< Aisaia 44 >

1 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi! Na hawa: hamosu dunu! Na ilegei fi, Ya: igobe egaga fi! Nabima!
Sasa, sikiliza, Yakobo mtumishi wangu, na Isreli, Niliyekuchagua:
2 Na da Hina Gode. Na da dili hahamoi. Dilia lalelegei eso amola fa: no Na da dili fidisu. Mae beda: ma! Dilia da Na hawa: hamosu dunu amola Na dogolegei, ilegei dunu fi.
Yahwe asema hivi, yeye aliyekufanya na kukuumba wewe katika tumbo na yeye aliye kusadia wewe: Usiogope, Yakobo mtumishi wangu; na wewe Yeshuruni, niliyekuchagua.
3 Na da hano hanai soge amoga hano imunu. Amola hafoga: i soge amo da: iya hano masa: ne hamomu. Na da Na gasa amo dilia mano ilima sogadigimu, amola diligaga fi ilima Na hahawane dogolegele iasu imunu.
Maana nitashusha mvua kwenye aridhi yenye kiu, na mikondo ya maji kwenye ardhi kavu; Nitashusha roho yangu kwa watoto wako, na baraka zangu kwa watoto wako.
4 Ilia da gisi amoga ilia da hano bagade iaha, agoaiwane alemu. Amola yodima ifa amo da hano gadenene lelebe agoaiwane alemu.
Watakuwa miongoni mwa nyasi, kama mti pembeni ya mkondo wa maji.
5 Dunu afae afae da amane sia: mu, “Na da Hina Gode Ea dunu.” Ilia da Isala: ili fi dunu ilima gilisima: ne misunu. Ilia huluane da afae afae Hina Gode Ea dio ilia loboga dedemu, amola ilia da afae afae “Na da Gode Ea fi ganodini esala” sia: mu.
Mmoja atasema, 'Mimi ni wa Yahwe; na mwingine ataita jina la Yakobo, na mwingine ataandika kwenye mkono wake 'Mimi ni wa Yahwe, na kujiita mwenyewe kwa jina la Israeli.''
6 Hina Gode da Isala: ili ouligisa amola gaga: sa. E da Hina Gode Bagadedafa, amola E da amane sia: sa, “Na da Hemosu amola Na da Dagosu. Eno ‘gode’ da hame, Ni fawane da Godedafa.
Yahwe asema hivi—Mfalme wa Israeli na Mkombozi wake, Yahwe wa majeshi: ''Mimi ni mwanzo na ni mwisho; na hakuna mungu ila mimi.
7 Eno dunu da Na hamobe defele hamomu ganabela: ? Nowa da hou degabo hamoi asili, Fifi Ahoanusu amoga doaga: le, nowa da amo hou ba: ma: ne defele esalabala? Hamedei!
Ni nani aliye kama mimi? Na atangaze na anielezee matukio yaliyotokea tangu nilipoanzisha watu wangu wa kale, na waache watangaze matukio yajayo.
8 Na fi dunu! Mae beda: ma! Dilia dawa: ! Musa: hemoneganini, amo eso huluane ganodini hou Na da ba: la: lalu sia: i dagoi. Amola dilia da Na ba: su dunu. Eno ‘gode’ esalabala? Gasa bagade ‘gode’ amo Na da hame nabi, agoaiwane esalabala? Hame mabu!
Usiogope wala usifadhaike. Je si mimi niliyekutangazia toka zamani, na nikatangaza? ninyi ni mashaidi wangu: Je kuna Mungu mwingine zaidi yangu? Hakuna Mwamba mwingine zaidi yangu; Ninajua hakuna.''
9 Nowa dunu da ‘gode’ liligi loboga hamosa da hamedei. Amola, ‘gode’ liligi amoga ilia nodosa, amo amola da hamedei. Nowa da amo ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadosea da si dofoi agoane amola hame dawa: su dunu. Ilia da gogosiasu ba: mu.
Mitindo yote ya sanamu si kitu; vitu wanavyo vifurahia ndani havina maana; mashahidi wake hawawezi kuona au kujua chochote, na watapatwa katika aibu.
10 Dilia da ouli amoga loboga hamoi ‘gode’ ilima sia: ne gadoma: ne hamomu da defea hame galebe.
Ni nani atengenezae miungu au sanamu zisizo na maana?
11 Nowa da agoaiwane liligi amoma nodone sia: ne gadosea da gogosiasu ba: mu. Dunu amo da loboga hamoi ‘gode’ hamosa da osobo bagade dunu fawane. Ilia da misini, fofada: mu da defea. Amasea, ilia beda: mu amola gogosiamu.
