< Aisaia 44 >

1 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi! Na hawa: hamosu dunu! Na ilegei fi, Ya: igobe egaga fi! Nabima!
“Lakini sasa sikiliza, ee Yakobo, mtumishi wangu, Israeli, niliyemchagua.
2 Na da Hina Gode. Na da dili hahamoi. Dilia lalelegei eso amola fa: no Na da dili fidisu. Mae beda: ma! Dilia da Na hawa: hamosu dunu amola Na dogolegei, ilegei dunu fi.
Hili ndilo asemalo Bwana, yeye aliyekuhuluku, aliyekuumba tumboni, yeye atakayekusaidia: Usiogope, ee Yakobo, mtumishi wangu, Yeshuruni, niliyekuchagua.
3 Na da hano hanai soge amoga hano imunu. Amola hafoga: i soge amo da: iya hano masa: ne hamomu. Na da Na gasa amo dilia mano ilima sogadigimu, amola diligaga fi ilima Na hahawane dogolegele iasu imunu.
Kwa maana nitamimina maji juu ya nchi yenye kiu, na vijito vya maji juu ya ardhi iliyokauka; nitamimina Roho wangu juu ya watoto wako, nayo baraka yangu juu ya wazao wako.
4 Ilia da gisi amoga ilia da hano bagade iaha, agoaiwane alemu. Amola yodima ifa amo da hano gadenene lelebe agoaiwane alemu.
Nao watachipua kama manyasi katika shamba la majani, kama mierezi kando ya vijito vya maji yatiririkayo.
5 Dunu afae afae da amane sia: mu, “Na da Hina Gode Ea dunu.” Ilia da Isala: ili fi dunu ilima gilisima: ne misunu. Ilia huluane da afae afae Hina Gode Ea dio ilia loboga dedemu, amola ilia da afae afae “Na da Gode Ea fi ganodini esala” sia: mu.
Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa Bwana’; mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; vilevile mwingine ataandika juu ya mkono wake, ‘Wa Bwana,’ na kujiita kwa jina la Israeli.
6 Hina Gode da Isala: ili ouligisa amola gaga: sa. E da Hina Gode Bagadedafa, amola E da amane sia: sa, “Na da Hemosu amola Na da Dagosu. Eno ‘gode’ da hame, Ni fawane da Godedafa.
“Hili ndilo asemalo Bwana, Mfalme wa Israeli na Mkombozi, Bwana Mwenye Nguvu Zote: Mimi ni wa kwanza na Mimi ni wa mwisho; zaidi yangu hakuna Mungu.
7 Eno dunu da Na hamobe defele hamomu ganabela: ? Nowa da hou degabo hamoi asili, Fifi Ahoanusu amoga doaga: le, nowa da amo hou ba: ma: ne defele esalabala? Hamedei!
Ni nani basi aliye kama mimi? Yeye na atangaze. Yeye atangaze na kuweka mbele yangu ni kitu gani kilichotokea tangu nilipoumba watu wangu wa kale, tena ni nini kitakachotokea: naam, yeye na atoe unabii ni nini kitakachokuja.
8 Na fi dunu! Mae beda: ma! Dilia dawa: ! Musa: hemoneganini, amo eso huluane ganodini hou Na da ba: la: lalu sia: i dagoi. Amola dilia da Na ba: su dunu. Eno ‘gode’ esalabala? Gasa bagade ‘gode’ amo Na da hame nabi, agoaiwane esalabala? Hame mabu!
Msitetemeke, msiogope. Je, sikutangaza hili, na kutoa unabii tangu zamani? Ninyi ni mashahidi wangu. Je, yuko Mungu zaidi yangu mimi? Hasha, hakuna Mwamba mwingine; mimi simjui mwingine.”
9 Nowa dunu da ‘gode’ liligi loboga hamosa da hamedei. Amola, ‘gode’ liligi amoga ilia nodosa, amo amola da hamedei. Nowa da amo ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadosea da si dofoi agoane amola hame dawa: su dunu. Ilia da gogosiasu ba: mu.
Wote wachongao sanamu ni ubatili, navyo vitu wanavyovithamini havifai kitu. Wale ambao wanazitetea ni vipofu, ni wajinga, nao waaibika.
10 Dilia da ouli amoga loboga hamoi ‘gode’ ilima sia: ne gadoma: ne hamomu da defea hame galebe.
Ni nani atengenezaye mungu na kusubu sanamu, ambayo haiwezi kumfaidia kitu chochote?
