< Aisaia 41 >

1 Gode da amane sia: sa, “Dilia sedaga soge fi! Ouiya: ma! Na sia: nabima! Dilia fofada: su diasu ganodini sia: ma: ne, dilia fofada: su sia: momagema. Dilia da bu sia: mu logo ba: mu. Dilia amola Na da moloidafa hou dawa: ma: ne, fofada: mu da defea.
''Sikilizeni mbele yangu kwa ukimya, enyi mkao pwani; wacha mataifa yapate nguvu kwa upya; waache waje karibu na kuzungumza; na tusogee karibu tujadili mgogoro.
2 Nowa da gusugoe amoga hasalasu dunu oule misibela: ? Nowa da soge huluane e da asi amoga ema hasalasu hou iabela: ? E da hina bagade amola fifi asi gala ilima hasanasima: ne, nowa da ema hasalasu hou iabela: ? Ea gobihei amoga e da fifi asi gala dunu osobo su defele wadela: sa. Ea dadi amoga gala: beba: le, ilia da gisi da foga afafasu defele afafasa.
Nani aliyechochea juu mmoja kutoka mashariki, anamuita katika haki yake kwenye huduma yake? Amemkabidhi mataifa juu yake ili amsaidie yeye kuwaangamiza wafalme. Aliwajeuza kuwa mavumbi kwa neno lake, kama upepo unaovuma kwenye mabua kwa upinde wake.
3 E da ilia hobeasu amoma fa: no bobogesa amola mogodigili ahoa. E da hehenabeba: le, gadenenewane hagili ahoa.
Aliwachukuwa wao na kuwapitisha salama, katika njia nyepesi ambayo miguu yake imegusa shida.
4 Nowa da amo hou misa: ne hamobela: ? Nowa da osobo bagade hou huluane ouligibala: ? Na, Hina Gode, da osobo bagade hemosu eso amoga esalebe ba: i, amola Na, Hina Gode da osobo bagade wadela: mu eso amoga esalebe ba: mu.
Ni nani aliyeyafanya na kukamilisha matendo haya? Ni nanialiyechagua kizazi kutoka mwanzo? Mimi, Yahwe ni mwanzo na mwisho, mimi ndiye.
5 Soge sedaga fi dunu da Na hamobe ba: beba: le, bagadewane beda: beba: le, yagugusa. Amaiba: le, ilia huluane da gilisili, maha.
Visiwa vimeona na kuogopa; miisho ya dunia yatetemeka; walikaribia n kuja.
6 Liligi hahamosu dunu ilia enoenoi fidisa amola dogo denesisa.
Kila mmoja amsaidie jirani yake, na kila mmoja asemezane na mwenzake, 'Kuwa mfariji;
7 Ifa hahamosu dunu da gouli hahamosu dunuma, “Dia da noga: le hamoi,” sia: sa. Dunu amo da ‘gode’ agoaila enemema: ne hamosu da dunu amo da ‘gode’ agoaila gafesiga dabagala: sa amoma dogo denesima: ne sia: sa. Ilia da amane sia: sa, “Gouli madelagisu da defea.” Amasea, ilia da amo loboga hamoi ‘gode’ ea sogebi dialoma: ne, amo gafesiga dabagala: sa.
Hivyo basi seremala anamfariji mfua dhahabu, na yule anayefanya kazi kwa kutumia nyundo anamfariji anayefanya kazi kwa chuma, akisema kwa msemo wa kurehemu, ''Ni mizuri; Naye ataupigilia kwa makini misumari ili isipinduke.
8 Be di, Isala: ili, Na hawa: hamosu dunu. Dilia da Na fi dunu Na da ilegei dagoi. Dilia da Na dogolegei A: ibalaha: me, amo egaga fi esala.
Lakini wewe, Israeli mtumishi wangu, Yakobo niliyekuchagua, mtoto wa Ibrahimu rafiki yangu,
9 Na da dili osobo bagade bega: bega: amoga dilima wele sia: nanu, oule misini, gilisi. Na da dilima amane sia: i, “Dilia da Na hawa: hamosu dunu. Na da dili hame higasu, be dili Na fi hamoma: ne ilegei dagoi.
wewe ambaye ninakurudisha kutoka miisho ya nchi, na ambaye niliyekuita kutoka sehemu ya mbali, na kwako niliyekuambia, 'Wewe ni mtumishi wangu; 'Nimekuchagua wewe na sijakukataa.
