< Aisaia 30 >
1 Hina Gode da sia: i dagoi, “Yuda fi ilia ouligisu dunu da wadela: lesi dagoi ba: mu. Bai ilia da Nama odoga: sa. Ilia da ilila: ilegesu amo fa: no bobogesa be Na da amo ilegesu hame hamoi. Ilia da gousa: su amo Na da higa: i hodosa, amo hamosa amola wadela: i hou mae fisili hamonana.
Ole wa watoto waasi, ''Hili ni tamko la Yahwe. ''Wataweka mipango, lakini haitatoka kwangu; wataungana na mataifa mengine, lakini hawakuongozwa na Roho wangu, hivyo wanongeza dhambi baada ya dhambi.
2 Ilia da Na olelesu mae adole ba: le, udigili Idibidi fi ilia fidisu lala ahoa. Ilia da Idibidi ili gaga: musa: hanaiba: le, Idibidi hina bagade ea hou dafawaneyale dawa: sa.
Wanapanga kushuka chini Misri, lakini hawajaniomba niwaelekeze. Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao kuchukua kimbilio katika kivuli cha Misri.
3 Be Idibidi hina bagade da gasa hameba: le, ilia gaga: mu hamedei agoane ba: mu. Amola Idibidi fi ilia gaga: su hou da wadela: lesisu liligi agoane ba: mu.
Hivyo basi ulinzi wa Farao utakuwa aibu yenu, na kimbilio lenu katika kivuli cha Misri, kitakuwa udhalilishaji wenu,
4 Yuda dunu ilia alofesu sia: ne iasu dunu, ilia da Idibidi moilai bai bagade amo Soua: ne amola Ha: inisi amoga doaga: i dagoi.
japo wakuu wako Sayuni, na wajumbe wao wamekuja Hanesi.
5 Be Yuda fi dunu da hohonosu fi (Idibidi) amo ilia dafawaneyale dawa: beba: le, se fawane nabimu. Bai ilia da fidisu hanai be Idibidi da ili hame fidimu.
Watahaibika kwa sababu ya watu ambao hawawezi kuwasaidia, wala kuwa na faida, lakini ni aibu, na fedheha.
6 Gode da ohe fi hafoga: i soge gagoe (south) amoga esala, ilia hou agoane olelesa, “Alofele iasu dunu da ha lai soge amo ganodini ahoa. Amo soge ganodini, laione wa: me amola bogosu gasonasu saya: be amola hagili ahoasu hanome (dala: gone) da esala. Ilia dougi amola ga: mele amo da: iya muni bagade iasu liligi, dunu fi amo da ilima fidisu ima: ne sia: mu da hamedei, ilima ima: ne gaguli ahoa.
Tamko kuhusu mnyama wa Negevi: kupitia kwenye mlango wa mateso na hatari, wa simba jike na simba dume, nyoka na nyoka wa moto aneyepaa, wamebeba utajiri wao kwenye mgongo wa punda, na hazina yao katika mabega ya ngamia, kwa watu ambao hawana msaada kwao.
7 Idibidi fi ilia fidima: ne iasu da hamedei liligi. Amaiba: le, na da Idibidi amoma “Hamedei Dala: gone” dio asuli dagoi.
Maana msaada Misri hauna maana; hivyo basi nimemwita Rahabu, aliyekaa bado.
8 God da nama na da Isala: ili dunu ilia hou buga ganodini dedema: ne sia: i. Bai ilia wadela: i hou dedei dagoi, amo da dialoma: ne E sia: i.
Sasa nenda, andika hili mbele yao juu ya meza, na uyaandike katika kitabu, iliyaifadhiwe kwa mda mrefu kama ushuhuda.
9 Ilia da mae fisili, Godema odoga: sa, amola ogogosa, amola Hina Gode Ea olelesu hame naba, agoane hamonana.
Maana ni watu waasi, watoto waongo, watoto ambao hawaskilizi maelekezo ya Yahwe.
10 Ilia balofede dunu ilima ouiya: ma: ne sia: sa. Ilia da amane sia: sa, “Moloidafa hou amo ninima mae olelema. Ninia ge noga: ma: ne, ninia nabimu hanai liligi fawane ninima olelema. Nini waha hanai dawa: i liligi amo fawane lalegagumu.
Wanawambia waonaji, ''msiangalie; na kwa manabii, ''msitabiri yaliyoyakweli kwetu; zungumza maneno ya kujipendeza kwetu, tabiri udanganyifu. Geukeni katika njia,
11 Gasigama! Ninia logo mae ga: ma! Ninia da dilia hadigi Isala: ili Gode Ea hou nabimu higa: i gala mabu.”
ondokeni kwenye njia; maana Mtakatifu wa Israeli amesitisha kuongea mbele ya uso wetu.
12 Be hadigi Isala: ili Gode da amane sia: sa, “Dilia da higale Na sia: hame naba. Dilia da gegesu amola ogogosu fawane hamosa.
