< Aisaia 50 >

1 Hina Gode da amane sia: sa, “Dilia adi dawa: bela: ? Na da dunu ea uda fisiagasu defele, Na fi ga asunasibela: ? Agoai galea, fisiagasu meloa dedei da habila: ? O dunu ea mano udigili hawa: hamoma: ne amo ili bidi lasa defele, Na da dili mugululi se iasu diasu hawa: hamoma: ne bidi labala? Hame mabu! Dilia da wadela: i hou hamobeba: le fawane, mugululi asi. Dilia wadela: i hou hamobeba: le, Na da dili ga asunasi.
Yahwe asema hivi, ''Kiko wapi cheti cha talaka ambacho nimempa tataka mama yako? na kwa nani niliowauza mimi? Tazama, umewauza kwa sababu ya dhambi zako, na kwa sababu ya uasi wako, na mama yako amepelekwa mbali.
2 Na da Na fi dunu gaga: musa: ahoasea, ilia da abuliba: le Nama hame sinidigibala: ? Na da ilima wele sia: beba: le, ilia da abuliba: le hame adole ibala: ? Dilia adi dawa: bela: ? Na da gasa hameba: le, ili gaga: mu da hamedebela: ? Na sia: beba: le fawane Na da hano wayabo bagade hafoga: musa: dawa: Amasea, menabo da hano hameba: le bogosa.
Kwa nini nimekuja maana hakuna mtu pale? Kwa nini nimeita lakini hakuna aliyejibu? Je mkono wangu ni mfupi kukufidia wewe? Je hakuna nguvu katika ukombozi wngu kwako? Tazama, maonyo yangu, nimeikausha bahari; nimeufanya mto kuwa jangwa; samaki wake wamekufa na kuoza kwa kukosa maji.
3 Na da mu afadenene, gasi agoane bogoi dunu amoma asigi didiga: su hou defele hamomusa: dawa:”
Nimelivisha giza; na ku kwa ngfunika nguo za magunia.''
4 Na da helebe dunu ilima gasa ima: ne, Hina Gode Ouligisudafa da nama sia: ne iasu olelei dagoi. Ea da hamobeba: le, na da hahabe huluane, Ea nama olelesu liligi nabimusa: , bagade hanai.
Bwana Yahwe amenipa mimi lugha kama wale wanayofundishwa, ili kwamba nizungumze maneno ya kudumisha kwa yeye aliyechoka; huniamsha mimi asubuhi kwa asubuhi; huyaamsha masikio yangu kama wale wanofundisha.
5 Hina Gode da nama bagade dawa: su hou i dagoi. Na da Ema hame higa: i, amola Ema hame baligi fa: su.
Bwana Yahwe amefungua sikio langu, na sikuaasi, wala kurudi nyuma.
6 Dunu da na famusa: mabeba: le, ilia noga: le fama: ne, na da na abula gisa: i. Ilia da nama gadebeba: le, amola na mayabo hinabo a: le fasibiba: le, amola na odagia defo adugala: beba: le, na da ilia logo hame hedofai amola dabe bu hame i.
Niliwapa mgongo wangu wale wanaonipiga mimi, na shavu langu kwa wale wanaopokonya nje ndevu zangu; Sitouficha uso wangu kutokana na matendo ya aibu na kutema mate.
7 Be ilia nama gadesea, na da se hame naba. Bai Hina Gode Ouligisudafa da na fidilala. Na da amo houba: le, mae dafama: ne, na dogo denisisa. Na gogosiasu hame ba: mu, amo na dawa:
Maana Bwana Yahwe atanisaidia mimi; hivyo basi sitapatwa na aibu; hivyo nimeufanya uso wangu kama jiwe, maana ninajua kwamba sitaabishwa.
8 Bai Gode da na gadenene esalebeba: le, E da fofada: nanu, na hou da moloi amo olelemu. Nowa da nama fofada: ma: bela: ? Defea! Ania da gilisili fofada: musa: masunu da defea. Amola amo dunu da nama diwaneya udidimu da defea.
Yeye aliye nitakasa mimi yu karibu. Ni nani atakayenipinga mimi? Basi na tusimame tufarijiane mmoja mmoja. Nani aliye mshitaki? Muache aje karibu na mimi.
9 Hina Gode Ouligisudafa Hisu da na gaga: sa. Amaiba: le, nowa da nama fofada: nanu, na da wadela: i hamoi dagoi sia: ma: bela: ? Nama diwaneya udidisu dunu da hobeamu. Aowaba da abula na dagosea, abula da hame ba: mu. Amo defele, nama diwaneya udidisu dunu da bu hame ba: mu.
Tazama, Bwana Yahwe atanisaidia mimi. Nani atakayetangaza kuwa mimi ni mwenye hatia? Tazama, watavaa nje kama vazi; mdomo utawala wao juu.
10 Dilia huluane Hina Godema nodosu dunu! Amo Ea hawa: hamosu dunu ea sia: nabasu dunu! Mae beda: ma! Amabela: ! Dilia da logoga ahoasea, gasi bagade ba: ma: bela: ? Be Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: ma amola lalegaguma.
Ni nani miongoni mwenu anayemuogopa Yahwe? Ni nani anayehieshimu sauti ya Yahwe? Ni nani atakayetembea kwenye giza nene pasipo mwanga?
11 Be dilia da eno dunu amo gugunufinisimusa: ilegesu dunu! Dilia da dilisu wadela: i ilegesu amoga wadela: lesi dagoi ba: mu. Hina Gode Hisu da amo hou ba: ma: ne hamomu. Dilia da se nabasu gugunufinisisu hou bagade ba: mu.
Tazama, ninyi nyote mnaowasha, ni nani aliyewapa wenyewe kwa tochi: tembeni katika mwanga wa moto wenu na katika moto mliouwasha. Hili ndilo mlilopokea kutoka kwangu: utalala chini katika mahali pachungu.

< Aisaia 50 >