< Aisaia 40 >

1 Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu ilia dogo denesima. Ilia dogo denesima!
Wafarijini, wafarijini watu wangu, asema Mungu wenu.
2 Yelusaleme fi dunu ilia dogo denesima: ne olelema! Ilia da se nabasu defele nabi dagoi amola ilia wadela: i hou da gogolema: ne olofoi dagoi, amo ilima olelema. Na da ilia wadela: i hou defele, ilima se iasu defele i dagoi.”
Sema na Yerusalemu kwa upole, umtangazie kwamba kazi yake ngumu imekamilika, kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia, kwamba amepokea kutoka mkononi mwa Bwana maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote.
3 Wesu sia: da agoane naba, “Dilia iwila amo ganodini, Hina Gode masa: ne, logo fodoma. Hafoga: i soge amo ganodini ninia Gode da masa: ne, ahoasu noga: le moloma.
Sauti ya mtu aliaye: “Itengenezeni jangwani njia ya Bwana, nyoosheni njia kuu nyikani kwa ajili ya Mungu wetu.
4 Fago huluane nabama. Goumi huluane mugululi, umi agoane hamoma. Agolo da bu umi agoane ba: mu. Amola soge fofagoi huluane da bu fa: i dagoi agoane ba: mu.
Kila bonde litainuliwa, kila mlima na kilima kitashushwa; penye mabonde patanyooshwa, napo palipoparuza patasawazishwa.
5 Amasea, osobo bagade fifi asi gala dunu huluane da Hina Gode Ea Hadigi ba: mu. Bai Hina Gode da amo hou ilegele sia: i dagoi.”
Utukufu wa Bwana utafunuliwa, nao wanadamu wote watauona pamoja. Kwa maana kinywa cha Bwana kimenena.”
6 Wesu sia: eno da agoane naba, “Sia: ne iasu sia: ma!” Na da amane adole ba: sa, ‘Na da adi sia: ne iasu sia: ma: bela?’ Agoane sia: ne iasu olelema. Osobo bagade fifi asi gala dunu huluane da gisi agoane amola ilia da ifa mosoi defele, hedolowane biosa.
Sauti husema, “Piga kelele.” Nami nikasema, “Nipige kelele gani?” “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao wote ni kama maua ya kondeni.
7 Hina Gode da fo ili fama: ne iasisia, gisi mosoi da biosa amola wadela: sa. Osobo bagade dunu da gisi mosoi biobe defele, hedolo biosa.
Majani hunyauka na maua huanguka, kwa sababu pumzi ya Bwana huyapuliza. Hakika wanadamu ni majani.
8 Dafawane! Gisi mosoi da biosa amola falegai da wadela: sa. Be Gode Ea sia: da mae mugululi, dialalalumu.”
Majani hunyauka na maua huanguka, lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”
9 Yelusaleme fi! Goumi sedade amoba: le heda: le, sia: ida: iwane gala olelema. Saione dunu! Sia: ida: iwane, ha: giwane wele sia: ma. Mae beda: iwane ha: gi wele sia: ma. Yuda moilai huluane ilia Gode da manebe, agoane ilima olelema.
Wewe uletaye habari njema Sayuni, panda juu ya mlima mrefu. Wewe uletaye habari njema Yerusalemu, inua sauti yako kwa kupiga kelele, inua sauti, usiogope; iambie miji ya Yuda, “Yuko hapa Mungu wenu!”
10 Hina Gode Ouligisudafa da gasa bagadewane, ouligima: ne misunu. E masea, E da dunu amo Hi gaga: i, amo oule misunu.
Tazameni, Bwana Mwenyezi anakuja na nguvu, nao mkono wake ndio utawalao kwa ajili yake. Tazameni, ujira wake u pamoja naye, nayo malipo yake yanafuatana naye.
11 E da sibi ouligisu defele, Ea sibi fi ouligimu. E da sibi mano gagadole, ea lobo ganodini ouga: ne, gaguli masunu. Amola ilia amelali, E da asabole oule masunu.
