< Aisaia 48 >
1 Isala: ili fi dunu! Yuda egaga fi dunu! Nabima! Dilia da Hina Gode Ea Dioba: le sia: sa, amola dilia Isala: ili Gode Ema nodone sia: ne gadosa sia: sa. Be dilia sia: dafawaneyale hame sia: sa.
“Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo, ninyi mnaoitwa kwa jina la Israeli, na mnaotoka katika ukoo wa Yuda, ninyi mnaoapa kwa jina la Bwana, mnaomwomba Mungu wa Israeli, lakini si katika kweli au kwa haki;
2 Be dilia gasa fili, dilia da Hadigi moilai bai bagade amo ea esalebe dunu, amola dilia da Isala: ili Gode (Ea Dio da Hina Gode Bagadedafa) amo dili fidima: ne dafawaneyale dawa: , amane sia: sa.
ninyi mnaojiita raiya wa mji mtakatifu, na kumtegemea Mungu wa Israeli, Bwana Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake:
3 Hina Gode da Isala: ili fi ilima amane sia: sa, “Na da musa: hemonega hobea misunu hou ba: la: lu, dilima sia: i dagoi. Amalalu, hedolodafa amo hou dafawane ba: ma: ne, Na da hamoi dagoi.
Nilitoa unabii mambo ya kwanza tangu zamani, kinywa changu kiliyatangaza na kuyafanya yajulikane; kisha ghafula nikayatenda, nayo yakatokea.
4 Dilia da hame nabasu hou, amola gasa fi hou hamomu, amo Na dawa: i galu. Dilia da ouli agoane selefamu hamedei, amola balase defele ga: nasi bagade hamomu, Na da dawa: i galu.
Kwa kuwa nalijua jinsi ulivyokuwa mkaidi; mishipa ya shingo yako ilikuwa chuma, kipaji chako cha uso kilikuwa shaba.
5 Amaiba: le, Na da dilima hobea misunu hou amo hemonega ba: beba: le, sia: i dagoi. Dilia da dilia loboga hamoi ‘gode’ da dilia hou hahamoi dagoi, amo dilia da sia: sa: besa: le, Na da amo hou da hobea misunu, hemonega sia: i dagoi.
Kwa hiyo nilikuambia mambo haya tangu zamani, kabla hayajatokea nilikutangazia ili usije ukasema, ‘Sanamu zangu zilifanya hayo; kinyago changu cha mti na mungu wangu wa chuma aliyaamuru.’
6 Be wali Na ba: la: lusu sia: i liligi huluane da hamoi dagoi ba: sa. Amola amo ba: la: lusu liligi da dafawane, dilia da wali sia: sa. Wali Na da gaheabolo hou, Na da musa: wamolegei amo hobea misunu, Na da dilima olelemu.
Umesikia mambo haya; yaangalie hayo yote. Je, hutayakubali? “Kuanzia sasa na kuendelea nitakueleza mambo mapya, juu ya mambo yaliyofichika usiyoyajua.
7 Na da wali hamonanebeba: le, amo hou da doaga: i. Agoanewane hou da musa: hamedafa ba: i. Amo hou da musa: ba: i ganiaba, dilia da amo hou huluane dawa: dagoi, dilia da sia: na: noba.
Yameumbwa sasa, wala si tangu zamani; hukupata kuyasikia kabla ya siku ya leo. Hivyo huwezi kusema, ‘Naam, niliyajua hayo.’
8 Be dilia hou da moloi hame, Na dawa: i galu. Dilia da eso huluane seselesu dunu agoane esala, dunu huluane da dawa: Amaiba: le, dilia da Na hobea hamomu hou hamedafa nabi.
Hujayasikia wala kuyaelewa, tangu zamani sikio lako halikufunguka. Ninafahamu vyema jinsi ulivyo mdanganyifu, uliitwa mwasi tangu kuzaliwa kwako.
9 Dunu da Na Dio amoma nodoma: ne, Na da Na ougi dili mae wadela: lesima: ne gagusa. Na da dili hame gugunufinisimu.
Kwa ajili ya Jina langu mwenyewe ninaichelewesha ghadhabu yangu, kwa ajili ya sifa zangu nimeizuia isikupate, ili nisije nikakukatilia mbali.
10 Na da se nabasu hou lalu agoane amo ganodini, silifa ea hou adoba: su agoane, dilia hou adoba: su. Be dilia da hamedei dunu, amo Na da ba: i dagoi.
Tazama, nimekusafisha, ingawa si kama fedha, nimekujaribu katika tanuru ya mateso.
11 Be amo hou Na da Na Dio gaguia gadoma: ne fawane hamoi. Na Dio wadela: lesima: ne, Na da hamedafa ba: mu. Amola eno dunu da Na Hadigi gilisili lamusa: , Na da logo hamedafa doasimu. Na Hadigi da Na Nisu fawane gagusa.”
