< Aisaia 26 >
1 Eso da misunu, amoga dunu da Yuda soge ganodini agoane gesami hea: mu, “Ninia moilai da gasa bagade. Bai Gode Hisu da ea gagoi gaga: lala!
Katika siku ile, wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda: Tuna mji ulio na nguvu, Mungu huufanya wokovu kuwa kuta zake na maboma yake.
2 Moilai logo ga: su doasili, Godema fa: no bobogesu fi, moloidafa hamosu dunu fi, amo golili masa: ne, doasima!
Fungua malango ili taifa lenye haki lipate kuingia, taifa lile lidumishalo imani.
3 Hina Gode! Nowa dunu da mae yolesili, Dia hou lalegaguli, Dima fa: no bobogesea, Di da ea dogo denesili, olofosu iaha. Bai e da Dima dafawaneyale dawa: sa.
Utamlinda katika amani kamilifu yeye ambaye moyo wake ni thabiti kwa sababu anakutumaini wewe.
4 Dilia! Hina Godema eso huluane dafawaneyale dawa: le fifi ahoanoma. E da mae fisili, nini gaga: mu.
Mtumaini Bwana milele, kwa kuwa Bwana, Bwana, ni Mwamba wa milele.
5 E da gasa fi dunu amo ligia gudui. E da gasa bagade moilai bai bagade amo ganodini ilia esalu amo wadela: lesili, ea gaga: su gagoi mugululi, osoba gisalugala: i.
Huwashusha wale wajikwezao, huushusha chini mji wenye kiburi, huushusha hadi ardhini na kuutupa chini mavumbini.
6 Dunu amo da amo gasa fi dunu amoga musa: banenesi dagoi, amo da gasa fi ilia moilaiga hasanasili, mugului moilaiga ososa: gisa.
Miguu huukanyaga chini, miguu ya hao walioonewa, hatua za hao maskini.
7 Hina Gode! Di da moloidafa hou hamosu dunu ilia logo ida: iwane fodosa. Ilia logo ahoasu da umidafa.
Mapito ya wenye haki yamenyooka. Ewe uliye Mwenye Haki, waisawazisha njia ya mtu mnyofu.
8 Ninia da Dia hanai amo fa: no bobogesa. Amola ninia dafawane esaloma: beyale dawa: lusu amola ninia hanai da Di fawane.
Naam, Bwana, tukienenda katika sheria zako, twakungojea wewe, jina lako na sifa zako ndizo shauku za mioyo yetu.
9 Gasia na da Dia hou bagadewane hanai gala. Hobea, Di da osobo bagade fifi asi gala huluane ilima fofada: sea, ilia da moloidafa fofada: su hou ba: mu.
Nafsi yangu yakutamani wakati wa usiku, wakati wa asubuhi roho yangu yakuonea shauku. Wakati hukumu zako zinapokuja juu ya dunia, watu wa ulimwengu hujifunza haki.
10 Dia da wadela: i hamosu dunu ilima asigidafa hou hamosa, be ilia da hou ida: iwane hamomu hame dawa: Amola amo soge ganodini, ilia da moloidafa dunu gilisibiba: le, amomane wadela: i hou hamosa, amola Dia hou ida: iwane amola gasa bagade amoma nodoma: ne higasa.
Ingawa neema yaonyeshwa kwa waovu, hawajifunzi haki, hata katika nchi ya unyofu huendelea kutenda mabaya wala hawazingatii utukufu wa Bwana.
11 Di da Dia ha lai dunu ilima se imunu, amo ilia da hame dawa: Hina Gode! Ilia da gogosiama: ne, ilima se ima. Se iasu Di da ilima ima: ne ilegei, amo ilima ima. Di da Dia Fidafa ilima asigisa, amo Dia ha lai dunuma olelema.
Ee Bwana, mkono wako umeinuliwa juu, lakini hawauoni. Wao na waone wivu wako kwa ajili ya watu wako tena waaibishwe, moto uliowekwa akiba kwa ajili ya adui zako na uwateketeze.
