< Aisaia 39 >

1 Amo esoga agoane, Ba: bilone hina bagade amo Milouda: ge Ba: lada: ne (Ba: lada: ne egefe) da hina bagade Hesigaia da oloi galu amo nababeba: le, ema meloa dedene amola hahawane dogolegele iasu liligi iasi.
Wakati huo Merodaki-Baladani, mwana wa Baladani mfalme wa Babeli, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa sababu alikuwa amesikia habari za kuugua na kupona kwake.
2 Hesigaia da amo sia: na masu dunu hahawane aowai, ea gagui liligi huluane ilima olelei. E da ea silifa, gouli, gabusiga: manoma, ha: i manu hidasu liligi amola ea gegesu liligi huluane ilima olelei. E da mae wamolegele, ea liligi huluanedafa ea legesu diasu amola ea soge ganodini dialu, amo ilima olelei.
Hezekia akawapokea wale wajumbe kwa furaha na kuwaonyesha vitu vile vilivyokuwa katika ghala zake: yaani fedha, dhahabu, vikolezo na mafuta safi, ghala la silaha lote, na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hapakuwa na kitu chochote katika jumba lake la kifalme au katika ufalme wake wote ambacho Hezekia hakuwaonyesha.
3 Amalalu, balofede dunu Aisaia da hina bagade Hesigaiama asili, ema amane adole ba: i, “Amo dunu da habidili misibela: ? Amola ilia da dima adi adole ba: bela: ?” Hesigaia da bu adole i, “Ilia da soge sedagadafa amo Ba: bilone soge amoga misi.”
Ndipo nabii Isaya akaenda kwa Mfalme Hezekia na kumuuliza, “Watu hao walisema nini, na wametoka wapi?” Hezekia akamjibu, “Wametoka nchi ya mbali. Walikuja kwangu kutoka Babeli.”
4 Aisaia da bu adole ba: i, “Ilia da hina bagade ea diasuga adi ba: bela: ?” Hesigaia da bu adole I, “Ilia da liligi huluane ba: i dagoi. Na liligi lelegesu diasu ganodini liligi huluanedafa na da ilima olei dagoi.”
Nabii akauliza, “Waliona nini katika jumba lako la kifalme?” Hezekia akajibu, “Waliona kila kitu katika jumba langu la kifalme. Hakuna kitu chochote katika hazina yangu ambacho sikuwaonyesha.”
5 Amalalu, Aisaia da hina bagade amoma amane sia: i, “Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa,
Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote:
6 “Eso da misunu amoga liligi huluane dia diasu ganodini, liligi huluane dia musa: fi da gagadoi amola waha lai liligi, amo huluane da Ba: bilone sogega gaguli asi dagoi ba: mu. Liligi afae dialebe da hame ba: mu.
Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema Bwana.
7 Digaga fi mogili ilia da afugili asili, ilia gulusu danamu amola ilia da Ba: bilone hina bagade ea diasu ganodini, udigili hawa: hamosu dunu ba: mu.”
Nao baadhi ya wazao wako, nyama yako na damu yako mwenyewe watakaozaliwa kwako, watachukuliwa mbali, nao watakuwa matowashi katika jumba la mfalme wa Babeli.”
8 Hina bagade Hesigaia da amo sia: da ea esalebe eso amoga, e da olofosu amola gaga: su hou ba: mu, amane dawa: i. Amaiba: le, e da amane sia: i, “Hina Gode Ea sia: ne iasu amo di da nama i, amo da noga: i.”
Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la Bwana ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Patakuwepo amani na usalama wakati wa uhai wangu.”

< Aisaia 39 >