Kwa ajili yangu mwenyewe, kwa ajili yangu mwenyewe, nafanya hili. Jinsi gani niliache Jina langu lichafuliwe? Sitautoa utukufu wangu kwa mwingine.
12 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi dunu, Na da dili Nama misa: ne wele sia: nanu, ilegei dagoi. Na sia: nabima! Na da Gode amo Hemosu amola Dagosu, eno hame, Na da Godedafa.
“Ee Yakobo, nisikilize mimi, Israeli, ambaye nimekuita: Mimi ndiye; mimi ndimi mwanzo na mwisho.
13 Na da osobo bagade ea bai amola mu amo Na loboga hamoi. Na da osobo bagade amola mu Nama misa: ne sia: sea, ilia da hedolo Nama misini gousa: sa.
Mkono wangu mwenyewe uliweka misingi ya dunia, nao mkono wangu wa kuume umezitanda mbingu; niziitapo, zote husimama pamoja.
14 Dilia huluane gilisima amola nabima! Na ilegei dunu da Na hanai defele Ba: bilone doagala: mu. Eno ‘gode’ liligi afae da amo hou ba: la: lumu hamedei.
“Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize: Ni ipi miongoni mwa hizo sanamu ambayo imetabiri vitu hivi? Watu wa Bwana waliochaguliwa na kuungana watatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli; mkono wa Mungu utakuwa dhidi ya Wakaldayo.
15 Na fawane da ema sia: i, amola ema misa: ne sia: i. Na da e gadili masa: ne oule asi, amola e didili hamoma: ne, Na fawane da ea logo fodoi.
Mimi, naam, Mimi, nimenena; naam, nimemwita yeye. Nitamleta, naye atafanikiwa katika lile nililomtuma.
16 Wali, Nama gadenena misa, amola Na sia: nabima. Hemonega amola fa: no Na da mae wamolegele, sia: moloidafa sia: i. Amola Na sia: sia: i da Na hamobeba: le, dafawane hamoi ba: i.” (Wali Hina bagade Gode Ouligisudafa da Ea gasa nama ianu, na asunasi dagoi.)
“Nikaribieni na msikilize hili: “Tangu tangazo la kwanza sikusema kwa siri; wakati litokeapo, nitakuwako hapo.” Sasa Bwana Mwenyezi amenituma, kwa Roho wake.
17 Isala: ili Hadigi Gode, dilia Gaga: su, da amane sia: sa, “Na da Hina Gode, dilia Gode! Na da dilia hou noga: ma: ne dilima olelesa amola dilia noga: le masa: ne logo olelesa.
Hili ndilo asemalo Bwana, Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli: “Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye katika njia ikupasayo kuiendea.
18 Dilia da na sia: noga: le nabi ganiaba, dilima hahawane hou hano da hafoga: su hame dawa: , amo defele dilima doaga: la: loba. Amola hasalasu hou hano wayabo bagade gafului da hano bega: doaga: sa, amo defele dilima doaga: la: loba.
Laiti ungesikiliza kwa makini maagizo yangu, amani yako ingekuwa kama mto, haki yako kama mawimbi ya bahari.
19 Amola dilia agoane hamoi ganiaba, diligaga fi ilia idi da sa: iboso ea idi defele ba: la: loba amola ilia hamedafa gugunufinisimu Na da hamonana: noba.”
Wazao wako wangekuwa kama mchanga, watoto wako kama chembe zake zisizohesabika; kamwe jina lao lisingefutiliwa mbali, wala kuangamizwa kutoka mbele zangu.”
20 Dilia! Ba: bilone soge fisili, hahawane gadili masa. Amo sia: hahawane wele sia: ma. Dunu huluane nabima: ne, hahawane agoane sia: mu, “Hina Gode da Ea hawa: hamosu dunu fi Isala: ili, amo gaga: i dagoi.”
Tokeni huko Babeli, kimbieni kutoka kwa Wakaldayo! Tangazeni hili kwa kelele za shangwe na kulihubiri. Lipelekeni mpaka miisho ya dunia; semeni, “Bwana amemkomboa mtumishi wake Yakobo.”
21 Hina Gode da Ea fi dunu amo gia: i bagade hafoga: i soge amo ganodini oule ahoanoba, ilia da hano hanai hame ba: i. Ea hamobeba: le, hano da igi amoga yogosa: i. E da igi oudahida: le, hano da amo ganodini misi.
Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani; alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao; akapasua mwamba na maji yakatoka kwa nguvu.
22 Wadela: i hamosu dunu da gaga: su hame ba: mu,” Hina Gode da amane sia: sa.
“Hakuna amani kwa waovu,” asema Bwana.