12 Hina Gode! Di da ninima imunuba: le, ninia da bagade gagui dunu agoane ba: mu. Ninia gagui liligi, amola ninia bidi lai huluane, da Dia hamobeba: le laha.
Bwana, unaamuru amani kwa ajili yetu, yale yote tuliyoweza kuyakamilisha ni wewe uliyetenda kwa ajili yetu.
13 Ninia Hina Gode! Eno dunu da ninima ouligisu galu. Be Di fawane da ninia Ouligisudafa.
Ee Bwana, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametutawala, lakini jina lako pekee ndilo tunaloliheshimu.
14 Be amo musa: ouligisu dunu da bogole, bu hame esalumu. Ilia a: silibu da bu hame wa: legadomu. Hina Gode! Di da ilima se ianu, ili wadela: lesi dagoi. Dunu huluane da ili bu hame dawa: mu.
Wao sasa wamekufa, wala hawako tena hai, roho za waliokufa hazitarudi tena. Uliwaadhibu na kuwaangamiza, umefuta kumbukumbu lao lote.
15 Hina Gode! Dia da ninia fi amo bu bagade hamoi. Dia da ninima soge eno ia dagoiba: le, ninia soge da bagade ba: sa. Amola amo hou ba: beba: le, osobo bagade dunu da Dima nodoi.
Umeliongeza hilo taifa, Ee Bwana, umeliongeza hilo taifa. Umejipatia utukufu kwa ajili yako mwenyewe, umepanua mipaka yote ya nchi.
16 Hina Gode! Di da Dia fi dunu ilima se iasu. Amola ilia da se nababeba: le, Dima wele sia: su.
Bwana, walikujia katika taabu yao, wewe ulipowarudi, waliweza kuomba kwa kunongʼona tu.
17 Hina Gode! Dia hamobeba: le, ninia da uda e da mano lalelegemu gadenesa, se nababeba: le wele sia: sa, amo defele ninia wele sia: sa.
Kama mwanamke mwenye mimba aliyekaribia kuzaa anavyogaagaa na kulia kwa ajili ya maumivu yake, ndivyo tulivyokuwa mbele zako, Ee Bwana.
18 Ninia da se bagade nabi, be liligi hame lalelegei. Ninia soge fi da hasalasu hou hame ba: i. Ninia hamobe ea bidi da hamedei ba: sa.
Tulikuwa na mimba, tuligaagaa kwa maumivu, lakini tulizaa upepo. Hatukuleta wokovu duniani, hatujazaa watu katika ulimwengu huu.
19 Ninia fi dunu bogoi da bu esalumu. Ilia bogoi da: i hodo da bu esalebe ba: mu. Dunu huluane bogoi uli dogoi ganodini golai dialu da nedigili, wa: legadole, hahawane gesami hea: mu. Oubi mogele lalu fadagagala: le nebe agoai da osobo bagade nasegagisa. Amo defele Hina Gode da hemone bogoi dunu ilima gaheabolo esalusu imunu.
Lakini wafu wenu wataishi, nayo miili yao itafufuka. Ninyi mnaokaa katika mavumbi, amkeni mkapige kelele kwa furaha. Umande wenu ni kama umande wa asubuhi, dunia itawazaa wafu wake.
20 Na fi dunu! Dilia diasu ganodini asili, gagili salima. Dilia wamoaligima. Hina Gode Ea ougi da dagosea fawane, bu misa.
Nendeni, watu wangu, ingieni vyumbani mwenu na mfunge milango nyuma yenu, jificheni kwa kitambo kidogo mpaka ghadhabu yake ipite.
21 Hina Gode da Ea Hebene esalebe amoga osobo bagade fifi asi gala dunu ilia wadela: i hou hamobeba: le, se bidi imunusa: manebe. Dunu huluane da fasu dunu amo da wamowane fane legesu hou hamoi, amo huluane dawa: mu. Amola osobo da fane legei dunu amo bu hame wamolegemu.
Tazama, Bwana anakuja kutoka makao yake ili kuwaadhibu watu wa dunia kwa ajili ya dhambi zao. Dunia itadhihirisha umwagaji damu juu yake, wala haitaendelea kuwaficha watu wake waliouawa.