< Aisaia 15 >

1 Moua: be fi ea hou olelema: ne, sia: da amane gala. A moilai bai bagade amola Gio moilai bai bagade da gasi afadafa fawane ganodini, gugunufinisi dagoi ba: sa. Amola Moua: be soge ganodini, sia: da hame naba. Ouiya: su fawane naba.
Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
2 Daibone moilai bai bagade dunu da agoloba: le heda: le, ilia ogogosu ‘gode’ ea nodosu gagui liligi amoga dinana. Nibou moilai bai bagade amola Mediba moilai da wadela: lesi dagoiba: le, Moua: be dunu da didigia: lala. Ilia bagade da: i dioiba: le, ilia dialuma amola mayabo waga: i dagoi.
Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
3 Dunu huluane moilai logo ganodini da wadela: i eboboi abula amoga ga: i dagoi ba: sa. Moilai gagoi ganodini, amola diasu gadodili esalebe dunu huluane da dinanawane wele sia: sa.
Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
4 Hesiabone amola Isala: ili dunu da se nabawane wele sia: sa. Amola Ya: iha: se dunu da ilia wele sia: su amo sedagaga naba. Dadi gagui dunu amolawane da yagugusa. Ilia da bagadewane beda: i.
Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
5 Amo hou da Moua: be fi ilima doaga: beba: le, na da ilima dawa: lala. Dunu da hobeale, Soue moilai bai bagade amola Egalade Selisiade moilai bai bagadega doaga: i. Mogili da Liuhidi doaga: musa: diginiwane logoga ahoa. Mogili da Holona: ime moilaiga doaga: musa: diginiwane hobeasa.
Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
6 Nimilimi hano da hafoga: i dagoi. Gisi ea bega: dialebe da bioi dagoi, amola golofoyei liligi da hamedafa ba: sa.
Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
7 Dunu mogili ilia liligi huluane gaguli Yodima Ifa Fago degele, hobeale masunu logo hogolala.
Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
8 Moua: be soge alalo legei huluane amoga dunu da gilisili bagadewane dinana. Egela: ime moilai amola Bieilimi moilaiga didigia: su bagade naba.
Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
9 Daibone moilai bai bagadega hano da maga: mega yoi hamoi dagoi. Amola Gode da amo dunu ilima bu baligili se eno imunusa: dawa: lala. Dafawane! Moua: be dunu huluane ilia soge ganodini esalebe ba: sa, amo huluane da medole legei dagoi ba: mu.
Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.

< Aisaia 15 >