< Aisaia 28 >

1 Isala: ili hina bagade soge da wadela: lesi dagoi ba: mu. Falegai habuga da Isala: ili adini ba: i ouligisu ilia dialumaga biosa amola wadela: sa, amo defele Isala: ili ea hadigi da gebe gasisa. Isala: ili ouligisu dunu ilia gasa fi dialuma da gabusiga: agoane naba. Be ilisu da adini bagade ba: iba: le, bogoi agoane golai dialebe ba: sa.
Ole kwa lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efraimu, kwa ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake, uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba: kwa ule mji, kiburi cha wale walioshushwa na mvinyo!
2 Hina Gode da gasa bagade dunu ea gegesu liligi momagei dagoi, Isala: ili dunuma doagala: musa: ilegei dagoi. E da mugene isu amola gibula bobodobe amola hano nawa: li gasa bagade amo defele misini, Isala: ili soge hasanasimu.
Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo na nguvu. Kama dhoruba ya mvua ya mawe na upepo uharibuo, kama mvua inyeshayo kwa nguvu na mafuriko yashukayo, atakiangusha chini kwa nguvu.
3 Amasea, Isala: ili adini ba: i ouligisu dunu ilia gasa fi hou da enoga hasanasi dagoi ba: mu.
Lile taji la maua, kiburi cha walevi cha Efraimu, kitakanyagwa chini ya nyayo.
4 Amo gasa fi ouligisu dunu ilia hadigi da figi fage ilia faisu eso amoga degabo agoane yoi ba: sea hedolowane mai dagoiba: le, amo defele bu hamedafa ba: mu.
Lile ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake, uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba, litakuwa kama tini iliyoiva kabla ya mavuno: mara mtu aionapo, huichuma na kuila.
5 Eso da misunu amoga Hina Gode Bagadedafa da Ea fi dunu hame bogole esala, amoga E da hadigi habuga falegai amoga hamoi agoane ba: mu.
Katika siku ile, Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuwa taji la utukufu, taji zuri la maua kwa mabaki ya watu wake.
6 E da fofada: su dunu ilima moloidafa fofada: su hou olelemu, amola dadi gagui dunu amo da moilai bai bagade logo holei gaga: lala, ilima ilia mae beda: ma: ne, E da ilia dogo denesimu.
Atakuwa roho ya haki kwa yeye aketiye katika kiti cha hukumu, chanzo cha nguvu kwa wale wazuiao vita langoni.
7 Be balofede dunu amola gobele salasu dunu da adini bagade ba: iba: le, feloale ahoa. Ilia da adini amola waini hano bagade maiba: le, feloale emo udaguguli dafasa. Gode da balofede dunuma esala ba: su olelesa. Be ilia da adini bagade ba: iba: le, esala ba: su ea bai hame dawa: Gobele salasu dunu amola da adini bagade ba: iba: le, moloidafa fofada: su hou hame dawa:
Hawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo, wanayumbayumba kwa sababu ya kileo: Makuhani na manabii wanapepesuka kwa sababu ya kileo, wanachanganyikiwa kwa sababu ya mvinyo; wanapepesuka wanapoona maono, wanajikwaa wanapotoa maamuzi.
8 Amola ilia fisu fafai amo da isosu liligi amoga dedeboi dagoi, ledodafa gala.
Meza zote zimejawa na matapishi wala hakuna sehemu hata ndogo isiyokuwa na uchafu.
9 Ilia da na houba: le egasa. Ilia da amane sia: sa, “Amo dunu da abuliba: le nini bagade dawa: su dunuma olelesala? Ninia da ea sia: nabimu higa: i. Amo sia: da mano dudubu amo da ame ea dodo wahawane fisi, ilima olelesu fawane.
“Yeye anajaribu kumfundisha nani? Yeye anamwelezea nani ujumbe wake? Je, ni kwa watoto walioachishwa kunyonya? Je, ni wale ambao ndipo tu wametolewa matitini?