Huchunga kundi lake kama mchungaji wa mifugo: Hukusanya wana-kondoo katika mikono yake na kuwachukua karibu na moyo wake, huwaongoza taratibu wale wanyonyeshao.
12 Dunu afae da hano wayabo bagade amo ea loboga gaguli, ea defei dawa: ma: bela: ? O mu amo ea sedade defei ea loboga defema: bela: ? Dunu afae da faigelei ganodini, osobo bagade ea su salima: bela: ? O dioi defei ba: su amoga goumi amola agolo ilia dioi defei amo ba: ma: bela: ?
Ni nani aliyepima maji ya bahari kwenye konzi ya mkono wake, au kuzipima mbingu kwa shibiri yake? Ni nani aliyeyashika mavumbi ya dunia katika kikapu, au kupima milima kwenye kipimio na vilima kwenye mizani?
13 Dunu afae da Hina Godema agoane hamoma: ia olelemusa: dawa: bela: ? Nowa da Ema olelemusa: dawa: bela: o Ema fada: i sia: musa: dawa: bela: ?
Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya Bwana, au kumfundisha akiwa kama mshauri wake?
14 Gode da dawa: lamusa: amola hawa: hamosu hamomusa: , E da nowama adole ba: sala: ?
Ni nani ambaye Bwana ametaka shauri kwake ili kumwelimisha, naye ni nani aliyemfundisha njia iliyo sawa? Ni nani aliyemfundisha maarifa au kumwonyesha mapito ya ufahamu?
15 Hina Gode Ea siga ba: sea da fifi asi gala huluane da hamedei liligi hano afae dadibi defele ba: sa. Ilia da oga sedagaga diala, osobo su hagiwane defele ba: sa.
Hakika mataifa ni kama tone ndani ya ndoo, ni kama vumbi jembamba juu ya mizani, huvipima visiwa kana kwamba vilikuwa vumbi laini.
16 Ohe fi huluane Lebanone iwila ganodini esala da Godema gobele salasu hamoma: ne defele hame ba: sa. Amola Lebanone ifa huluane da amo gobele salasu hamoma: ne, lalu didimusa: habemu defele hame ba: sa.
Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.
17 Fifi asi gala huluane da Ema hamedei liligi.
Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu, yanaonekana yasio na thamani na zaidi ya bure kabisa.
18 Ninia Gode da nowama defele sia: ma: bela: ? Dilia da Ea hou habodane olelema: bela: ?
Basi, utamlinganisha Mungu na nani? Utamlinganisha na kitu gani?
19 E da ‘gode’ amo hawa: hamosu dunu da ilia loboga hamosa, amo ouli hawa: hamosu dunu ilia da gouliga dedebosa amola silifa bai amoga legesa, Gode da agoaiwane liligi hame!
Kwa habari ya sanamu, fundi huisubu, naye mfua dhahabu huifunika kwa dhahabu na kuitengenezea mikufu ya fedha.
20 Dunu da silifa amola gouli bidi lamu amo da hamedei ba: sea, e da ifa hame dasamu liligi lasa. E da bagade dawa: su hawa: hamosu dunu hogoi helesea, amo dunu ‘gode’ hame dafamu liligi ea loboga hamoma: ne sia: sa.
Mtu aliye maskini sana asiyeweza kuleta sadaka kama hii huuchagua mti usiooza. Humtafuta fundi stadi wa kusimamisha sanamu ambayo haitatikisika.
21 Dilia da hame dawa: bela: ? Ilia da hemonega dilima hame olelebela: ? Dilia da osobo bagade ea muni hemosu amo hame nabibala: ?
Je, hujui? Je, hujasikia? Je, hujaambiwa tangu mwanzo? Je, hujafahamu tangu kuumbwa kwa dunia?
22 Dunu amo Ea Fisu da osobo bagade amola mu amoga gadodili diala, amo da: iya fibi Dunu da osobo bagade hahamoi dagoi. Hagudu osobo bagade dunu da fonobahadi gedama agoane ba: sa. Gode da mu amo abula agoane fadegale moloi. Amola dunu esalebe abula diasu agoane hamoi dagoi.