Hivyo basi mtakatifu wa Israeli asema, ''Kwa sababu umekataa maneno haya na kujifunza ukandamizaji na udanganyifu,
13 Dilia da wadela: i hou hamosa. Dilia da gagoi dobea gado gagula heda: i amoga da goudagagala: i agoane. Dilia da mugului dagoi ba: mu.
hivyo dhambi hii itakuwa kwenu kama kitu kilichovunjika tayari kwa kuanguka, kama kitu katika ukuta mrefu ambao anguko lake linakaribia, papo kwa hapo.''
14 Dilia da ofodo osoboga hamoi goudane fifi fonobahadi hamoiba: le, amoga nasubu gasa: le gadomu o hano dimu da hamedei.
Atavunja kama chombo cha mfinyanyanzi kivunjavyo, hivyo basi hakitabaki kitu, hivyo hakuna vipande vyovyote vya kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, kuchota maji kisimani.
15 Ouligisudafa Hina Gode, Isala: ili fi ilia hadigi Gode, da Ea fi dunuma amane sia: sa, “Nama sinidigima! Bu Na hou gebe dafawaneyale dawa: ma! Amasea, dilia da bu gasa bagade amola gaga: i dagoi ba: mu.” Be dilia da Ema sinidigima: ne higasa.
Maana Bwana Yahwe, Mtakatifu wa Israeli asema hivi, ''Kwa kurudi na kwa kupumzika mtaokolewa; katika utulivu na imani itakuwa ni nguvu zako, Lakini hamkuwa tayari.
16 Be amomane dilia da hehenasu hosi da: iya fila heda: le, dilia ha lai ilima hobeamusa: dawa: lala. Dafawane! Dilia da hobeamu da defea. Dilia hosi ilia hehenasu hou da defele dilia dawa: lala. Be dili se bobogesu dunu ilia hehenasu da dilia hosi ilia hehenasu hou baligisa.
Amesema, 'Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojingiza watakuwa wepesi.
17 Dilia ha lai dunu afadafa ba: sea, dilia 1000 dunu da hobeamu. Amola dilia ha lai dunu biyale gala ba: sea, dilia huluanedafa da hobeamu. Dilia dadi gagui wa: i da wadela: lesili, hamedafa ba: mu. Eso gosa: gisu ea ifa bugi amo hisu fawane agolo da: iya bugi dialebe, amo fawane dialebe ba: mu.
Watu eflu moja watakimbia kwa kumuhofia mtu mmoja; kwa vitisho vya watu watano mtakimbia mpaka mtakuwa kama nguzu ya bendera iliyoko juu ya mlima, au kama bendera kwenye kilima.''
18 Be Hina Gode da dilima asigima: ne ouesala. E da eso huluane moloidafa hou fawane hamonanebeba: le, E da dilima asigima: ne momagesa. Nowa da Hina Gode Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le lalegagusia, da hahawane bagade.
Lakini Bwana anawasubiri ili awape neema yake, Hivyo basi yuko tayari kuwaonyesha huruma. Maana Yahwe na Mungu wa haki; Huwabarikiwe wale wanaomsubiri yeye.
19 Dilia dunu Yelusaleme amo ganodini esala da fa: no bu hame dimu. Hina Gode da asigisa amola dilia da Ema E fidima: ne wele sia: sea, E da nabimu.
Maana watu wataishi Sayuni, na Yerusalemu na hawatalia tena. Hakika atakuwa neema kwenu kwa sauti ya kilio chenu. Atakaposikia tu, atawajibu ninyi.
20 Hina Gode da dilima se ima: ne, gasa bagade bidi hamosu imunu, be E da dilima olelema: ne amo bidi hamosu ganodini dilima gilisili esalebe ba: mu. Amola E ba: ma: ne, dilia da bu hame hogoi helemu.
Kupitia Yahwe tunapata mkate wa shida na maji ya mateso, hata sasa, mwalimu wako hatajifisha mwenyewe tena, lakini utamuona mwalimu wako kwa macho yako mwenyewe.
21 Dilia logoga ahoasea, udigili ahoabeba: le dilia logo fisili lobodafa o lobo fofadi amoga ahoasea, dilia da dilia baligiga Ea sia: amane nabimu, “Logo da goea! Dilia amo ganodini masa!”
Masikio yako yatasikia maneno yanayosemwa nyuma, Hii ndio njia, pitia hii, ''utakapogeuka upande wa kulia au utakageuka upande wa kushoto.
22 Dilia da dilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi (amo da silifa amola gouli amoga legei) amo lale amola dilia da ledo liligi galagasa, amo defele galadigimu. Dilia da amane sia: mu, “Ninia bu ba: mu higa: i gala mabu.”
Mtakinajisi kifuniko chenu mlichokiweka juu ya pesa na dhahabu na kukitupa. Mtakitupa mbali kama hedhi kali, '''utawambia wao, ''Ondokeni hapa.''
23 Dilia da hawa: bugisia, Hina Gode amo heda: ma: ne, gibu imunu. Amola dilia da ha: i manu bagade faimu amola dilia bulamagau da gisi ha: i manu bagade ba: mu.