Tazama, washirika wote watapatwa na aibu; mafundi ni watu tu. waache washikilie msimamao wao kwa pamoja; wataogopa na kuhaibishwa.
12 Ouli hahamosu dunu da ouli afae lale, laluga gobele hahamosa. E da ea gasa lobo amoga ouli ha: maga fane, hahamosa. E da hawa: hamobeba: le, ha: i naba amola hano hanasa hele naba.
Mhunzi anafanya kazi kwa vyombo vyake, kutengeneza, kufanya kazi kwenye makaa ya mawe. Hurekebisha kwa kutumia nyundo na hufanya kazi kwa mkono wake wenye nguvu. Hupata njaa, na nguvu zake humuishia; Hajanywa maji na huzimia.
13 Diasu gagusu dunu da ifa ea defei ba: sa. E da dunu ea da: i hodo defele amo ifaga dedesa. E da gobihei amoga ifa sagane, e da amo ifa hamone, dunu noga: i ea da: i hodo agoane hamone, ea diasu ganodini ligisisa.
Seremala hupima mbao kwa kamba na kuiweka alama kwa kitu kikali. Huichonga kwa vyombo vyake na kuweka alama kwa kutumia dira. Huichonga baada ya sanamu ya mtu, kama mtu anyevutia, ili iweze kukaa ndani ya nyumba.
14 E da dolo ifa abasea, hamosa. O e da “saibalase” o “ouge” ifa amoga hamosa. O e da “lolele” ifa bugili, gibu dasea amo ifa alema: ne ouesala.
Huikata chini mierezi, huchagua miti ya miseprasi au miti ya mialoni. Huchukua mti yeye mwenyewe katika msitu. huotesha mvinje na mvua huifanya ikue.
15 Ifa abasea, e da la: idi lale, lalu didisa. Eno la: idi amoga e da ‘gode’ agoaila hamosa. La: idi afae e da ea da: i dogoloma: ne amola ea ha: i manu gobema: ne, e da lalu didisa. Eno la: idi amoga e da ‘gode’ liligi hamone, amoma nodone sia: ne gadosa.
Basi mtu hutumia kwa moto na kujipatia joto. Ndio, huwasha moto kuwooka mkate. Halafu hutengeneza miungu ili ausujudie;
16 Amo ifa mogili e da lalu didili, ohe hu gobele nanu, sadi ba: sa. E da ea da: i dogolole, amane sia: sa, “Defea! Na da hahawane noga: le dogoloi dagoi.”
Huchoma sehemu ya kuni kwa moto, na huchoma nyama yake juu yake. hula na kushiba. huota moto na kusema, ''Ah, Nimepata joto, nimeouna moto.''
17 Be ifa la: idi eno amoga e da ogogosu ‘gode’ liligi hamone, amoma beguduli nodone sia: ne gadosa. E da amo liligi amoga sia: ne gadole, amane sia: sa, “Di da na ‘gode’. Dia na gaga: ma!”
Kwa kutumia mbao hutengeneza miungu, sanamu yake; huisujudu na kuhieshimu, huipa sifa na kusema, ''Niokoe mimi, maana wewe ni mungu wangu.''
18 Agoai dunu da gagaouiba: le, ilila: hamobe hame dawa: Ilisu da dafawane hou mae dawa: ma: ne, ilila: si wadela: sa.
Hawajui, wala hawaelewi, maana macho yao yamepofuka na hawaoni, na mioyo yao haiwezi kufahamu.
19 Loboga hamoi ‘gode’ hamosu dunu da asigi dawa: su hame gala. E da dawa: lai ganiaba, e da amane sia: na: noba, “Ifa la: idi amoga na da lalu didi. Na da lalu nasubu amoga agi ga: gi gobei amola ohe hu gobele mai. Amo mogili diala amoga na da ‘gode’ liligi hamoi. Amola, wali na da ifa amoma fawane begudulala.”
Hakuna anayefikiria, wala kuelewa na kusema, ''Nimechoma sehemu ya mbao kwenye moto; na pia nimewooka mkate kwa kutumia makaa yake. Nimechoma nyama kwa makaa yake nikala. Sasa Je ninaweza kutengeneza kitu kinachochukiza kwa ajili ya kuabudia kwa sehemu ya mbao iliyobakia? Je ninaweza kusujudia sanamu ya mbao?''
20 Amo hou da gagaoui dunu nasubu nana agoai ba: sa, hamedei. E da ea gagaoui asigi dawa: su amoga fa: no bobogebeba: le, e fidimu hamedei agoai ba: sa. E da amo ‘gode’ (amo da ‘gode’ hame), hima sia: mu gogolesa.
