< Aisaia 4 >

1 Amo esoga uda fesuale da dunu afadafa gagulaligili, ema amane sia: mu, “Ninisu da ninia ha: i manu amola ninia abula lamu. Be ninia da gawa hame fiba: le, gogosiasa: besa: le, di ninia gawa esaloma.”
Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
2 Amo esoga, Hina Gode Ea Amoda da ida: iwane amola hadigiwane ba: mu. Amola Isala: ili dunu hame bogole esalea da soge ea ha: i manu gami amo hahawane bagade ba: mu.
Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
3 Dunu huluane amo Gode da mae bogoma: ne ilegei, Yelusaleme amo ganodini esala, ilia da hadigiwane hamoi dagoi ba: mu.
Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
4 Hina Gode da Ea gasa amoga Isala: ili dunu fi ilima fofada: nanu, ilia wadela: i hou dodofemu amola Yelusaleme fi ilia gogosia: i fadegale, maga: me huluane amo moilai bai bagade ganodini asi, amo huluane dodofemu.
Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
5 Amasea, Hina Gode da Saione Goumi amola dunu da amogawi gilisi, amo dedeboma: ne esomogoa mu mobi hahamomu amola gasia lalu mobi amola lalu sawa: hadigi bagade ba: mu. Gode Ea Hadigi da moilai bai bagadega dedebosu gaga: su liligi agoane ba: mu.
Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
6 Hina Gode Ea hadigi da esosea gia: i amoga ougi noga: iwane hahamomu. Moilai bai bagade da gaga: i dagoi ba: mu, amola gibu amola isu amoga gagili sali dagoi ba: mu.
Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.

< Aisaia 4 >