10 Mae beda: ma! Ani esala. Na da dilia Gode! Liligi huluane amoma mae beda: ma. Na da dilima gasa imunu amola dili fidimu. Na da dili gaga: mu.
Usiogope maana mimi niko pamoja na wewe. Usiwe na wasiwasi, maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, na nitakusaidia, wewe, na Nitakushika kwa mkono wa haki yangu.
11 Dilia da nowa da dilima ougi galea, ilima hasanasibiba: le, ilia da gogosiamu. Nowa da dilima gegesea da bogole,
Tazama, watakuwa na aibu na hawataheshimiwa, wale wote waliokuwa na hasira na wewe; watakuwa si kitu na watatokomea, wale watakao kupinga wewe.
12 osobo bagadega bu hame ba: ma: ne alalolesimu.
Utawatafuta na wala hautawapata wale wanaopingana na wewe; wale wafanyao vita dhidi yako watakuwa kama si kitu, si kitu kabisa.
13 Na da Hina Gode amo dilia Gode. Na da dilima gasa iaha amola dilima amane sia: sa, “Mae beda: ma! Na da dili fidimu.”
Maana mimi Yahwe Mungu wako, nitawashika mkono wako wa kiume, nikikuambia wewe, 'Usiogope; Nitakusaidia wewe.
14 Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi! Dilia da fonobahadi fi amola gasa hame galebe. Be mae beda: ma! Na da dili fidimu. Na, Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, Na da dilia gaga: su dunu esala.
Usiogope, Yakobo wewe mdudu, na enyi watu wa Israeli; Nitawasaidia''- hili ni tamko la Yahwe, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli.
15 Na da dilia hou afadenene, widi fasu ifa agoane hamomu. Amoga sosu liligi gaheabolo amola agei dagoi agoane ba: mu. Amoga dilia da goumi amo fananu, wadela: lesimu. Dilia da agolo goudane, ilia da osobo su agoane ba: mu.
Tazama, ninakufanya wewe kuwa chombo kikali cha kuparulia chenye makali pande mbili; utaparua milima na kuiponda; utafanya vilima kama makapi.
16 Dilia da amo goumi gadodi gasa: le gadosea, ilia da foga mini asi dagoi ba: mu, amola isula bobodobe amoga afafai dagoi ba: mu. Amasea, dilia da hahawane ba: mu. Bai Na da dilia Gode esala. Dilia da Na, Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, Nama nodomu.
Utawatawanya wao, na upepo utawabeba na kuwapeka mbali; upepo utawatanya wao. Utashanglia katika Yahwe, utashangiliakatika mtakatifu wa Israeli
17 Na fi dunu da hano hanaiba: le, hano hogosea, ilia asogoa da hafoga: i galea, Na, Hina Gode da ilia sia: ne gadosu amoma bu adole imunu. Na, Isala: ili fi ilia Gode, da ili hamedafa yolesimu.
Waliodhulumiwa na masikini wanatafuta maji, lakini hakuna kitu, ndimi zao zimekauka kwa kiu; Mimi Yahwe, nitajibu maombi yao; Mimi Mungu wa Israeli, sitawacha wao.
18 Na da hafog: ai agolo sogega, hano yogosa: ima: ne hamomu. Amola hafoga: i soge ganodini, gu hano hamomu. Na da hafoga: i soge afadenene, bu hano wayabo hamomu. Amola hafoga: i soge gu hano bubuga: su hamomu.
Nitatengeneza mikondo ya maji kushusha chini, na chemichem katikati ya mabonde; nitalifanya jangwa kuwa kisima cha maji, na aridhi kavu kuwa chemichem ya maji.
19 Dolo ifa amola “aga: isia” ifa amola “medili” ifa da hafoga: i soge ganodini heda: lalebe ba: mu. “Baine” ifa amola “yuniba” ifa amola “saibalase” ifa da hafoga: i sogega heda: mu.
Katika jangwa nitapanda mierezi, mshita, mhadisi, na mti wa mizeituni. Nitaotesha mberoshi katika uwazi wa jangwa, pamoja na mbono nitapanda mberoshi kitika jangwa lililowazi.
