< Aisaia 23 >

1 Amo sia: da Daia moilai bai bagade ea hou olelesa. Dilia dusagai ouligisu dunu hano wayabo bagadega ahoabe! Da: i dioiba: le, dinana huma! Dilia moilai bai bagade amo da wadela: lesi dagoi. Ea diasu amola ea dusagai ouligibi hano sogebi da wadela: lesi dagoi. Dilia da Saibalase asili, buhagisia, amo sia: nabimu.
Tamko kuhusu Tiro, Ombolezeni, enyi kondoo wa Tarishishi;
2 Dilia Saidone liligi ligisisu diasu ouligisu dunu! Didigia: ma!
maana hakuna nyumba wala bandari; kutoka katika nchi ya Kyprusi wamefunuliwa hilo.
3 Dilia da hano wayabo bagade degele, gagoma amo da Idibidi sogega fai amo bidi lamusa: , amola fifi asi gala ilima bidi lasu hamomusa: , dunu asunasi dagoi.
Na juu ya maji mengi ni nafaka za shiho, mazao ya Nile, na uzalishaji wao; mlikuwa wafanya biashara wa kimataifa.
4 Saidone moilai bai bagade fi! Dilia da gogosia: i dagoi. Hano wayabo bagade amola wayabo lugudu bagadedafa da di da elea mano hame sia: sa. Ilia da amane sia: sa, “Na da mano hame. Na da dunu mano amola uda mano hame fofosu.”
Kuwa na aibu, Sidoni; maana bahari imenena, mkuu wa bahari. Amesema, ''Sijafanya kazi wala kuzaa wala kukuza vijana wadogo wala kuwalea mabinti.
5 Dunu huluane, amola Idibidi dunu da Daia da wadela: lesi dagoi nabasea, fofogadigimu.
''Pale taarifa ilipofika Misri, watauzunika kuhusu Tire.
6 Dilia Founisia soge fi dunu! Se nababeba: le, huma! Siba: ini sogega hobeale masa: ne, logo hogoi helema.
Katiza juu ya Tarshishi; Ole wenu, enyi wakazi wa pwani.
7 Daia da hemonega hamone, hahawane ba: su. Be wali hahawane hame ba: sa. Daia moilai bai bagade fi da dunu amo hano wayabo degele, gaheabolo fi sogebi hahamoma: ne, asunasi. Be wali Daia da amo musa: gasa bagade amola hahawane moilai agoane hame ba: sa.
Je hili limeshawahi kuwatokea, mji wenye furaha, ambao kwa asili yake umetoka katika kipindi cha kale. Ambapo miguu yake imempeleka mbali kuishi kwenye maeneo ya ugenini?
8 Daia da musa: hina bagade ilia moilai. Amogawi esala hina bagade amoma osobo bagade fifi asi gala da baligiliwane nodosu. Be nowa da amo moilai noga: idafa amo wadela: musa: ilegebala: ?
Ni nani aliyepanga haya dhidi ya Tire, mtoa mataji, ambao wafanyabiashara wake ni wakuu, ambao wafanyabiashara ni watu wa kuheshimika duniani?
9 Hina Gode Bagadedafa da amo moilai wadela: musa: ilegei dagoi. Ilia da ilila: hamoiba: le, gasa fi hamosu. Amaiba: le, Hina Gode da amo gasa fi hou hedofamusa: , amola ilia dunu mimogo ilima eno dunu da nodosu amo fofonobomusa: , ilia moilai bai bagade wadela: musa: ilegei.
Yahwe wa majeshi amepanga kuharibu kiburi chake na utukufu wake, na kuwahaibisha waheshimiwa wote wa dunia.
10 Dilia Siba: ini soge (amoga Founisia dunu da fimusa: asi) amo fi dunu dilia! Ifabi hamomusa: masa! Wali da dili gaga: ma: ne, dunu eno hame esala.
Lima katika shamba lako, kama mtu alimavyo Nile, ewe binti Tarishishi. Maana hakuna tena eneo la soko huko Tite.
