< Aisaia 52 >

1 Yelusaleme! Di da gasa bagade amola bagadedafa bu ba: mu da defea. Gode Ea hadigi moilai bai bagade! Di da hadigi abula noga: i defele salima. Gode Ea hou hame lalegagui dunu da dia moilai bai bagade ganodini bu hamedafa golili sa: imu.
Amka, amka, ee Sayuni, jivike nguvu. Vaa mavazi yako ya fahari, ee Yerusalemu, mji mtakatifu. Asiyetahiriwa na aliye najisi hataingia kwako tena.
2 Yelusaleme! Dia lala: gi fisima: ne, yaguguma! Di osobo su amoga fi esala, amoga wa: legadole, dia fisu da: iya amoga bu fila heda: ma. Dilia Saione se iasu diasu hamosu dunu! Dilia sia: ine la: la: gisu liligi fadegale fasima.
Jikungʼute mavumbi yako, inuka, uketi kwenye kiti cha enzi, ee Yerusalemu. Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako, ee Binti Sayuni uliye mateka.
3 Hina Gode da Ea fi dunu ilima amane sia: sa, “Dilia se iasu diasu hawa: hamomusa: mugululi asi, dilia ha lai da bidi hame i. Amo defele, Na da dilia halegale masa: ne se iasu diasu logo doasisia, ilima bidi hame imunu.
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: “Mliuzwa pasipo malipo, nanyi mtakombolewa bila fedha.”
4 Dilia da Idibidi sogega ga fi agoane esalumusa: ahoanoba, dilia da amo hanaiba: le asi. Be Asilia dunu da gasa fili, dili afugili oule asili, bidi hame i.
Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Hapo kwanza watu wangu walishuka Misri kuishi, hatimaye, Ashuru wakawaonea.
5 Amola wali Ba: bilone dunu da gasa fili, amo hou defele hamoi. Dilia da se iasu diasu hawa: hamosa, amola ilia bidi hame i. Dilima ouligisu dunu da gasa fi sia: sa, amola hidasa, amola eso huluane ilia da Na higasa.
“Basi sasa nina nini hapa?” asema Bwana. “Kwa kuwa watu wangu wamechukuliwa pasipo malipo, nao wale wanaowatawala wanawadhihaki,” asema Bwana. “Mchana kutwa jina langu limetukanwa bila kikomo.
6 Hobea, dilia da Na da Godedafa amo noga: le dafawaneyale dawa: le, sia: mu. Amola Na da dilima sia: i dagoi, dilia da dawa: mu.”
Kwa hiyo watu wangu watalijua Jina langu; kwa hiyo katika siku ile watajua kwamba ndimi niliyetangulia kulisema. Naam, ni mimi.”
7 Ninia da sia: adole iasu dunu goumiga manebe hahawane ba: sa. Bai e da sia: ida: iwane gala, sia: da ninima olofosu olelesa, amo ninima iasimusa: maha. E da hasalasu hou olelesa, amola Saione fi ilima amane sia: sa, “Dilia Gode da Hina Bagadedafa.”
Tazama jinsi miguu ya wale waletao habari njema ilivyo mizuri juu ya milima, wale wanaotangaza amani, wanaoleta habari njema, wanaotangaza wokovu, wauambiao Sayuni, “Mungu wako anatawala!”
8 Moilai bai bagade sosodo aligisu dunu ilia hahawaneba: le gilisili wele sia: sa. Ilia da ilila: siga Hina Gode da Saione amoga buhagibi ba: sa.
Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao, pamoja wanapaza sauti zao kwa furaha. Wakati Bwana atakaporejea Sayuni, wataliona kwa macho yao wenyewe.
9 Dilia Yelusaleme mugului liligi diala! Ha: giwane hahawane wele sia: ma! Hina Gode da Ea moilai bai bagade gaga: mu, amola Ea fi dunu ilia dogo denesimu.
Pazeni sauti ya nyimbo za furaha pamoja, enyi magofu ya Yerusalemu, kwa maana Bwana amewafariji watu wake, ameikomboa Yerusalemu.
10 Hina Gode da Ea Hadigi gasa hou amoga Ea fi dunu gaga: mu, amola osobo bagade fifi asi gala huluane da amo hou ba: mu.
Mkono mtakatifu wa Bwana umefunuliwa machoni pa mataifa yote, nayo miisho yote ya dunia itaona wokovu wa Mungu wetu.
11 Masa! Ba: bilone fisili ga masa! Ledo liligi maedafa digili ba: ma. Dilia Debolo ofodo amola Godema nodone sia: ne gadosu liligi gaguli ahoasu dunu! Ledo fisili, gadili asili, dilia hadigi hou mae wadela: ma!
Ondokeni, ondokeni, tokeni huko! Msiguse kitu chochote kilicho najisi! Tokeni kati yake mwe safi, ninyi mchukuao vyombo vya Bwana.
12 Be wali dilia da hedolo hame be gebewane fisili masunu. Bai dilia da hame hobeasa. Dilia Hina Gode da dili bisili masunu, amola dilia la: idi la: idi huluane Hi da gaga: mu.
Lakini hamtaondoka kwa haraka, wala hamtakwenda kwa kukimbia; kwa maana Bwana atatangulia mbele yenu, Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.
13 Hina Gode da amane sia: sa, “Na Hawa: Hamosu Dunu da Ea hawa: noga: le dawa: iwane hamomu. Amo E da wa: legadolesi, gaguia gadole, enoga nodoi dagoi ba: mu.
Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa hekima; atatukuzwa, na kuinuliwa juu, na kukwezwa sana.
14 Dunu bagohame da E ba: beba: le, bagadewane fofogadigi. Bai Ea da: i da bagadewane fa: gi amola wadela: lesi ba: i. Amola E da dunu agoane hame ba: i.
Kama walivyokuwa wengi walioshangazwa naye, kwani uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi ya mtu yeyote na umbo lake kuharibiwa zaidi ya mfano wa mwanadamu:
15 Be E da wali fifi asi gala bagohame ilima ledo fadegama: ne, maga: me gufunanesimu. Amola hina bagade dunu ilia da fofogadigiba: le, ilia lafiga sia: mu gogolemu. Bai liligi ilima hame adoi, amo ilia da ba: mu. Amola liligi ilia hame nabi, amo ilia dawa: mu.”
hivyo atayashangaza mataifa mengi, nao wafalme watafunga vinywa vyao kwa sababu yake. Kwa kuwa yale ambayo hawakuambiwa, watayaona, nayo yale wasiyoyasikia, watayafahamu.

< Aisaia 52 >