10 E da ninima sia: afae afae, fonobahadi, agoaiwane ninima olelemusa: dawa:”
Kwa maana ni: Amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; hapa kidogo, kule kidogo.”
11 Defea! Dilia da na sia: nabimu higasea, Gode da ga fi amo sia: hisu amoga dilima olelemu.
Sawa kabisa, kwa midomo migeni na kwa lugha ngeni, Mungu atasema na watu hawa,
12 E da helefisu amola olofosu dilima imunusa: sia: i. Be dilia da Ea sia: hame nabi.
wale ambao aliwaambia, “Hapa ni mahali pa kupumzika, waliochoka na wapumzike,” na, “Hapa ni mahali pa mapumziko,” lakini hawakutaka kusikiliza.
13 Amaiba: le, Hina Gode da sia: afae afae, fonobahadi agoane dilima olelemu. Amasea, dilia da afae afae ahoananu, dilia da emo udagugudumu. Dilia da fa: gini, saniga sa: i dagole, se iasu diasu hamosu dunu ba: mu.
Hivyo basi, neno la Bwana kwao litakuwa: Amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni, hapa kidogo, kule kidogo: ili waende na kuanguka chali, wakijeruhiwa, wakinaswa na kukamatwa.
14 Amaiba: le, dili gasa fi ouligisu dunu amo da wali Yelusaleme amo ganodini dunu fi ouligisa! Hina Gode Ea sia: dilima sia: i amo nabima!
Kwa hiyo sikieni neno la Bwana, enyi watu wenye dharau mnaotawala watu hawa wa Yerusalemu.
15 Dilia da hidale, dilia da bogosu hou amola bogoi dunu ilia esalebe soge amoga gousa: su hamoi dagoi sia: sa. Wadela: lesisu da osobo bagadega doaga: sea, dilima hame doaga: ma: ne, dilia giadofale dawa: sa. Bai ogogosu sia: amola ogogosu hou da dili gaga: mu, dilia dawa: (Sheol h7585)
Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti, tumefanya mapatano na kuzimu. Wakati pigo lifurikalo litakapopita, haliwezi kutugusa sisi, kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.” (Sheol h7585)
16 Be wali, Hina Gode Ouligisudafa da amane sia: sa, “Na da Saione sogega gasa bagade bai legemu. Amo da diasu igi bai gasa bagade. Amola nowa da amo dafawaneyale dawa: sea, lalegagusia, e da hame dafamu.
Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenyezi asemavyo: “Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni la thamani kwa ajili ya msingi thabiti. Yeye atumainiye kamwe hatatiwa hofu.
17 Fedege agoane, amo bai ea defei dawa: ma: ne ilegesu defei da moloidafa hou ba: mu, amola ea moloi lela defei ba: su da ida: iwane moloi hou.” Ogogosu hou amo dilia da fa: no bobogesa, amo da mugene isu amoga fabeba: le, mugululi asi dagoi ba: mu. Amola hano bagade defele heda: le, dilia gaga: su mini ahoasea, hamedafa ba: mu.
Nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia na uadilifu kuwa timazi; mvua ya mawe itafagia kimbilio lenu, huo uongo, nayo maji yatafurikia mahali penu pa kujificha.
18 Gousa: su hou amo dilia da bogosu hou amola bogosu soge amoga hamoi, amo da yolesi dagoi ba: mu. Amola gugunufinisisu se nabasu da dilima doaga: sea, dilia da amoga hasanasi dagoi ba: mu. (Sheol h7585)
Agano lenu na kifo litabatilishwa, patano lenu na kuzimu halitasimama. Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba, litawaangusha chini. (Sheol h7585)
19 Amo wadela: lesisu hou da mae fisili, hahabe eno, hahabe eno, gasia amola esosea, dilima doaga: mu. Gode da amoga dilima gebewane sia: ne iasea, dilia da bagadewane beda: mu.
Kila mara lijapo litawachukua, asubuhi baada ya asubuhi, wakati wa mchana na wakati wa usiku, litawakumba tangu mwanzo hadi mwisho.” Kuuelewa ujumbe huu utaleta hofu tupu.
