< Aisaia 11 >

1 Da: ibidi ea hina bagade fi da ifa amo da abi dagoi agoane ba: sa. Be amoda gaheabolo da ifa bai amoga heda: sa, amo defele, Amoda da Da: ibidi egaga fi amo ganodini ba: mu.
Chipukizi litatokea kutoka shina la Yese, kutoka mizizi yake Tawi litazaa tunda.
2 Hina Gode Ea A: silibu Hadigidafa Gala da amo Amoda Ea dogo ganodini aligila sa: i esalebe ba: mu. Gode Ea A: silibu da dawa: su bagade amola ida: iwane gala Ema imunu. E da dunuma fada: i sia: amola gasa bagade hou imunusa: dawa:
Roho wa Bwana atakaa juu yake, Roho wa hekima na wa ufahamu, Roho wa shauri na wa uweza, Roho wa maarifa na wa kumcha Bwana
3 E da Gode Ea hanai amo dawa: beba: le, hahawane hamomu. E da dabuagado hou ba: sea o dunu eno ilia sia: beba: le hame fofada: mu.
naye atafurahia kumcha Bwana. Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa macho yake, wala kuamua kwa yale ayasikiayo kwa masikio yake,
4 Be moloidafa hou, amoga E da hame gagui dunu fidima: ne fofada: mu. E da sia: sea, dunu da se iasu ba: mu, amola wadela: i hamosu dunu da bogosu ba: mu.
bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji, kwa haki ataamua wanyenyekevu wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, kwa pumzi ya midomo yake atawaua waovu.
5 E da moloidafa hou, amola hou ida: iwane amoga Ea dunu ouligimu.
Haki itakuwa mkanda wake na uaminifu utakuwa mshipi kiunoni mwake.
6 Gasonasu wa: me (wufi) amola sibi ilia da hahawane olofole gilisili esalumu. Lebade da goudi mano amola gilisili diasa: imu. Bulamagau mano amola laione wa: me ea mano da gilisili ha: i manu, amola mano fonobahadi da ili ouligimu.
Mbwa mwitu ataishi pamoja na mwana-kondoo, naye chui atalala pamoja na mbuzi, ndama, mwana simba na ngʼombe wa mwaka mmoja watakaa pamoja, naye mtoto mdogo atawaongoza.
7 Bulamagau amola bea ilia da gilisili ha: i manu. Amola ilia mano da gilisili olofole diasa: imu. Laione da bulamagau defele, gisi manu.
Ngʼombe na dubu watalisha pamoja, watoto wao watalala pamoja, na simba atakula majani makavu kama maksai.
8 Mano dudubu da gasonasu saya: be gadenene hedesea, se hame nabimu.
Mtoto mchanga atacheza karibu na shimo la nyoka, naye mtoto mdogo ataweka mkono wake kwenye kiota cha fira.
9 Gode Ea sema goumi amo Saione amoga da wadela: mu liligi amola wadela: i hou hamedafa ba: mu. Amola hano wayabo bagade da hano amoga nabai gala, amo defele osobo bagade da Hina Gode Ema dawa: digisu hou amoga nabaiwane ba: mu.
Hawatadhuru wala kuharibu juu ya mlima wangu mtakatifu wote, kwa kuwa dunia itajawa na kumjua Bwana kama maji yajazavyo bahari.
10 Amo esoga Yesi ea Difi da fifi asi gala dunu huluane ilima dawa: digima: ne olelesu hahamoi agoane ba: mu. Fifi asi gala dunu huluane da Ema gilisili, Ema nodosu imunu.
Katika siku hiyo, Shina la Yese atasimama kama bendera kwa ajili ya mataifa. Mataifa yatakusanyika kwake, na mahali pake pa kupumzikia patakuwa utukufu.
11 Amo esoga, Hina Gode da Ea gasaga, Ea fi mugululi asi dunu amo ga sogega esala, amo Asilia, Idibidi, Ba: dalosi, Giusi, Ila: me, Ba: bilone, Ha: ima: de, hano wayabo bagade bega: esala dunu amola hano wayabo bagade oga amo ganodini esala dunu, amo huluane E da Isala: ili sogega bu oule misunu.
Katika siku hiyo Bwana atanyoosha mkono wake mara ya pili kurudisha mabaki ya watu wake waliosalia kutoka Ashuru, Misri, Pathrosi, Kushi, Elamu, Babeli, Hamathi na kutoka visiwa vya baharini.
12 Hina Gode da fedege agoane, dawa: digisu eso gosa: gisu gaguia gadomu. Amoga E da fifi asi gala ilima amane olelemu. E da mugululi asi Isala: ili amola Yuda fi dunu amo osobo bagade bega: mugululi asi, amo bu gilisilala, amo ilima olelemu.
Atainua bendera kwa mataifa na kuwakusanya Waisraeli walioko uhamishoni; atawakusanya watu wa Yuda waliotawanyika kutoka pembe nne za dunia.
13 Isala: ili fi da Yuda fi ilima bu hame mudamu amola Yuda fi da Isala: ili dunuma bu hame ha lamu.
Wivu wa Efraimu utatoweka, na adui wa Yuda watakatiliwa mbali; Efraimu hatamwonea Yuda wivu, wala Yuda hatakuwa na uadui na Efraimu.
14 Ela da gilisili Filisidini dunu fi eso dabe la: ididili esala amoga doagala: mu, amola dunu fi ilia eso mabe la: idili esala amo ilia liligi suguli lamu. Ilia da Idome dunu fi amola Moua: be fi ili hasalimu. Amola A: mone fi dunu da ilima beda: iba: le, ilia sia: nabawane hamomu.
Watawashukia katika miteremko ya Wafilisti hadi upande wa magharibi, kwa pamoja watawateka watu nyara hadi upande wa mashariki. Watawapiga Edomu na Moabu, na Waamoni watatawaliwa nao.
15 Hina Gode da Suese Adobo hafoga: lesimu amola Iufala: idisi Hano hafogama: ne, e da gia: i bagade fo iasimu. Amasea, hano fonobahadi fesuale fawane ba: mu. Amola, dunu huluane ilia asabole degemusa: dawa: mu.
Bwana atakausha ghuba ya bahari ya Misri; kwa upepo mkavu ataupeleka mkono wake juu ya Mto Frati. Ataugawanya katika vijito saba ili watu waweze kuuvuka wakiwa wamevaa viatu.
16 Amola mugululi asi dunu Asilia soge ganodini mae bogole esala, amo da logo bagade ilia sogedafa bu masa: ne, logo dialebe ba: mu. Ilia musa: fi da Idibidi yolesi, hobeamu logo bagade ba: i. Amo defele ilia da ba: mu.
Itakuwepo njia kuu kwa mabaki ya watu wake wale waliosalia kutoka Ashuru, kama ilivyokuwa kwa Israeli walipopanda kutoka Misri.

< Aisaia 11 >