< Aisaia 52 >

1 Yelusaleme! Di da gasa bagade amola bagadedafa bu ba: mu da defea. Gode Ea hadigi moilai bai bagade! Di da hadigi abula noga: i defele salima. Gode Ea hou hame lalegagui dunu da dia moilai bai bagade ganodini bu hamedafa golili sa: imu.
Amka, amka, vaa nguvu zako, Sayuni; vaa vazi lako zuri, mji mtakatifu; maana hakuna tena kutotahiriwa wala wasio safi kuingia kwako.
2 Yelusaleme! Dia lala: gi fisima: ne, yaguguma! Di osobo su amoga fi esala, amoga wa: legadole, dia fisu da: iya amoga bu fila heda: ma. Dilia Saione se iasu diasu hamosu dunu! Dilia sia: ine la: la: gisu liligi fadegale fasima.
Jikung'ute mwenyewe kutoka mavumbini; nyanyuka na ukae, ewe Yerusalemu; ondoa shanga katika shingo yako, wafungwa, binti ya Sayuni.
3 Hina Gode da Ea fi dunu ilima amane sia: sa, “Dilia se iasu diasu hawa: hamomusa: mugululi asi, dilia ha lai da bidi hame i. Amo defele, Na da dilia halegale masa: ne se iasu diasu logo doasisia, ilima bidi hame imunu.
Maana Yahwe asema hivi, umeuzwa bure, na utakombolewa pasipo pesa.''
4 Dilia da Idibidi sogega ga fi agoane esalumusa: ahoanoba, dilia da amo hanaiba: le asi. Be Asilia dunu da gasa fili, dili afugili oule asili, bidi hame i.
Maana Bwana Yahwe asema hivi, ''Hapo mwanzo watu wangu walishuka chini Misri kuishi kwa muda mfupi; Waasiria waliwanyanyasa wao hivi karibuni.
5 Amola wali Ba: bilone dunu da gasa fili, amo hou defele hamoi. Dilia da se iasu diasu hawa: hamosa, amola ilia bidi hame i. Dilima ouligisu dunu da gasa fi sia: sa, amola hidasa, amola eso huluane ilia da Na higasa.
Sasa ni kitu gani nilicho nacho hapa- Hili ni tamko Yahwe- aonae kwamba watu wake wanachukuliwa bure tu? Wale wanowaongoza wao wanafanya mzaha-Hili ni tamko la Yahwe- jina langu linakashifiwa mchan kutwa.
6 Hobea, dilia da Na da Godedafa amo noga: le dafawaneyale dawa: le, sia: mu. Amola Na da dilima sia: i dagoi, dilia da dawa: mu.”
Hivyo basi watu wangu watalijua jina langu; watajua kwamba siku hiyo kwamba mimi ndiye ninayesema ''Ndiyo, Ni Mimi!''
7 Ninia da sia: adole iasu dunu goumiga manebe hahawane ba: sa. Bai e da sia: ida: iwane gala, sia: da ninima olofosu olelesa, amo ninima iasimusa: maha. E da hasalasu hou olelesa, amola Saione fi ilima amane sia: sa, “Dilia Gode da Hina Bagadedafa.”
Ni kwa uzuri gani juu miliima ni miguu ya mjumbe aliyeleta habari njema, atangazae amani, aliyebeba uzuri wa ukuu, aliyetangaza wokovu, anayesema kwa Sayuni, ''Mungu wako anatawala!''
8 Moilai bai bagade sosodo aligisu dunu ilia hahawaneba: le gilisili wele sia: sa. Ilia da ilila: siga Hina Gode da Saione amoga buhagibi ba: sa.
Sikiliza enyi walinzi nyanyueni sauti zenu, kwa pamoja pigeni kelele kwa furaha, maana mtamuona, kwa kila jicho lenu, kurejea kwa Yahwe Sayuni.
9 Dilia Yelusaleme mugului liligi diala! Ha: giwane hahawane wele sia: ma! Hina Gode da Ea moilai bai bagade gaga: mu, amola Ea fi dunu ilia dogo denesimu.
Pazeni sauti kwa kuimba kwa furaha, enyi mateka wa Yerusalemu; maana Yahwe amefariji watu wake; ameikomboa Yerusalemu.
10 Hina Gode da Ea Hadigi gasa hou amoga Ea fi dunu gaga: mu, amola osobo bagade fifi asi gala huluane da amo hou ba: mu.
Yahwe amewaonyesha kwamba mkono wake mtakatifu katika macho ya mataifa yote; nchi yote itauona wokovu wa Mungu wetu.
11 Masa! Ba: bilone fisili ga masa! Ledo liligi maedafa digili ba: ma. Dilia Debolo ofodo amola Godema nodone sia: ne gadosu liligi gaguli ahoasu dunu! Ledo fisili, gadili asili, dilia hadigi hou mae wadela: ma!
Ondokeni, ondokeni, enendeni mbali na hapa; msiguse kitu chochote ambacho ni najisi; au kuishi katikati yake; jitakase mwenyewe, enyi mliobeba vyombo vya Yahwe.
12 Be wali dilia da hedolo hame be gebewane fisili masunu. Bai dilia da hame hobeasa. Dilia Hina Gode da dili bisili masunu, amola dilia la: idi la: idi huluane Hi da gaga: mu.
Maana hautakwenda nje kwa kukimbia, wala hautaondoka kwa hofu; Maana Yahwe atakuwa mbele yako; na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wako nyuma.
13 Hina Gode da amane sia: sa, “Na Hawa: Hamosu Dunu da Ea hawa: noga: le dawa: iwane hamomu. Amo E da wa: legadolesi, gaguia gadole, enoga nodoi dagoi ba: mu.
Tazameni, mtumishi wangu atafanya hekima; atakuwa juu na atanyanyuliwa juu, na atapandishwa juu.
14 Dunu bagohame da E ba: beba: le, bagadewane fofogadigi. Bai Ea da: i da bagadewane fa: gi amola wadela: lesi ba: i. Amola E da dunu agoane hame ba: i.
Na wengi watamstajabia yeye- muonekano wake umekunjamana nje ya muonekano wa mwanadamu, hivyo basi upande wake ulikuwa mbali na kitu chochote ambacho ni binadamu-
15 Be E da wali fifi asi gala bagohame ilima ledo fadegama: ne, maga: me gufunanesimu. Amola hina bagade dunu ilia da fofogadigiba: le, ilia lafiga sia: mu gogolemu. Bai liligi ilima hame adoi, amo ilia da ba: mu. Amola liligi ilia hame nabi, amo ilia dawa: mu.”
Na hivyo, mtumishi wangu atanyunyizia mataifa mengi na wafme watafunga midomo yao kwa sababu yake. Kana kwamba hawajawahi kuambiwa, wataona, kana kwamba hawakusikia, wataelewa.

< Aisaia 52 >