< Aisaia 27 >

1 Amo esoga, fedege agoane, Hina Gode da E gobiheiga Lifaiada: ne (hanome waibulusa ahoabe agoane ahoa) amola hano wayabo bagade amo ganodini esalebe ohe fi ilima se imunu.
Katika siku ile, Bwana ataadhibu kwa upanga wake, upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu, ataadhibu Lewiathani yule nyoka apitaye kwa mwendo laini, Lewiathani yule nyoka mwenye kujipinda; atamuua joka huyo mkubwa sana wa baharini.
2 Amo esoga, Hina Gode da Ea hahawane waini efe sagai ea hou olelema: ne, amane sia: mu,
Katika siku ile: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa:
3 “Na da Na waini efe sagai amoma hano iaha. Dunu eno da mae wadela: lesima: ne, na da gasia amola esosea, sosodo aligisa.
Mimi, Bwana, ninalitunza, nalinyweshea maji mfululizo. Ninalichunga usiku na mchana ili mtu yeyote asije akalidhuru.
4 Na waini sagai amoma Na da ougi galu, be wali amo ougi Na da yolesi dagoi. Na da aya: gaga: nomei amola gagalobo amoga fawane gegemusa: ganiaba, Na da amo huluane nene dagola: loba.
Mimi sijakasirika. Licha pangekuwepo michongoma na miiba kunikabili! Ningepambana dhidi yake katika vita, ningeliichoma moto yote.
5 Be Na Fi ilia ha lai da Na gaga: su hanai galea, ilia da Nama olofosu hogoi helemu da defea.
Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio, wao na wafanye amani nami, naam, wafanye amani nami.”
6 Hobea, Isala: ili fi dunu (Ya: igobe egaga fi), da ifa agoane difi legemu amola dobea amola yebese legemu. Ilia fage legei da osobo bagade dedebomu.
Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi, Israeli atatoa chipukizi na kuchanua maua, naye atajaza ulimwengu wote kwa matunda.
7 Hina Gode da Isala: ili fi ilima se iasu. Be ilia ha lai dunu ilia se lasu da Isala: ili fi ilia se baligisu, amola ilia dunu bogoi idi da Isala: ili ilia bogoi idi baligisu.
Je, Bwana amempiga vile alivyowapiga wale waliompiga? Je, yeye ameuawa vile walivyouawa wale waliomuua yeye?
8 Hina Gode da Ea fi dunu se ima: ne, mugululi ga asunasi. Fedege agoane E da wadela: i gusugoe mabe fo amoga ili mugululi ga mini asi.
Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye: kwa mshindo wake mkali anamfukuza, kama siku ile uvumapo upepo wa mashariki.
9 Be Isala: ili dunu da hame lalegagui dunu ilia ‘oloda’ igi goudane, osobo su agoane hamosea, amola gabusiga: manoma gobesu ‘oloda’ amola ogogosu uda ‘gode’ amo A: sela ea dawa: digisu hahamosu liligi da wadela: lesi dagoi ba: sea, amo esoga fawane Hina Gode da ilia wadela: i hou gogolema: ne olofomu.
Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho, nalo hili litakuwa matunda ya utimilizo wa kuondolewa kwa dhambi yake: Wakati atakapoyafanya mawe yote ya madhabahu kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa vipande vipande, hakuna nguzo za Ashera au madhabahu za kufukizia uvumba zitakazobaki zimesimama.
10 Moilai, amo musa: gagoi gasa bagade amoga gaga: i da wali mugululi, wadela: lesi dagoi ba: sa. Wali, amo sogebiga, bulamagau amola sibi da gisi naha amola helefisa.
Mji ulio na boma umebaki ukiwa, makao yaliyotelekezwa, yaliyoachwa kama jangwa. Huko ndama hulisha, huko hujilaza, wanakwanyua matawi yake.
11 Ifa huluane ilia amoda da bioi amola fi dagoi ba: sa. Amola uda ilia da amo lalu ifa agoane gagadosa. Dunu huluane da Gode Ea hou dawa: hame laiba: le, ilia Hahamosu dunu Gode da ilima hame asigimu amola se imunu.
Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa nao wanawake huja na kuwasha navyo moto. Kwa kuwa hili ni taifa lisilo na ufahamu, kwa hiyo yeye aliyewafanya hana huruma juu yao, Muumba wao hawaonyeshi fadhili.
12 Amo esoga, Hina Gode da dunu da widi amola gisi afafasa, amo defele soge amo da Iufala: idisi Hano muni asili, Idibidi alalo legei amoga doaga: sa, amoga Ea fi dunu afae afae E da gilisimu.
Katika siku ile Bwana atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.
13 Amo eso da doaga: sea, dalabede dusu da Isala: ili dunu mugululi asi Asilia soge amola Idibidi soge ganodini esalu, amo buhagima: ne olelemu. Ilia da misini, sema agolo Yelusaleme amo ganodini diala, amoga ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadomu.
Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu Bwana katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.

< Aisaia 27 >