11 Nowa da agoaiwane liligi amoma nodone sia: ne gadosea da gogosiasu ba: mu. Dunu amo da loboga hamoi ‘gode’ hamosa da osobo bagade dunu fawane. Ilia da misini, fofada: mu da defea. Amasea, ilia beda: mu amola gogosiamu.
Yeye pamoja na wenziwe wa aina yake wataaibishwa, mafundi wao si kitu ila ni wanadamu tu. Wote wakusanyike pamoja na kuwa na msimamo wao, watashushwa chini kwa hofu na kwa fedheha.
12 Ouli hahamosu dunu da ouli afae lale, laluga gobele hahamosa. E da ea gasa lobo amoga ouli ha: maga fane, hahamosa. E da hawa: hamobeba: le, ha: i naba amola hano hanasa hele naba.
Muhunzi huchukua kifaa na kukifanyia kazi kwenye makaa ya moto, hutengeneza sanamu kwa nyundo, huifanyiza kwa nguvu za mkono wake. Huona njaa na kupoteza nguvu zake, asipokunywa maji huzimia.
13 Diasu gagusu dunu da ifa ea defei ba: sa. E da dunu ea da: i hodo defele amo ifaga dedesa. E da gobihei amoga ifa sagane, e da amo ifa hamone, dunu noga: i ea da: i hodo agoane hamone, ea diasu ganodini ligisisa.
Seremala hupima kwa kutumia kamba na huuchora mstari kwa kalamu; huchonga kwa patasi na kutia alama kwa bikari. Huifanyiza katika umbo la binadamu, la mwanadamu katika utukufu wake wote, ili iweze kukaa katika sehemu yake ya ibada ya miungu.
14 E da dolo ifa abasea, hamosa. O e da “saibalase” o “ouge” ifa amoga hamosa. O e da “lolele” ifa bugili, gibu dasea amo ifa alema: ne ouesala.
Hukata miti ya mierezi, huchukua mtiriza au mwaloni. Huuacha ukue miongoni mwa miti ya msituni, au hupanda msunobari, nayo mvua huufanya ukue.
15 Ifa abasea, e da la: idi lale, lalu didisa. Eno la: idi amoga e da ‘gode’ agoaila hamosa. La: idi afae e da ea da: i dogoloma: ne amola ea ha: i manu gobema: ne, e da lalu didisa. Eno la: idi amoga e da ‘gode’ liligi hamone, amoma nodone sia: ne gadosa.
Ni kuni ya binadamu: yeye huchukua baadhi yake na kuota moto, huwasha moto na kuoka mkate. Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu, huitengeneza sanamu na kuisujudia.
16 Amo ifa mogili e da lalu didili, ohe hu gobele nanu, sadi ba: sa. E da ea da: i dogolole, amane sia: sa, “Defea! Na da hahawane noga: le dogoloi dagoi.”
Sehemu ya kuni huziweka motoni, akapikia chakula chake, hubanika nyama na kula hadi ashibe. Huota moto na kusema, “Aha! Ninahisi joto, ninaona moto.”
17 Be ifa la: idi eno amoga e da ogogosu ‘gode’ liligi hamone, amoma beguduli nodone sia: ne gadosa. E da amo liligi amoga sia: ne gadole, amane sia: sa, “Di da na ‘gode’. Dia na gaga: ma!”
Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake; yeye huisujudia na kuiabudu. Huiomba na kusema, “Niokoe; wewe ni mungu wangu.”
18 Agoai dunu da gagaouiba: le, ilila: hamobe hame dawa: Ilisu da dafawane hou mae dawa: ma: ne, ilila: si wadela: sa.
Hawajui chochote, hawaelewi chochote, macho yao yamefungwa hata hawawezi kuona, akili zao zimefungwa hata hawawezi kufahamu.
19 Loboga hamoi ‘gode’ hamosu dunu da asigi dawa: su hame gala. E da dawa: lai ganiaba, e da amane sia: na: noba, “Ifa la: idi amoga na da lalu didi. Na da lalu nasubu amoga agi ga: gi gobei amola ohe hu gobele mai. Amo mogili diala amoga na da ‘gode’ liligi hamoi. Amola, wali na da ifa amoma fawane begudulala.”
Hakuna anayefikiri, hakuna mwenye maarifa wala ufahamu wa kusema, “Sehemu yake nilitumia kwa kuni; hata pia nilioka mkate juu ya makaa yake, nikabanika nyama na kuila. Je, nifanye machukizo kwa kile kilichobaki? Je, nisujudie gogo la mti?”
