< Aisaia 25 >

1 Hina Gode! Di da na Gode! Na da dima nodone dawa: mu amola Dia Dio amoma nodone sia: ne gadomu. Di da fofogadigisu hou hamoi dagoi. Amola mae giadofale, Dia hemonega hamomu ilegei amo Dia hamoi dagoi.
Yahwe wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe, nitalisifu jina lako; maana umetenda matendo ya ajabu, mambo uliyoyapanga toka zamaini, kwa uaminifu na ukamilifu.
2 Di da moilai bai bagade bagohame mugululi, amola ilia gaga: su gagoi wadela: lesi dagoi. Ninia ha lai hina bagade ilia diasu gagui, amo da wadela: lesi dagole, bu hamedafa ba: mu.
Maana umeufanya mji kuwa chungu, ngome ya mji, uharibifu na ngome ya wageni kuwa si mji.
3 Dunu amo da gasa bagade fifi asi gala ganodini esala da Dima nodomu. Nimi bagade hame asigi fifi asi gala ilia moilai bai bagade amo ganodini, ilia da Diba: le bagade beda: mu.
Hivyo basi watu wenye nguvu watakutukuza wewe; na mji waishio watu wasio na ukatili watakuogopa wewe.
4 Hame gagui amola gasa hame hahani dunu da bidi hamosu eso amoga, Dima hobeale, gaga: su noga: i ba: su. Isu bagade manoba, Di da ili gaga: sa. Amola eso bagade gia: sea, Dia da ilima ougi olelesa. Hame asigi nimi bagade dunu da anegagi eso isu mabe agoane eno dunu doagala: sa.
Maana umekuwa katika eneo salama kwa aliye masikni, makazi kwa mhitaji ambaye yuko kwenye dhiki- makazi kwa aliyeko kwenye dhoruba na kivuli kwa aliyeko kwenye jua. Pale punzi ya watu wakatili imekuwa kama dhoruba dhidi ya ukuta,
5 Amola ilia da esoi bagade agoane doagala: sa. Be Di, Hina Gode, da ninia ha lai dunu ouiya: lesi dagoi. Mu mobi da eso gia: i anegagisa, amo defele Di da hame asigi nimi bagade dunu ilia halasu ouiya: ma: ne hedofasa.
na jua kwenye aridhi kavu, na watazuia kelele za wageni, kama vile jua linavyozuiliwa na kivuli cha mawingu, hivyo basi nyimbo wasio na makosa zimejibiwa.
6 Guiguda: , Saione Goumiga, Hina Gode Bagadedafa da osobo bagade fifi asi gala huluane misa: ne, Lolo Nabe hahamomu. Amoga, ilia da ha: i manu noga: idafa amola waini hano ida: iwane gala manu.
Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
7 Guiguda: , E da hedolowane da: i dioi amo da fifi asi gala huluane mu mobi agoane dedebosa, amo fadegale fasimu.
Na katika mlima huu atauharibu mfuniko uliowekwa juu watu wote, na mtandao wa kusuka juu ya mataifa.
8 Ouligisudafa Hina Gode da bogosu hou amo bu mae ba: ma: ne gugunufinisimu. E da dunu huluane ilia disu si hano doga: mu. Ea fi dunu da osobo bagadega fifi asi gala huluane ganodini, gogosiane se nabasu amo nabaha. Be Hina Gode da amo gogosiasu fadegale fasimu. Hina Gode Hisu da sia: i dagoi.
Atameza kifo daima, na Bwana Yahwe atayafuta machozi katika nyuso zetu; na aibu ya watu wake itatupwa mbali kutoka duniani kote, maana Yahwe amesema hivyo.
9 Amo hou doaga: sea, dunu huluane da amane sia: mu, “E da ninia Gode! Ninia da Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le amola lalegaguiba: le, E da nini gaga: i dagoi. E da Hina Godedafa! Ninia da Ea hou lalegagui dagoi. Amaiba: le, ninia da wali hahawane bagade. Bai E da nini gaga: i dagoi.”
Yatazungumzwa katika siku hiyo, ''Huyu ni Mungu wetu; na tunayemngoja, na atatuokoa. Huyu ni Yahwe; tuliyemngoja, tutafurahia na kushangilia wokovu wake.''
10 Hina Gode da Saione Goumi fi amo gaga: mu. Be Moua: be fi da gisi bulamagau iga amo ganodini osa: gili banenesi dagoi ba: sa, amo defele ilia da osa: gili, banenesi dagoi ba: mu.
Maana katika mlima huu mkono wa Bwana utashuka; na Moabu itakanyagwakangwa chini kwenye eneo lake, na hata majani yatakanyagwakanyagwa chini katika shimo lililojaa mbolea.
11 Ilia da dasi sa: imusa: defele ilia lobo ilua: mu, be Gode da ili gogosiama: ne banenesimu, amola ilia lobo da gasa hameba: le, gasi gudumu.
Wataitawnya mikono yao katikati yao, kama vile mpiga mbizi atawanyavyo mikono yake wakati akipiga mbizi. Lakini Bwana atashusha kiburi chao chini japo kuwa na ujuzi katika mikono yao.
12 Moua: be fi da ilia gaga: su gagoi sedadewane gagula heda: i. Be amo huluane, Gode da mugululi wadela: lesili, ilia sa: ili osobo su amoga doaga: mu.
Na ataiangusha chini kwenye aridhi kuta za ngome, kwenye mavumbi.

< Aisaia 25 >