11 Hina Gode da Ea lobo hano wayabo bagade amoga gadodili ilua: le, hina bagade ilia fi wadela: lesi dagoi. Ea sia: beba: le, Founisia bidi lasu moilai bai bagade bagohame da wadela: lesi.
Yahwe amenyoosha mkono wake juu ya bahari, na ametingisha falme; na amepewa amri juu ya Fonensia, kuziharibu ngome.
12 Saidone moilai bai bagade fi! Dilia hahawane hou da ebelei dagoi amola dilia fi dunu da banenesi dagoi ba: sa. Amabela: ? Ilia da Saibalase sogega hobeama: bela: ? Be amogawi ilia da gaga: su hame ba: mu.
Amesema, ''Hamtofurahia tena, binti bikira wa Sidoni uliyenyanyasika; nyanyuka, pitia Kyprusi; lakini wala hapatakuwa na punziko.''
13 (Asilia dunu hame be Ba: bilone dunu da sigua ohe fi Daia moilai bai bagade amo hasanasimusa: logo doasi dagoi. Ba: bilone dunu ilisu da moilai doagala: musa: diasu sedade gagula heda: i, amola Daia ea gaga: su gagoi mugululi, moilai bai bagade wadela: lesi dagoi.)
Tazama nchi ya Wakaldayo. Hawa watu wamesitisha kuishi pale; Waasiria wamelifanya jangwa la wanyama pori. Wameizingira minara; wameliharibu eneo lao; wamelifanya kuwa chungu cha uharibifu.
14 Dilia dusagai ouligisu dunu hano wayabo bagadega bila ahoabe! Se nababeba: le, huma! Moilai noga: i amo da dialoma: ne dilia da dafawaneyale dawa: i, amo da mugululi, wadela: lesi dagoi.
Omboleza ewe kondoo wa Tarishishi; maana kimbilio lako limeharibiwa.
15 Eso da misunu, amoga Daia da gogolei dagoi ba: mu. Ode 70 amoga, (amo da hina bagade ea esalebe ode idi defele) dunu eno da Daia amo hame dawa: mu. Be ode 70 gidigisia, Daia da hina: da: i bidi lasu uda, amo ea hou da gesami amo ganodini dedei, amo defele ba: mu.
Katika siku hiyo, Tire itasaulika kwa miaka sabini, kama siku za mfalme. Baada ya miaka sabini kuisha huko Tire kutatokea kitu kama wimbo wa malaya.
16 Gesami da agoane hea: sa: - “Di hame gagui hina: da: i bidi lasu uda! Dia sani baidama lale, moilai amo ganodini laloma. Hedema! Amola dia gesami amo dunu bu dima misa: ne bu hea: ma.”
Chukua kinubi, nenda zunguka mji, mmewasahau malaya; cheza kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi, ili uweze kukumbuka.
17 Amo ode 70 gidigisia, Daia da ea musa: hawa: hamosu amoma buhagima: ne, Hina Gode da logo doasimu. Osobo bagade fifi asi gala huluane da ea bidi lasu liligi lamu.
Itatokea baada ya miaka sabini, Yahwe ataisaidia Tire, na wataanza kututafuta pesa tena kwa kufanya kazi ya umalaya, na atafanya utumishi wake katika falme za dunia.
18 Ea bidi lasu hamobeba: le, muni lasea, amo muni e da Hina Godema ima: ne momodale ligiagamu. E da amo muni udigili hame ligisimu, be nowa da Hina Godema nodone sia: ne gadosa da amo muni amoga ilia ha: i manu amola abula bidi lamu.
Faida yake na mapato yake yatatengwa kwa ajili ya Yahwe. Hayatahifadhiwa wala hayatakuwa na hazina, maana faida yao watapewa wale wanoishi mdhebauni mwa Yahwe na yatatumika kuwasambazia chakula cha kutosha na kupata mavazi yenye viwango bora.

< Aisaia 23 >