< Aisaia 24 >

1 Hina Gode da liligi huluane mugululi, osobo bagade da gugunufinisi dagoi ba: mu. E da soge bagade wadela: mu amola fifi asi gala dunu huluane afafane, sefasimu.
Angalia Yahwe anakaribia kuifanya dunia kuwa utupu, kuhiharibu, kuharibu uso wake, na kuwatawanya wenyeji wake.
2 Dunu huluane, amo gobele salasu dunu, dunudafa, udigili hawa: hamosu dunu, ilia ouligisu dunu, bidiga lama: ne dunu, fa: no dabema: ne muni iasu dunu, bu ima: ne muni lasu dunu, bagade gagui dunu amola hame gagui dunu, amo huluane da defele se lamu.
Itakuwa kama ilivyo kwa watu itakuwa hivyo hivyo kwa kuhani; na kwa watumishi na kwa bwana wake, na kwa mfanyakazi wa ndani itakuwa hivyo na kwa tajiri yake, ndivyo itakavyokuwa kwa anayeuza na anayenunua; ndivyo itakavyokwa kwa wenye kupata faida na wenye madeni, na wale wennye kupokea faida itakuwa hivyo hivyo kwa wale wenye kutoa faida.
3 Osobo bagade da goudane, wadela: lesi dagoi ba: mu. Hina Gode da amane sia: i dagoi, amola Ea sia: i liligi da hamoi dagoi ba: mu.
Dunia itaharibiwa kabisa na kufanjwa ukiwa; maana Yahwe amenena maneno hayo. Dunia imekauka kabisa na kunyauka,
4 Osobo da hafoga: sa, amola gisi amola ifa da biosa. Osobo bagade huluane da gasa hame agoane ba: sa. Osobo bagade amola mu da dasasa.
Dunia inazimia n kudhohofika. Watu maarufu wa duniani watapotezwa.
5 Osobo bagade fifi asi gala da osobo bagade ledo hamone wadela: lesi dagoi. Bai ilia Gode Ea Sema fi dagoi amola gousa: su amo Gode da eso huluane dialoma: ne hamoi, ilia da wadela: lesi dagoi.
Dunia inavutwa na watu wakao ndani yake kwa sababu wamepindisha sheria, wameibadili amri na wamevunja agano la milele.
6 Amaiba: le, Gode da osobo bagade amoma gagabusu aligi dagoi. Osobo bagade dunu, ilia wadela: i hamobeba: le, wali dabe laha. Wali bagahame esalebe ba: sa. Aya bagahamedafa esalebe ba: mu.
Hivyo basi laana inaitafuna nchi, na wenyeji wake wamekutwa na makosa. Wakaao duniani wanateketea, na watu wachache wameachwa.
7 Waini efe da biolala amola waini hano fonobahadi fawane gala. Dunu da musa: hahawane esalu da wali da: i dioiwane esalebe ba: sa.
Divai mpya imekauka, mizabibu imenyauka, na mioyo yote iliyochangamka inaugua.
8 Ilia ‘sani baidama’ amola ilibu dusu da ouiya: i dagoi.
Sauti ya furha ya kigoma inasimama, na kelele za wenye furaha zimekwisha, na furaha ya kinubi imesitishwa.
9 Waini hano nabeba: le, dunu ilia musa: hahawane gesami hame hea: su. Be wali waini hano da ilima hedai hame ba: sa.
Hawatakunjwa mvinyo tena na kuimba, bia chungu kwa wale wanokunywa.
10 Moilai amo ganodini, bidi hamosu fawane gala. Dunu da beda: iba: le, ilia diasu ganodini golili sa: ili, logo ga: sili, gagili sala.
Mji uliochafuka umeangushwa chini; kila nyumba imefungwa na hakuna kitu.
11 Waini hano da ebeleiba: le, dunu da logoga bagade halasa. Hahawane hou da fisi dagoi. Fedege agoane, hahawane hou da gadili sefasi dagoi.
Kuna kilio mtaani kwa sababu ya mvinyo; furaha yote imetiwa giza, furaha ya nchi imetoweka.
12 Moilai bai bagade da mugului dagoi amola ea logo ga: su da wadela: lesi dagoi.
Ndani ya mji kumebaki ukiwa, na lango limebolewa kwa uharibifu.
13 Amo hou da osobo bagade fifi asi gala huluanedafa amo ganodini ba: mu. Amo eso da ha: i manu gamisu eso da dagoi agoane ba: mu. Olife fage da olife ifa amoga fai dagoi amola waini fage amo waini efe amoga fai agoaiwane ba: mu.
Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa dunia yote mwiongoni mwa mataifa, pale mti wa mzabibu utakapopigwa, na waokotapo zabibu baada mavuno yake kuwa tayari.
14 Be nowa da mae bogole esalebe ba: sea, da hahawaneba: le gesami hea: mu. Dunu da eso dabe la: idi sogega esalea, da Hina Gode Ea gasa bagade hou olelemu.
Watanyanyua saut zao na kupiga keleleYahwe mwenye enzi, na utapaza sauti kutoka kwenye bahari.
15 Amola dunu da gusudili esalea, da Godema nodomu. Dunu amo da hano wayabo bagade amo ea bega: esala da Isala: ili ilia Hina Gode, Ema nodomu.
Hivyo basi mashariki mtukuze Yahwe, na katika kisiwa cha bahari tukuzeni jina la Yahwe, Mungu wa Israeli.
16 Osobo bagade ganodini, sedaga esalebe fi da moloidafa hamosu fi amo Isala: ili, ilima nodone sia: mu. Be na dafawane esaloma: beyale dawa: lusu da fisi dagoi. Na da: i da geloga: le, wadela: sa. Hohonosu dunu da hohonana, amola ilia da bu baligili agoane hohonana.
Kutoka umbali wa sehemu ya dunia tumesika nyimbo, ''Utukufu kwa watu wenye haki! Lakini nikasema, ''Nimepita mbali, Ole juu wangu! Wasaliti walshulika na wenye hila; ndio, wasaliti walishuhulika na wenye hila.''
17 Dunu huluane! Na sia: nabima! Beda: ma: ne liligi, amola sani amola sani uli dogoi da dili wadela: musa: dialebe.
Hofu, shimo, na mtego yako juu yako, wenyeji wa dunia.
18 Nowa da beda: ma: ne liligi amoga hobeale ahoasea, da sani uli dogoi amoga sa: imu. Amola nowa da ulidogoi amo ganodini hame dasea, da saniga sa: imu. Gibu bagadedafa, hano nawa: li agoane da muagado sa: imu. Osobo bagade ea bai da yagugumu.
Amekimbia maana sauti ya hofu itaanguka kwenye shimo, na anayekuja juu katikati ya shimo atanaswa na mtego. Madirisha ya mbinguni yatafunguliwa, na misingi ya dunia itatikisika.
19 Osobo bagade da fili, goudane gugunufinisimu.
Dunia itangamizwa kabisa, dunia itapasukia mbali; dunia itatatikisika vikali.
20 Osobo bagade da adini ba: i dunu defele, feloale masunu, amola diasu foga fabeba: le yagugusa, agoane yagugumu. Wadela: i hou da dioi bagadeba: le, osobo bagade banenesisa. Osobo bagade da dafane, bu hamedafa wa: legadomu.
Dunia itajikongoja kama mlevi na itachezacheza kurudi nyuma na mbele kama kibanda. Dhambi zao zitakuwa nzito juu yao na zitaanguka na hazitasimama tena.
21 Eso da misunu, amoga Hina Gode da wadela: i ouligisu a: silibu muagado esala, ilima se imunu. Amola E da osobo bagade ouligisu dunu ilima se imunu.
Itakuwa siku hiyo ambayo Yahwe ataliadhibu jeshi la aliye juu mahali pa juu, na falme za dunia katika dunia.
22 Gode da osobo bagade hina bagade dunu amo guba: le gilisili, ilia da se iasu diasu hamosu dunu uli dogoi ganodini gilisi agoane ba: mu. E da ili se iasu diasu ganodini salimu. Amasea, ilima dabe imunu eso da doaga: sea, E da ilima se imunu.
Watakusanyika pamoja, wafungwa katika shimo, na watafungw gerezani; na baada ya siku nying watadhibiwa.
23 Oubi da bu gasi agoane ba: mu, amola eso da hame diga: mu. Bai Hina Gode Bagade da Hinadafa esalumu. E da Yelusaleme amo ganodini, Saione Goumi da: iya Hinadafa esalumu. Amola Ea fi ouligisu dunu da Ea hadigi ba: mu.
Halafu Mwenzi utatiwa aibu na jua pia litatwa aibu, maana Yahwe wa majeshi atatawala katika mlima Sayuni na Yerusalemu, kabla ya wazee wake katika utukufu.

< Aisaia 24 >