< Hosia 8 >

1 Hina Gode da amane sia: sa, “Dawa: digima: ne ga: ga: ma! Buhiba da gogili daha, amo defele, ha lai dunu da Na soge doagala: sa. Na fi dunu da gousa: su Na da ilima hamoi, amo fi dagoi amola Na olelesu amoga lelei dagoi.
“Wekeni tarumbeta midomoni mwenu! Tai yuko juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja Agano langu, wameasi dhidi ya sheria yangu.
2 Ilia da ogogole Na da ilia Gode sia: sa, amola ilia da Na fi ilia sia: sa, amola ilia Na dawa: ilisu sia: sa.
Israeli ananililia, ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’
3 Be ilia da moloidafa hou higale yolesiagai dagoi. Amaiba: le, ilia ha lai dunu da ili sefasimu.
Lakini Israeli amekataa lile lililo jema, adui atamfuatia.
4 Na fi dunu da hina bagade ilelegei. Be ilisu da amo hou hamosu. Ilia da ouligisu dunu ilelegei. Be ilia Nama hame adole ba: i. Ilia da ilia silifa amola gouli lale, ogogosu ‘gode’ loboga hamoi. Be amo liligi da ilia hou wadela: lesimu fawane.
Wanaweka wafalme bila idhini yangu, wamechagua wakuu bila kibali changu. Kwa fedha zao na dhahabu wamejitengenezea sanamu kwa ajili ya maangamizi yao wenyewe.
5 Na da gouliga hamoi bulamagau gawali (Samelia moilai dunu da amoma nodone sia: ne gadosa) amo Na bagadewane higasa. Na da ilima baligiliwane ougi gala. Ilia da habowali seda udigili loboga hamoi ogogole ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadoma: bela: ?
Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama! Hasira yangu inawaka dhidi yao. Watakuwa najisi mpaka lini?
6 Isala: ili hawa: hamosu dunu da amo ‘gode’ ea loboga hamoi. Be amo da ‘gode’ liligi hame. Gouliga hamoi bulamagau gawali (Samelia dunu da amoma sia: ne gadosa) da goudane fofonobone fasi dagoi ba: mu.
Zimetoka katika Israeli! Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu. Atavunjwa vipande vipande, yule ndama wa Samaria.
7 Ilia da wadela: i hou fonobahadi gagoma hawa: agoane bugisia, amo da alebeba: le, ilia da se iasu bagadedafa ba: mu. Gagoma bugi ea fage da hame denesisia, amoga agi ga: gi hamomu da hamedei ba: mu. Be amo bugi da gagoma noga: le legeiyaba, ga fi dunu da amo huluane na dagoi ba: la: loba.
“Wanapanda upepo na kuvuna upepo wa kisulisuli. Bua halina suke, halitatoa unga. Kama lingetoa nafaka, wageni wangeila yote.
8 Isala: ili fi da eno osobo bagade fifi asi gala amo defele hamoi dagoi. Ilia da ofodo goudane fasi agoai ba: sa.
Israeli amemezwa; sasa yupo miongoni mwa mataifa kama kitu kisicho na thamani.
9 Ilia da sigua dougi agoane, gawamaga: i hamoi dagoi. Ilia da ilila: hanaiga ahoa. Ilia da Asilia fi ili fidima: ne adole ba: musa: asi. Amola eno fifi asi gala ilia, ili gaga: ma: ne, ilima bidi iaha.
Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru kama punda-mwitu anayetangatanga peke yake. Efraimu amejiuza mwenyewe kwa wapenzi.
10 Be wali Na da ilima se ima: ne, ili gagadomu. Asilia hina bagade da ili banenesisia, ilia da se nababeba: le sosona: gia: mu.
Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wataanza kudhoofika chini ya uonevu wa mfalme mwenye nguvu.
11 Isala: ili dunu da wadela: i hou fadegama: ne, oloda bagohame hamosa. Be amo oloda da ilia wadela: i hou hame fadegasa. Ilia da amogawi ogogole gobele salasu hou hamobeba: le, bu baligili wadela: i hamosa.
“Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi kwa ajili ya sadaka za dhambi, hizi zimekuwa madhabahu za kufanyia dhambi.
12 Na da Na fi dunuma olelema: ne, sia: bagohame dedesa. Be ilia da amo olelesu da ga fi ilia olelesu defele, higasa.
Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi kuhusu sheria yangu, lakini wameziangalia kama kitu cha kigeni.
13 Ilia da Nama gobele salasu hou hamosa, amola amo gobele salasu hu naha. Be Na, Hina Gode, da ilima hahawane hame gala. Amola wali Na da ilia wadela: i hou bu dawa: mu, amola ilima se imunu. Na da ili Idibidi sogega bu asunasimu.
Wanatoa dhabihu nilizopewa mimi nao wanakula hiyo nyama, lakini Bwana hapendezwi nao. Sasa ataukumbuka uovu wao na kuadhibu dhambi zao: Watarudi Misri.
14 Isala: ili dunu ilia da hina bagade diasu gaguli gagai. Be ilia Hahamosu Dunu amo ilia da gogolei dagoi. Yuda fi dunu ilia da gagili sali moilai bai bagade gaguli gagai. Be Na da ilia hina bagade diasu huluane amola moilai bai bagade huluane ulagima: ne, lalu iasimu.”
Israeli amemsahau Muumba wake na kujenga majumba ya kifalme, Yuda amejengea miji mingi ngome. Lakini nitatuma moto kwenye miji yao utakaoteketeza ngome zao.”

< Hosia 8 >