< Aisaia 34 >
1 Fifi asi gala dunu huluane! Misa! Osobo bagade liligi huluane amola dunu huluane amo ganodini esala! Misa amola nabima!
Njooni karibu, enyi mataifa, nanyi msikilize; sikilizeni kwa makini, enyi kabila za watu! Dunia na isikie, navyo vyote vilivyo ndani yake, ulimwengu na vyote vitokavyo ndani yake!
2 Hina Gode da fifi asi gala huluane, amola ilia dadi gagui gilisisu huluane ilima ougi gala. E da ilima fofada: nanu, ili gugunufinisimusa: ilegei dagoi.
Bwana ameyakasirikia mataifa yote; ghadhabu yake ni juu ya majeshi yao yote. Atawaangamiza kabisa, atawatia mikononi mwa wachinjaji.
3 Ilia bogoi da: i hodo da mae uli dogone, udigili dasama: ne amola gaha nabima: ne dialebe ba: mu. Amola goumi da maga: mega ulasi dagoi ba: mu.
Waliouawa watatupwa nje, maiti zao zitatoa uvundo, milima itatota kwa damu zao.
4 Eso amola oubi amola gasumuni da goudane, osobo su agoane ba: mu. Mu amola da meloa bioi defele, bioi dagoi ba: mu. Gasumuni amola da figi o waini efe lubi dabe agoane sa: imu.
Nyota zote za mbinguni zitayeyuka na anga litasokotwa kama kitabu, jeshi lote la angani litaanguka kama majani yaliyonyauka kutoka kwenye mzabibu, kama tini iliyonyauka kutoka kwenye mtini.
5 Hina Gode da gegemusa: , Hebene ganodini Ea gobihei momagei dagoi. E da Idome dunu ilima fofada: nanu, ili wadela: musa: ilegei dagoi. E da Ea gobiheiga amo dunu famu.
Upanga wangu umekunywa na kushiba huko mbinguni, tazama, unashuka katika hukumu juu ya Edomu, wale watu ambao nimeshawahukumu, kuwaangamiza kabisa.
6 Ea gobihei, da gobele salasu sibi mano amola goudi, ilia sefe amola maga: me agoane, Idome dunu ilia sefe amola maga: me amoga dedeboi dagoi ba: mu. Hina Gode da Bosela moilai bai bagade ganodini, amo gobele salasu hamomu. E da Idome soge ganodini, fane legesu hou bagadedafa hamomu.
Upanga wa Bwana umeoga katika damu, umefunikwa na mafuta ya nyama: damu ya kondoo na mbuzi, mafuta kutoka figo za kondoo dume. Kwa maana Bwana ana dhabihu huko Bosra, na machinjo makuu huko Edomu.
7 Idome dunu da sigua bulamagau, amola bulamagau gawali mano agoane dafane, osobo da maga: me amola sefe amoga dedeboi dagoi ba: mu.
Nyati wataanguka pamoja nao, ndama waume na mafahali wakubwa. Nchi yao italowana kwa damu, nayo mavumbi yataloa mafuta ya nyama.
8 Amo esoga, Hina Gode da Saione gaga: mu, amola ea ha lai dunu ilima dabe imunu.
Kwa sababu Bwana anayo siku ya kulipiza kisasi, mwaka wa malipo, siku ya kushindania shauri la Sayuni.
9 Idome soge hano da afadenene, bunumai edele agoane ba: mu amola osobo da bu “salafa” agoane hamomu. Soge huluane da bunumai edele agoane laluga ulagimu.
Vijito vya Edomu vitageuka kuwa lami, mavumbi yake yatakuwa kiberiti kiunguzacho, nchi yake itakuwa lami iwakayo!
10 Hayoga amola gasia, amo soge da laluga nemu. Amola, mobi da mae fisili, eso huluane heda: lalumu. Soge da eso huluane wadela: lesi dagoi dialalalumu, amola amo ganodini, dunu da hamedafa lafiadalumu.
Haitazimishwa usiku wala mchana, moshi wake utapaa juu milele. Kutoka kizazi hadi kizazi itakuwa ukiwa, hakuna mtu yeyote atakayepita huko tena.
11 Gugunia amola ‘la: ifene’ sio fawane da amo soge ouligimu. Amola osobo bagade hame hahamoi esoga, amo soge da wadela: lesi agoane ba: i, amo defele Hina Gode da Idome soge bu wadela: lesimu.
Bundi wa jangwani na bundi mwenye sauti nyembamba wataimiliki, bundi wakubwa na kunguru wataweka viota humo. Mungu atanyoosha juu ya Edomu kamba ya kupimia ya machafuko matupu, na timazi ya ukiwa.
12 Hina bagade amo soge ouligima: ne da hame ba: mu. Ouligisu dunu huluane da asi dagoi ba: mu.
Watu wake wa kuheshimiwa hawatakuwa na chochote kitakachoitwa ufalme huko, nao wakuu wao wote watatoweka.
13 Aya: gaga: nomei amola gagalobo fawane da hina bagade ilia diasu ganodini, amola gagoi moilai amo ganodini heda: mu. Sigua wa: me amola gugunia fawane amo ganodini esalebe ba: mu.
Miiba itaenea katika ngome za ndani, viwawi na michongoma itaota kwenye ngome zake. Itakuwa maskani ya mbweha, makao ya bundi.
14 Sigua ohe fi da amo ganodini ahoanebe ba: mu, amola wadela: i a: silibu da ilila: wele sia: nanebe nabimu. Amola wadela: i uda a: silibu (yagono) da amoga helefima: ne misunu.
Viumbe vya jangwani vitakutana na fisi, nao mbuzi-mwitu watalia wakiitana; huko viumbe vya usiku vitastarehe pia na kujitafutia mahali pa kupumzika.
15 Gugunia da ilia bibi gaguli, oso legele, mano lalelegele, ilia mano ouligimu. Buhiba ilia da amogawi afae afae misini, gilisimu.
Bundi wataweka viota huko na kutaga mayai, atayaangua na kutunza makinda yake chini ya uvuli wa mabawa yake; pia huko vipanga watakusanyika, kila mmoja na mwenzi wake.
16 Hina Gode Ea buga amo ganodini idima. Amo esalebe ohe amola sio huluane esalebe ba: mu. Ilia afae afae da udigili hame esalumu be gawali da aseme lale fimu. Hina Gode da sia: i dagoi. Hisu da ela gilisimu.
Angalieni katika gombo la Bwana na msome: Hakuna hata mmoja katika hawa atakayekosekana, hakuna hata mmoja atakayemkosa mwenzi wake. Kwa kuwa ni kinywa chake Mungu kimeagiza, na Roho wake atawakusanya pamoja.
17 Hina Gode Hisu da soge fifili, ilima defele imunu. Ilia da mae fisili amo soge ganodini esalumu. Amo da dunu hame be ilia sogedafa dialalalumu.
Huwagawia sehemu zao, mkono wake huwagawanyia kwa kipimo. Wataimiliki hata milele na kuishi humo kutoka kizazi hadi kizazi.