaona giza; tunatafuta mwangaza, lakini tunatembea gizani. Tunapapasa kwenywe ukuta kama kipofu, kama wale wasiona,
10 Ninia da si dofoi dunu defele, logo hogomusa: ahoa. Ninia da gasi ganodini ahoabe defele, amola bogosu gasi dunasi sogebi ganodini ahoabe defele, esomogoa dafasa.
Tuna mashaka mchana kweupe kama kwenye mwanga unaofifia; miongoni mwa wenye nguvu tuko kama watu waliokufa.
11 Ninia da beda: i bagade amola se naba. Ninia da Gode nini se nabasu amola wadela: i hou amoga gaga: ma: ne bagade hanai gala, be Ea gaga: su hame ba: sa.
Sisi tunaunguruma kama dubu na kuomboleza kama njiwa; tunasubiria haki, lakini hakuna kitu; kwa ukombozi, lakini uko mbali na sisi.
12 Hina Gode! Ninia da wadela: i hou bagohame Dima hamosu. Ninia wadela: i hou da ninima diwaneya udidisu agoane. Ninia wadela: i hou huluane ninia dawa: dagoi.
Maana makosa yetu mengi yako mbele zako, na dhambi zetu zinatushuhudia sisi; maana makosa yako pamoja na sisi.
13 Ninia da Dima odoga: i amola Di higa: i amola Dima fa: no bobogemu higa: i dagoi. Ninia da eno dunuma se ima: ne hasanasi, amola Dima baligi fa: su. Ninia asigi dawa: su da ogogosu fawane amola ninia lafi amoga ogogosu sia: fawane sia: sa.
Tumeaasi, kumkana Yahwe na kuacha kumfuata Mungu. Tulizungumzia ulafi kujeuka nyuma, na kuanza kulalamika kutoka moyoni na maneno ya uongo.
14 Ninia da moloi hou sefasi dagoi, amola hou noga: i da ninima hamedei agoane ba: sa. Dafawane hou da moilai amo ganodini dafasa, amola moloidafa hou da dialoma: ne sogebi hame ba: sa.
Haki imerudishwa nyuma, wenye haki wamesimama mbali sana; maana ukweli uko mashakani katika mraba wa umma, haki haiwezi kuja.
15 Moloidafa hou da hamedafa gala. Amaiba: le, nowa da wadela: i hou eno dunuma hamosu yolesisia, eno dunu da ema wadela: le hamomu.” Hina Gode da amo hou huluane ba: i dagoi. Amola moloidafa hou da hameba: le, E da hahawane hame.
Waaminifu wamenda zao, na yeyote anayegeuka mbali na maovu anajiathiri mwenyewe. Yahwe aliliona hilo na hakupendezwa maana hakuna haki.
16 Dunu da se naba banenesi dunu amo fidimusa: da hame, amola Hina Gode da amo ba: beba: le, fofogadigisa. Amaiba: le, E da Hi gasaga amo dunu gaga: mu, amola ilia ha lai hasanasimu.
Aliona kwamba hakuna mtu, na akastaajabu kwamba hakuna mtu wa kuoma. Hivyo basi mkono wake uliletao wakovu kwake, na haki yake unamtosheleza yeye.
17 E da moloidafa hou gaga: su bulu agoane idiniginisimu, amola hasalasu hou gaga: su habuga agoane figisimu. E da wadela: i hou bu hahamomusa: , amola wadela: i hamosu dunuma se dabe imunusa: , bagade hanai gala.
Huivaa haki kama ngao kifuani na kofia ya chuma ya wokovu kichwani mwake. Anajivika mwenyewe kwa mavazi ya kisasi na kuvaa vazi la bidii.
18 E da Ea ha lai dunu, gadenene amola soge sedagaga esala, ilima ilia wadela: i hou hamoi defele se bidi imunu.
Analipa tena kwa kilichotokea, hukumu ya hasira kwa adui zake na kwa adui atairidisha adhabu ya kisiwa kama zawadi yao.
19 Soge gusugoe asili, gududili doaga: le, dunu huluanedafa da Ema amola Ea gasa bagade hou amoma beda: mu. E da hehenasu hano amola gasa bagade isu defele, manebe ba: mu.
Hivyo wataliogopa jina la Yahwe kutoka magharibi na utukufu wake kutoka mashariki; maana atakuja kama mkondo wa mto, inaendeshwa na pumzi ya Yahwe.
20 Hina Gode da Ea fi ilima amane sia: sa, “Na da Yelusalemega dili fidimusa: misunu. Amola nowa da ea wadela: i hou fisili, Nama sinidigisia, Na da amo dunu gaga: musa: misunu.
Mkombozi atakuja Sayuni na wale watkaojeuka kutoka matendo yao ya uasi katika nyumba ya Yakobo- Hili ni tamko la Yahwe.
21 Amola Na da dilima gousa: su hamomu. Na da Na gasa hou amola Na olelesu amo dilia eso huluane gaguma: ne, dilima i dagoi. Wali amola fa: no amola, dilia Na sia: nabima. Amola dilia mano amola diligaga fi da Na sia: mae fisili eso huluane nabasu hou hamoma: ne, ilima olelema.”
Na kama mimi, hili ni agano langu pamoja nao- asema Yahwe- Roho yangu iliyo juu yenu, na maneno yangu niliyoyaweka kinywani mwenu, hayataondoka midomo mwenu au kuodoka mbali na midomo wajukuu wenu, au kwenda mbali asema Yahwe- kuanziia sasa na hata milele.''