Anakaa kwenye kiti cha enzi juu ya duara ya dunia, nao watu wakaao ndani yake ni kama panzi. Huzitandaza mbingu kama chandarua, na kuzitandaza kama hema la kuishi.
23 E da gasa bagade ouligisu dunu amo hedofale, ilia hamedei liligi agoai ba: ma: ne hamosa.
Huwafanya wakuu kuwa si kitu, na kuwashusha watawala wa dunia hii kuwa kitu bure.
24 Ilia da bugi liligi sono, difi hame sa: i agoai ba: sa. Amasea, Hina Gode da fo iasisia, ilia da biole, bioi gisi agoai foga mini asi dagoi ba: sa.
Mara baada ya kupandwa, mara baada ya kutiwa ardhini, mara baada ya kutoa mizizi yao ardhini, ndipo huwapulizia nao wakanyauka, nao upepo wa kisulisuli huwapeperusha kama makapi.
25 Hadigi Gode da nowama defema: bela: ? Dunu eno da E defele esalabala? Hame mabu!
“Utanilinganisha mimi na nani? Au ni nani anayelingana nami?” asema yeye Aliye Mtakatifu.
26 Muagado ba: ma! Gasumuni dilia da ba: sa! Nowa da amo hahamobela: ? Fedege agoane, E da gasumuni dadi gagui gilisisu defele, ilima bisili, oule ahoa. E da ilia idi dawa: , amola E da ilia dio afae afae amoga ilima wele sia: sa. Ea gasa da bagadedafa. Gasumuni afae da fisi dagoi hamedafa ba: sa.
Inueni macho yenu mtazame mbinguni: Ni nani aliyeumba hivi vyote? Ni yeye aletaye nje jeshi la nyota moja baada ya nyingine na kuziita kila moja kwa jina lake. Kwa sababu ya uweza wake mkuu na nguvu zake kuu, hakuna hata mojawapo inayokosekana.
27 Amaiba: le, Isala: ili fi dunu, dilia abuliba: le egasala: ? Dilia abuliba: le, Hina Gode da dilia bidi hamosu hame dawa: , amola dilima moloi hame hamosu hou amoma E da hame asigisa, dilia abuliba: le egane sia: sala: ?
Kwa nini unasema, ee Yakobo, nanyi ee Israeli, kulalamika, “Njia yangu imefichwa Bwana asiione, Mungu wangu hajali shauri langu?”
28 Dilia hame dawa: bela: ? Dilia hame nabibala: ? Hina Gode da eso huluane Esalalalusu Godedafa. E da osobo bagade hahamoi dagoi. E da helesu hame dawa: Dunu afae da Ea asigi dawa: su dawa: mu da hamedei.
Je wewe, hufahamu? Je wewe, hujasikia? Bwana ni Mungu wa milele, Muumba wa miisho ya dunia. Hatachoka wala kulegea, wala hakuna hata mmoja awezaye kuupima ufahamu wake.
29 E da nowa da gasa hame amola helebe, ilima gasa iaha.
Huwapa nguvu waliolegea na huongeza nguvu za wadhaifu.
30 Dunu huluane amola da: i hame hamoi dunu da helebeba: le, gasa hame laha. Ayeligi dunu da helebeba: le, dafasu dawa:
Hata vijana huchoka na kulegea, nao vijana wanaume hujikwaa na kuanguka,
31 Be nowa da Hina Gode Ea fidima: ne dafawaneyale dawa: beba: le aligisia, da ilia gasa bu gaheabolo hamoi dagoi ba: mu. Ilia da buhiba ea ougia hagili ahoabe defele wa: le masunu. Ilia da hehenabeba: le, hame helemu. Ilia da ahoasea, gasa hame hou hame dawa: mu.
bali wale wamtumainio Bwana atafanya upya nguvu zao. Watapaa juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio wala hawatachoka, watatembea kwa miguu wala hawatazimia.

< Aisaia 40 >