< Aisaia 12 >
1 Amo esoga, Isala: ili dunu da gesami hea: mu, amane, “Hina Gode! Na Dima nodosa. Di da nama ougi galu. Be wali Dia da ougi yolesili, na dogo denesilala.
Siku hiyo utasema, ''Nitakushukuru wewe, Yahwe. Japo ulikuwa na hasira na mimi, laana yako imeondoka mbali, na umenifariji mimi,
2 Gode da na Gaga: su dunu. Na da mae beda: ne, Ea hou dafawaneyale dawa: le, lalegagumu. Hina Gode da gasa bagade hou nama iaha. E da na Gaga: su dunu.
Ona Bwana ni wokovu wangu; nitamwamini na sitakuwa na hofu, kwa Yahwe, ndio, Yahwe ni nguvu yangu na wimbo wangu. Amekuwa wokovu wangu.''
3 Hano hanai dunu da hano noga: i nasea, hahawane bagade ba: sa. Amo defele, Gode da Ea fi dunu gaga: sea, ilia da hahawane bagade ba: sa.
Kwa furaha utachota maji kwenye kisima cha wokovu.
4 Amo esoga, dilia Gode Ea fi dunu da amane gesami hea: mu, “Hina Godema nodoma! E da nini fidima: ne wele sia: ma! Ea hamoi amo fifi asi gala huluane ilima adoma. E da gasa bagadedafaba: le, ilima adoma!
Siku hiyo utasema, ''Mshukuru Yahwe na ita jina lake; tangaza matendo yake miongoni mwa watu, tangaza jina lake limeinuliwa.
5 E da gasa bagade hou hamobeba: le, Ema nodone gesami hea: ma. Osobo bagade fifi asi gala huluane da amo sia: ida: iwane gala nabimu da defea.
Mwiimbie Yahwe, maana ametenda matendo yaliotukuka; acha hili lijulikane dunia nzima.
6 Dunu huluanedafa Saione Goumi amoga esala, amo da wele sia: mu amola gesami hea: mu da defea. Isala: ili dunu fi ilia Hadigi Gode da Bagadedafa. Amola E da Ea fi amo ganodini esala.”
Lia kwa nguvu na piga kelele kwa furaha, enyi wakazi wa Sayuni, maana katikati yenu ni mtakatifu wa Israeli.