Naye atatoa mvua kwanye mbegu zenu mtakapopanda kwenye aridhi, na mkate utakuwa kwa wingi kutoka kwenye aridhi na mazao yatazaa kwa wingi. Katika siku hizo ng'ombe zako zitachungwa katika eneo kubwa.
24 Bulamagau amola dougi amo da dilia ifabi osobo gidinasa, amo da ha: i manu noga: idafa bagadewane manu ba: mu.
Ng'ombe na punda, wanaolima kwenye aridhi, watakula chakula cha majira kilicho tawnywa kwa koleo na uma.
25 Eso amoga dilia ha lai ilia moilai gagili sali amo dilia suguli lasea, amola ilia fi dunu medole lelegesea, amo esoga hano da goumi huluane amola agolo huluane amoga yogosa: imu.
Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
26 Oubi da eso ea hadigi defele diga: mu. Amola eso ea hadigi da nabuane agoane bagamu. Eso afae amoga, eso ea hadigi da eso nabuane gala ilia hadigi defele ba: mu. Hina Gode da Ea fi ilima fa: gini i. Be eso amoga, amo fofa: gi da sosone amola uhinisini hamoi dagoi ba: mu.
Mwanga wa mwenzi utakuwa kama mwanga wa jua, na mwanga wa jua utang'aa mara saba, kama mwanga wa siku saba. Yahwe atakapofunga kuvujwa kwa watu wake na kuyaponya majeraha waliyoyapata.
27 Hina Gode Ea gasa bagade hou amola Ea hadigi da sedagawane ba: sa. Lalu amola lalu mobi da Ea ougi olelesa. E sia: sea, Ea sia: da laluga nesa agoane ba: sa.
jina la Yahwe limekuja kutoka sehemu ya mbali, Linawaka kwa hasira yake na katika moshi mnene. Midomo yake imejaa hasira, na lugha yake nia kama moto unaoangamiza.
28 E bisimusa: , E da fo asuna ahoa. Amo da hano heda: le, liligi huluane gaguli ahoa, agoane ba: sa. Amo da fifi asi gala gaguli ahoasea, wadela: lesisa. Amola ilia wadela: i hamomusa: ilegesu amo wadela: sa.
Punzi yake ni kama maji yaliyojaa yanayofika mpaka katikati ya shingo, kwa ajili kuchuja mataifa kwa kuhamasisha uharibifu. Pumzi yake ni mzabuni katika taya za watu wanowasababisha kutangatanga mbali.
29 Be dilia! Gode Ea fi dunu! Dilia da hahawane ba: mu amola dilia da sema lolo nabe gasia gesami hea: sa amo defele gesami hea: mu. Dunu ilia da Hina Gode (Isala: ili fi ilia Gaga: su dunu) amo Ea Debolo Diasuga faludi dunana ahoasea, hahawane ba: sa, amo defele dilia da hahawane ba: mu.
Utakuwa na wimbo kama usiku pale sherehe takatifu itakapofanyika, na moyo wenye furaha, pindi mmoja atakopo kwenda na katika mlima wa Yahwe, katika mwamba wa Israeli.
30 Hina Gode da dunu huluanedafa nabima: ne, Ea hadigi sia: sia: mu. Amola dunu huluanedafa dawa: ma: ne, Ea gasa bagade ougi hou olelemu. Lalu sawa: , gibu bagade, mugene amola gibu nawa: li agoane da ba: mu.
Yahwe atafanya mapambo ya sauti yake inayosikika na atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo na dhouba ya hasira yake na moto uwakao, pamoja na upepo mkubwa, mvua kubwa, na mvua ya mawe.
31 Asilia dunu da Hina Gode Ea sia: nabasea, amola Ea se iasu lasea, ilia da beda: i bagade ba: mu.
Maana kwa sauti ya Yahwe, Asiria itanyamazishwa; atahiaribu kwa fimbo.
32 Hina Gode da ili fananawane, Ea Fi dunu da gesami agoane ilibu dumu amola sani baidama dumu. Gode Hisu da Asilia dunu ilima gegenanumu.
Na kila adhabu iliyochaguliwa amechagua fimbo ambayo Yahwe ataiweka juu yao na wakisidikizwa na mziki wa kigoma na kinubi kama wataanzisha vita na kupgana nao.
33 Hemonega, Gode da Asilia hina bagade gobema: ne, lalu bagade momagei dagoi. Amo da lugudu amola ba: de bagade amola lalu ifa da legele, bagadewane didisa heda: i. Hina Gode Ea mifo amoga lalu sawa: misini amo lalu didilalebe ba: mu.
Maana sehemu ya kuchoma iliandaliwa toka zamani. kweli, imeandaliwa kwa mfalme, na Mungu amelifanya kuwa na kina na upana. Rundo liko tayari kwa moto na kuni za kutosha. Punzi ya Yahwe, ni kama mkondo kiberiti, na utawsha moto.