20 Amo hou da gagaoui dunu nasubu nana agoai ba: sa, hamedei. E da ea gagaoui asigi dawa: su amoga fa: no bobogebeba: le, e fidimu hamedei agoai ba: sa. E da amo ‘gode’ (amo da ‘gode’ hame), hima sia: mu gogolesa.
Hujilisha kwa majivu, moyo uliodanganyika humpotosha; hawezi kujiokoa mwenyewe, au kusema, “Je, kitu hiki kilichoko katika mkono wangu wa kuume si ni uongo?”
21 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi! Amo noga: le dawa: ma! Dilia da Na hawa: hamosu dunu, amo dawa: ma! Dilia da Na hawa: hamosu dunu esaloma: ne, Na dili hahamoi. Amola, Na da dili hamedafa gogolemu.
“Ee Yakobo, kumbuka mambo haya, ee Israeli, kwa kuwa wewe ni mtumishi wangu. Nimekuumba wewe, wewe ni mtumishi wangu. Ee Israeli, sitakusahau.
22 Na da dilia wadela: i hou, mu mobi agoane doga: i dagoi. Nama buhagima! Na fawane da dilia Gaga: su dunu.”
Nimeyafuta makosa yako kama wingu, dhambi zako kama ukungu wa asubuhi. Nirudie mimi, kwa kuwa nimekukomboa wewe.”
23 Dilia mu! Hahawaneba: le, ha: giwane wele sia: ma! Osobo bagade hagudu soge! Di amola wele sia: ma! Goumi amola iwila ifa huluane! Dilia amola hahawaneba: le wele sia: ma! Hina Gode da Ea fi dunu Isala: ili gaga: i dagoiba: le, Ea gasa bagade hou olelei dagoi.
Enyi mbingu, imbeni kwa furaha, kwa maana Bwana amefanya jambo hili. Ee vilindi vya dunia, piga kelele. Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo, enyi misitu na miti yenu yote, kwa maana Bwana amemkomboa Yakobo, ameuonyesha utukufu wake katika Israeli.
24 Na da Hina Gode, dilia Gaga: su dunu. Na da dili hahamoi dagoi. Na da Hina Gode, liligi huluane Hahamosu dunu esala. Ni fawane da mu hahamoi. Na da osobo bagade hahamobeba: le, dunu eno da Na hame fidi.
“Hili ndilo asemalo Bwana, Mkombozi wako, aliyekuumba tumboni: “Mimi ni Bwana, niliyeumba vitu vyote, niliyezitanda mbingu peke yangu, niliyeitandaza nchi mwenyewe,
25 Na hamobeba: le, ogogosu ba: la: lusu dunu da gagaoui ba: sa. Dunu eno da gasumuni ba: sea, hobea misunu hou olelesa, amo ilia ba: i liligi Na da afadenesa. Na da bagade dawa: su dunu ilia sia: hedofasa, amola ilia bagade dawa: su hou da gagaoui fawane, amo eno dunuma olelesa.
“mimi huzipinga ishara za manabii wa uongo, na kuwatia upumbavu waaguzi, niyapinduaye maarifa ya wenye hekima, na kuyafanya kuwa upuzi,
26 Be Na hawa: hamosu dunu da hobea misunu hou olelesea, amola Na da sia: ne iasu dunu amo Na ilegesu olelema: ne asunasisia, Na da amo hobea misunu hou ba: la: lu amola amo ilegesu dafawane ba: ma: ne hamosa. Na da Yelusaleme amo ganodini dunu da bu esalumu, Na da Yelusaleme fi ilima sia: sa. Amola Yuda moilai huluane wali mugului diala, da wa: legadole bu buga: le gagui dagoi ba: mu, Na da amo sia: sa.
niyathibitishaye maneno ya watumishi wake, na kutimiza utabiri wa wajumbe wake, “niambiaye Yerusalemu, ‘Itakaliwa na watu,’ niambiaye miji ya Yuda kuwa, ‘Itajengwa,’ na kuhusu magofu yake, ‘Mimi nitayatengeneza,’
27 Na da sia: afae fawane sia: sea, hano wayabo bagade da hafoga: i dagoi ba: sa.
niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka, nami nitakausha vijito vyako,’
28 Na da Sailasema amane sia: sa, “Di da Na ouligisu dunu esalumu. Di da Na hanai hamomu. Dia sia: beba: le, Yelusaleme da bu gagui dagoi ba: mu. Amola dia sia: beba: le, Debolo Diasu ea bai da bu legei dagoi ba: mu.”
nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu, naye atatimiza yote yanipendezayo; atauambia Yerusalemu, “Ukajengwe tena,” na kuhusu Hekalu, “Misingi yake na iwekwe.”’

< Aisaia 44 >