Ni kama anayejilisha majivu; moyo wke mdanganyifu unampoteza yeye. Huwezi kujiokoa mwenyewe, wala hawezi kusema, ''Hiki kitu katika mkono wangu wa kulia sio mungu wa kweli.''
21 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi! Amo noga: le dawa: ma! Dilia da Na hawa: hamosu dunu, amo dawa: ma! Dilia da Na hawa: hamosu dunu esaloma: ne, Na dili hahamoi. Amola, Na da dili hamedafa gogolemu.
Fikiria kuhusu vitu hivi, Yakobo na Israeli, maana wewe ni mtumishi wangu: Nimekuumba wewe; wewe ni mtumishi wangu:
22 Na da dilia wadela: i hou, mu mobi agoane doga: i dagoi. Nama buhagima! Na fawane da dilia Gaga: su dunu.”
Nimeyafuta makosa yako, kama wingu zito, matendo yako mabaya, na wingu, ni kama dhambi zako; maana nimekukomboa wewe.
23 Dilia mu! Hahawaneba: le, ha: giwane wele sia: ma! Osobo bagade hagudu soge! Di amola wele sia: ma! Goumi amola iwila ifa huluane! Dilia amola hahawaneba: le wele sia: ma! Hina Gode da Ea fi dunu Isala: ili gaga: i dagoiba: le, Ea gasa bagade hou olelei dagoi.
Imba, enyi mbingu, maana Yahwe ameyafanya haya; piga kelele enyi mkaao katika nchi. Pazeni sauti enyi mlima milima, enyi misitu yenye miti ndani yake, ewe mlima, ewe msitu wenye kila aina ya mti ndani yak; Maana Yahwe amemkomboa Yakobo, na nitakuonyesha utukufu wake katika Israeli.
24 Na da Hina Gode, dilia Gaga: su dunu. Na da dili hahamoi dagoi. Na da Hina Gode, liligi huluane Hahamosu dunu esala. Ni fawane da mu hahamoi. Na da osobo bagade hahamobeba: le, dunu eno da Na hame fidi.
Yahwe asema hivi, Mkombozi wako, yeye aliyekuumba wewe kutoka tumboni: ''Mimi ni Yahwe, niliyefanya kila kitu, mimi mwenyewe nizinyooshae mbigu, mimi peke niitngenezae nchi.
25 Na hamobeba: le, ogogosu ba: la: lusu dunu da gagaoui ba: sa. Dunu eno da gasumuni ba: sea, hobea misunu hou olelesa, amo ilia ba: i liligi Na da afadenesa. Na da bagade dawa: su dunu ilia sia: hedofasa, amola ilia bagade dawa: su hou da gagaoui fawane, amo eno dunuma olelesa.
Mimi niliyezikata dalili za waongo na kuwaabisha wanaosoma dalili zake; Mimi niliyezigeuza busara za wenye hekima na kujeuza ushauri wao kuwa ujinga.
26 Be Na hawa: hamosu dunu da hobea misunu hou olelesea, amola Na da sia: ne iasu dunu amo Na ilegesu olelema: ne asunasisia, Na da amo hobea misunu hou ba: la: lu amola amo ilegesu dafawane ba: ma: ne hamosa. Na da Yelusaleme amo ganodini dunu da bu esalumu, Na da Yelusaleme fi ilima sia: sa. Amola Yuda moilai huluane wali mugului diala, da wa: legadole bu buga: le gagui dagoi ba: mu, Na da amo sia: sa.
Mimi, Yahwe, niliyethibitisha maneno ya mtumishi wake na kuutimiza utabiri wa mjumbe wake. Aliyezungumza kuhusu Yerusalemu, 'Atakuwa mwenyeji; na katika mji wa Yuda, 'Watatengeneza tena, na nitapatengeneza palipoharibika;
27 Na da sia: afae fawane sia: sea, hano wayabo bagade da hafoga: i dagoi ba: sa.
awezae kusema kwa bahari kubwa, 'Kauka,' na yanakauka mda huo.'
28 Na da Sailasema amane sia: sa, “Di da Na ouligisu dunu esalumu. Di da Na hanai hamomu. Dia sia: beba: le, Yelusaleme da bu gagui dagoi ba: mu. Amola dia sia: beba: le, Debolo Diasu ea bai da bu legei dagoi ba: mu.”
Yahwe ndiye amwambiye Koreshi, 'Ni mchungaji wangu, atafanya kila nilitakalo; atatoa amri kuhusu Yerusalemu, 'Utajengwa kwa upya, 'na kuhusu Hekalu, 'Basi na msingi wake uanzwe kuwekwa.''

< Aisaia 44 >