20 Musa: malasu sia: defele, dilia da dunu e da golamusa: dawa: lala, be ea diaheda: su da dunumuni amola ifa abula sososu da fonoboiba: le, amoga sosone hamedei ba: sa, amola golamu da hamedei ba: sa.
Kitanda ni kifupi mno kujinyoosha juu yake, nguo ya kujifunikia ni nyembamba mno mtu hawezi kujifunikia.
21 Hina Gode Ea hou da dilima hisu agoane ba: mu, be E da Belasimi Goumi amola Gibione Fago amoga gegei, amo defele E da Hi hanai hamomusa: dilima gegemu. E da Ea wamolegei hawa: hamosu huluane hamone dagomu.
Bwana atainuka kama alivyofanya kwenye Mlima Perasimu, ataghadhibika kama alivyofanya katika Bonde la Gibeoni: ili kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu, ili kutimiza kazi yake, kazi yake ngeni.
22 Na da dilima sisasu iabeba: le, mae oufesega: ma. Dilia agoane hamosea, hobeale masa: ne logo baligili gasa bagade ba: mu. Hina Gode Bagadedafa da ninia soge huluane wadela: lesima: ne ilegei, amo na da nabi dagoi.
Sasa acheni dharau zenu, la sivyo minyororo yenu itakuwa mizito zaidi. Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, ameniambia habari za maangamizi yaliyoamriwa dhidi ya nchi yote.
23 Na sia: noga: le nabima! Na dilima olebe amo noga: le dawa: digima!
Sikilizeni msikie sauti yangu, tegeni masikio na msikie niyasemayo.
24 Ifabi ouligisu dunu e da ea ifabi osobo amo udigili mae fisili gidinalala, amola udigili momagelala, amo hame hamosa.
Wakati mkulima alimapo ili apande, je, hulima siku zote? Je, huendelea kubomoa ardhi na kusawazisha udongo?
25 Be e da osobo hahamonanu, hawa: amo ‘dili’ amola ‘gamini’ amola ‘widi’ amola ‘bali’ sagasa. Amola ea sogebi bega: , ea da eno gagoma agoane liligi bugisa.
Akiisha kusawazisha shamba, je, hatapanyi mbegu za bizari na kutawanya jira? Je, hapandi ngano katika sehemu yake, shayiri katika eneo lake, na nafaka nyingine katika shamba lake?
26 E da ea hawa: hamosu noga: le dawa: Bai Gode da ema olelebeba: le.
Mungu wake humwelekeza na kumfundisha njia iliyo sahihi.
27 ‘Dili’ amola ‘gamini’ oso amo dabimusa: , amo ha: i manu wadela: sa: besa: le, e da dioi bagade ifa fasu amoga hame dabasa. Be e da fonobahadi ifa, ha: i manu oso ea hou defele amoga fasa.
Iliki haipurwi kwa nyundo, wala gurudumu la gari halivingirishwi juu ya jira; iliki hupurwa kwa fimbo, na jira kwa ufito.
28 E da ‘widi’ ha: i manu lamusa: , udigili mae fisili dabasuga fabe hame hamosa. Dafawane! Bagade dawa: su ifabi ouligisu dunu, e da fedege agoane, hosi amola gaguli fula ahoasu ‘widi’ da: iya oule ahoasea, widi ha: i manu da hame goudai ba: mu.
Nafaka lazima isagwe ili kutengeneza mkate, kwa hiyo mtu haendelei kuipura daima. Ingawa huendesha magurudumu ya gari lake la kupuria juu yake, farasi wake hawasagi.
29 Amo bagade dawa: su hou huluane da Hina Gode Bagadedafa Ema maha. Gode Ea ilegesu da bagade dawa: su liligi, amola Ea ilegesu da eso huluane didili hamosa.
Haya yote pia hutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote, mwenye mashauri ya ajabu, na anayepita wote kwa hekima.

< Aisaia 28 >