20 Dunu da amo hou ba: beba: le, ilia da Na, Hina Gode, da amo hou hamoi dagoi, dawa: mu. Ilia da Isala: ili fi ilia Hadigi Gode da amo hou hamoi dagoi ba: mu.” Hina Gode da Ogogosu ‘gode’ liligi ilima Fofada: sa
Nitayafanya haya ili waweze kuona, kutambua na kuelewa kwa pamoja, kwamba mkono wa Yahwe umetenda haya, kama Mtakatifu wa Israeli aliyeliumba.
21 Hina Gode, Isala: ili ilia Hina bagade, da amane sia: sa, “Dilia fifi asi gala ‘gode’ liligi! Dilia hou gaga: ma: ne Nama fofada: ma! Sia: gasa bagade dilia hou gaga: ma: ne fofada: ma!
Wakilisha keshi yako, '' asema Yahwe; ''wakilisha hoja zenu nzuri kwa sanamu yenu,'' asema Mfalme wa Yakobo.
22 Misa! Amola hobea misunu hou ba: la: loma! Amo dilia sia: i liligi da doaga: sea, amo ea bai ninia dawa: ma: ne, ninima olelema. Musa: hamoi liligi amo fofada: su dunuma olelema amola amo ea dawa: loma: ne ninima olelema.
Waache walete hoja zao wenyewe; waache waje mbele na watutangazie sisi nini kitakachotokea, ili tuweze kuelewa haya mambo vizuri. Tuawaache watupe tamko mapema, ili tuweze kulitafakari na tuweze kujua n kwa jinsi gani litatimia.
23 Hobea misunu hou ninima olelema. Amasea, dilia da dafawane ‘gode’ esala, amo ninia da dawa: mu. Hou noga: iwane hamoma o ninia baligiliwane beda: ma: ne, wadela: lesisu liligi afae hamoma!
Wajulishe kitu kuhusu baadaye, ili tujue kuwa ninyi ni miungu; fanya kitu kizuri au kibaya, ambacho kitatutisha na kutushangaza.
24 Dili amola dilia hamonana huluane da hamedei liligi. Dunu amo da dilima nodone sia: ne gadosa, amo da gogosiasu wadela: idafa.
Tazama sanamu zenu si kitu na matendo yenu si kitu; aliyewachagua ni machukizo.
25 Na da dunu amo da gusugoe esala, amo e ilegei dagoi. E da gagoe (north) amoga doagala: musa: misunu. E da ouligisu dunu amo ososa: gisa. Ilia da fafu agoai ba: sa, amola e da osoboga ofodo hamosu dunu Amo da fafu ososa: gisa agoane ba: sa.
Nimemnyanyua mmoja kutoka kaskazini, naye amekuja kutoka mawio ya jua nimemchagua yeye alitajae jina langu, na atawakanyaga viongozi kama matope, kama mfinyanzi akanyagavyo udongo.
26 Amo hou da doaga: ma: ne, dilia gilisisu ganodini, da nowa ba: la: lobala: ? Dilia da amo sia: sia: noba, ninia da dilia da dafawane sia: i dawa: la: loba. Be dilia huluane da hamedafa sia: i. Dunu afae da dilia amane sia: i, hamedafa nabi.
Ni nani aliyetangaza hili tangu mwanzo, ili tuweze kujua? na kabla ya mda, ili tuseme, ''Yuko sawasawa''? Kweli hakuna hata mmoja aliyekiri hili, ndio hakuna hata mmoja aliyekusikia ukisema chochote.
27 Na, Hina Gode, da hidadea Saione fi ilima amo sia: olelei. Na da sia: ne iasu dunu Yelusaleme dunu fi hahawane sia: adoma: ne asunasi. Na da ilima amane adole iasi, ‘Dilia fi da ilia sogedafa amoga bu manebe.’
Kwanza nilizungumza na Sayuni, ''Tazama hapo walipo;'' Nimemtuma mhubiri Yerusalemu.
28 Be Na da ogogosu ‘gode’ liligi amo ganodini hogoi helebeba: le, moloi sia: su hamedafa ba: i. Ilia da Na adole ba: su amoma bu adole imunu gogolei galu.
Nilipoangalia, hakuna hata mmoja, hakuna hata miongoni mwao ambaye anaweza kutoa ushauri mzuri, nani, lini nimulize, awezaye kunijibu neno.
29 Amo ‘gode’ liligi da hamedeidafa. Ilia da hawa: hamomu gogolesa. Ilia da gasa hamedafa.”
Tazama, matendo yao si kitu; sanamu zao za chuma zilizotupwa ni upepo na utupu.

< Aisaia 41 >